Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.
Hapana ......afanye kazi zingne wala asichukue maamuz magumu .......tambua kwene siasa hakuna draw...lazima awepo mshnd.....bt wht we need changes
 
Kwanza sasa hivi watu wamazingila walitakiwa wamshitaki.kwenye mikutano yake anachafua mazingila kwa kujinyea kama mtoto mdogo.asubiliwe mahakani ya mafisadi makufuli awafunge hayo maJizi

Muogope Mungu kijana, hizi ni siasa tu!
 
Lowasa kushitakiwa ni sawa hata yeye mwenyewe alishatoa go ahead, mwenye ushahidi apelike mahakamani. Hata hivyo itatubidi tuandae oradha ya watu watakao shitakiwa pamoja nae. Hebu tuanze kuwataja mmoja baada ya mwingine….
 
TUTAMPIGIA KURA EDWARD LOWASSA kuwa rais wetu ifikapo October keshokutwa,Hatudanganywi tena na CCM.
 
huyo mzee hata awe na hela kiasi gani hawezi kumpindua "mungu mtu" pale chamani.. chama kina wenyewe
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom