Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Mahakama itachukua mkondo wake, mzee atafungwa.
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

So what!!, je kama italeta upinzani mkali, unapendekeza nini na ipi tamaa yako.
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

Kuachiwa chama na Mtei asahau.
 
Kwanza sasa hivi watu wamazingila walitakiwa wamshitaki.kwenye mikutano yake anachafua mazingila kwa kujinyea kama mtoto mdogo.asubiliwe mahakani ya mafisadi makufuli awafunge hayo maJizi
 
mahakama ya mafisadi inakuja jipangeni na huyo fisadi wenu.
CCM walishakubaliana kutolitamka neno FISADI tena kwenye kampeni zao kwakuwa linamuongezea Lowassa umaarufu na ushahidi wa hayo makubaliano anao Mwigulu Nchemba!
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia chadema Mzee Lowasa kama ataendelea kubakia Chadema au Laa mara baada ya uchaguzi,watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.
Huyo mzee angelikuwa anajitambua angestafu siasa mapema hata kabla ya uchaguzi maana atajiaibisha sana
 
Kwani mimi ndoo nimesema? Mimi nimemunukuu mwenyekiti wa geita msukuma.ndoo aliyasema hayo geita kwenye mikutano wa makufuli
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom