Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.
LOWASA KUITOSA UKAWA:
Mgombea wa umoja wa ukawa mhe Lowasa anatarajiwa kuutosa mazima umoja huo na chama alichojiunga cha chadema baada ya uchaguzi,zipo kila dalili za kiongozi kufanya hivyo maana kupata ushindi kwake itakuwa ni ndoto,kiongozi huyo hata kuwa na nguvu tena ya kuimarisha umoja huo au chama na taarifa zinasema kuwa jamaa atajiingiza katika masuala ya uchungaji

Anaitosa na kubaki madeni makubwa

naendelea kusisitiza kwamba
ambao hawajawahi kula hela ya lowasa wamuombe saiv maana baada ya mwez huu ataanza kuwaomba yy hela ya voucher
 
Mama yako kastaafu ndoa na kurejea kwa wazazi wake.hebu fuatilia maana wadogo zako wanapata taabu sana.
 
mahakama ya mafisadi inakuja jipangeni na huyo fisadi wenu.

Fisadi MAKOMEO anazuga tu aianzishe tu tumhoji ya Mv Bagamoyo, Samaki za watu alizokurupuka kuzigawa na Tz tunadaiwa mpaka sasa, zile nyumba za serikali walizokuwa wanagawa na dada Kabula huku watumishi wa serikali wakiishi mahotelini kutokana na uhaba wa nyumba, zile DISPOSABLE ROADS alizozisimamia zikiwa chini ya kiwango atatujibu WATZ au arudishe chenji kama walivyo fanya mafisadi wenzake kwenye deal ya RADAR.
 
Nani ataikomboa nch ya Tz?
Nani atatengeneza mazingira mazuri ya urithi wa kizazi kijacho?
Nani ataitoa Tz kutoka katika orodha ya nchi masikini kuelekea katika orodha ya nchi zenye uchumi wa kati?
Nani atautoa mfumo usiotaka mabadiliko ya nchi na kupata mfumo radical?
Nani atakuwa mkombozi wa rushwa nchini Tz?
Nani atautoa mfumo wazi wa kitabaka nchini Tz?
Nani atalinda na kusimamia vizuri na kwa utaratibu maalumu rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu katika bustani hii ya edeni(Tz)?
Nani atahakikisha mfumo thabiti wa huduma za kijamii katika nchi ya Tz?
Nani atahakikisha haki sawa kwa wote nchini Tanzania?
Nani atakuwa mtetezi wa wanyonge nchi ya Tz?
Nani atakuwa msimamizi mzuri wa mali za umma?
Kama mtanzania Mwenye nia njea na nchi hii na nia njema na vizazi vijavyo funguka Chukua hatua.

mimi hapa,wala sio wanasiasa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom