Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.

Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.

CCM nitaipuuza ikimpokea lowassa badala ya kumpeleka jela
 
nasiki alitumwa na ccm kuhudhoofisha upinzani,kama hatashinda uchaguzi huu basi na upinzani utakuwa umeisha tz.

upinzani umejiuwa wenyewe kwa kumkaribisha lowasa kwani hafai kuwa rais kupitia chama chochote
 
Mtu atastahafuje.siasa hili hali yuko ikulu.na mlataba wa miaka.mitano?
 
maono yangu, naona litakua jambo la busara kama mahakama ya mafisadi ita mshughulikia mara baada ya uchaguzi kuisha kwa sababu ameshapiga sana
 
Nyie wafuasi wa ukawa mnastahili kwnda pumzshwa irente,lutindi na milembe walau miaka mitano,hv kwl na elimu zenu mnashkwa mackio na mbowe,mbatia,lowasa na sumae kwl ndg zng?vjn wa tz bdo kweikwei,nanyie wahitimu wa sekuco na patandi mko wapi msaidie hawa wateja wenu?ni vyema vjn tuungane na zito ndipo tutaipa msukosuko ccm,kule cdm kumenukaaaa......tutumie vyema akili na busara zetu.
 
Naomba msaada wa numbr za cm za watoto wa lowasa kwa mdau yyte alyenazo niseme nao kwa busara endapo kama walibariki uzezeta anaofanya baba yao,ama pengne hanao hata watoto?.
 
Na huyo ngwajima wake wajiandae hiyo 25 atakapokua anaota ndoto zake za ujinga
 
ata aki staafu,tunachokitaka cc n kuizika ccm ikiwa hai,,

Angalia tu ccm isikuzike wewe maana wenzenu wamepiga b5 nyie kelele hawana hata is presure wakishindwa wanaanza na mitaji yao wewe kalia wimbo wa mabadiliko
 
Magufuri kwanza ashtakiwe kwa kuuza na kugawa nyumba za serikali na kusababisha hasara kwa taifa...
 
Bwana Mafuri anawanadi waki na Anna Tibaijuka name Chenge pamoja na Ngeleja hii inawapa picha gani watanzania? Daima ccm ni wasanii na ndo maana wanazunguka nchi nzima na waki na Wema.... Hivi kweli unategemea Wema amshawishi nani kama sio vichekesho! Mafuri ndani ya ccm hana uwezo was kufanya jipya labda avue gamba arudi Ukawa. Peoples....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom