Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Unakurupuka kaka.
Wewe ndio hujui nini unaongea
Unakurupuka kaka.
Hahaha! Nimecheka mpaka mbavu zimeuma! Ni kweli lakini, Mtei hawezi kukubali ushindani wakati kampuni kaianzisha na kuisimamia mwenyewe. Itakuwa vita. Huo ni urithi wa watoto wa Mtei halafu mtu atoke huko aje atie Mkono?
Namba za nini au unatafuta bwana we syo mzima aise kweli nimeamini ccm unrechabo mko wengi..Pole sana hata hao watoto wa laigwanan hawatovutiwa na wewe keng. .
siwashangai ninyi.hata prof mwandosya au mzee kingunge wakikitosa chama mtatafuta matusi ya kuwatukana kama sio kuwaita mafisadi.sasa hivi wako huko mmenyamaza kimyaaa.mtu akihama chama sio ugomvi ni maamuzi yake tu na katiba inamruhusu.uzeni sera huu wimbo wa rushwa watu hawauelewi tena washajua pumba ipi na mchele upi.
Ccm itadumu milele
Magufuri kwanza ashtakiwe kwa kuuza na kugawa nyumba za serikali na kusababisha hasara kwa taifa...
Angalia tu ccm isikuzike wewe maana wenzenu wamepiga b5 nyie kelele hawana hata is presure wakishindwa wanaanza na mitaji yao wewe kalia wimbo wa mabadiliko
Na huyo ngwajima wake wajiandae hiyo 25 atakapokua anaota ndoto zake za ujinga
Angalia tu ccm isikuzike wewe maana wenzenu wamepiga b5 nyie kelele hawana hata is presure wakishindwa wanaanza na mitaji yao wewe kalia wimbo wa mabadiliko
Naomba msaada wa numbr za cm za watoto wa lowasa kwa mdau yyte alyenazo niseme nao kwa busara endapo kama walibariki uzezeta anaofanya baba yao,ama pengne hanao hata watoto?.
Kikwete sio mahakama msituposhe.
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.
Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.
Woote tayari wameoa
akapumzike tuu maanake katuibia sana watanzania,maanake kila nikifikilia natamani kulia maanake huyu mtu hajawai kuwa na huruma na watanzania.Tumechoka kumsikia mwizi huyu aliye kubuhu katika wizi wa tz na kuwekwa katika records za kibaka mzoefu tzKumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.
Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.
Eti uso wa nyoka
mahakama ya mafisadi inakuja jipangeni na huyo fisadi wenu.
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.
Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.