Lowassa kustaafu siasa

Lowassa kustaafu siasa

Status
Not open for further replies.
Fisadi tu afungwe

Lowasa n fisadi na
mchawi mkubwa sana

Sumaye a.k.a mr zero n jangili maarufu wa ulanga
Ni bepari pia anamashamba makubwa kilombero na mvomero

Mbatia amekamatwa na fuvu la mtoto jana
Dah
Uuaji huu noma
 
Magufuli ata-deal naye vipi wakati atakuwa si Rais, Waziri, mbunge wala wadhifa wowote katika chama chake?
 
LOWASA KUITOSA UKAWA:
Mgombea wa umoja wa ukawa mhe Lowasa anatarajiwa kuutosa mazima umoja huo na chama alichojiunga cha chadema baada ya uchaguzi,zipo kila dalili za kiongozi kufanya hivyo maana kupata ushindi kwake itakuwa ni ndoto,kiongozi huyo hata kuwa na nguvu tena ya kuimarisha umoja huo au chama na taarifa zinasema kuwa jamaa atajiingiza katika masuala ya uchungaji
 
Watabiri maarufu wamekuwa wengi sana mwaka huu....!
 
akapumzike tuu maanake katuibia sana watanzania,maanake kila nikifikilia natamani kulia maanake huyu mtu hajawai kuwa na huruma na watanzania.Tumechoka kumsikia mwizi huyu aliye kubuhu katika wizi wa tz na kuwekwa katika records za kibaka mzoefu tz

Anasema kuwa anachukia umaskini, swali langu kwake ni sehemu gani alipunguza huo umasikini na sasa kuna neema? wamasai ndo walinzi hapa Dar, make kuwa mlinzi maana yake ni kutokana na ugumu wa maisha, ingekuwa jambo jema yy kusema kuwa anachukizwa na wamasai kuwa walinzi. vijana wengi ndo mara ya kwanza kupiga kura ss wana moto sana, lakini najua kwamba watz walowengi hawatopiga kura kwa ushabiki, kwani miaka mitano si mchezo, lakini pia nimefarijika kusikia kelele za Mbowe zimeanza, hizo zinamaanisha kushindwa kwa UKAWA, make ss analia na tume, walishasema tume si huru ss wanataka urais wa nn? hiyo nguvu kubwa wangeiweka kutafuta wabunge ningeona wana akili sana, mm nawaona kama wamechanganyikiwa tu, hata Lowasa na yy ss kauli zake ameanza kuzibadirisha tofauti na mwanzo, mwanzo alisema anashinda sa12 asbh na wakishapiga kura wamwachie hiyo kazi, kwa ss na yy ameanza kuimba wimbo wa upinzani, safi sana!
 
Kumekuwa na maswali mengi endapo mgombea wa urais kupitia CHADEMA Mzee Lowassa kama ataendelea kubakia CHADEMA au Laa mara baada ya uchaguzi, watu wake wa karibu wanasema kunauwezekano mkubwa akastafu siasa au kurejea CCM japo itategemeana na plan B yake kushindikana.

Matarajio yake ni kuzidi kuwa na nafasi ya juu ndani ya chama chake cha sasa hali ambayo italeta upinzani mkali baada ya uchaguzi.


Hana cheo chadema kwa hiyo baada ya uchaguzi atarudi kwenye ng'ombe zake. Tutamfanyia sherehe kwa kutusaidia kupata wingi bungeni.
 
Nani ataikomboa nch ya Tz?
Nani atatengeneza mazingira mazuri ya urithi wa kizazi kijacho?
Nani ataitoa Tz kutoka katika orodha ya nchi masikini kuelekea katika orodha ya nchi zenye uchumi wa kati?
Nani atautoa mfumo usiotaka mabadiliko ya nchi na kupata mfumo radical?
Nani atakuwa mkombozi wa rushwa nchini Tz?
Nani atautoa mfumo wazi wa kitabaka nchini Tz?
Nani atalinda na kusimamia vizuri na kwa utaratibu maalumu rasilimali tulizojaliwa na mwenyezi Mungu katika bustani hii ya edeni(Tz)?
Nani atahakikisha mfumo thabiti wa huduma za kijamii katika nchi ya Tz?
Nani atahakikisha haki sawa kwa wote nchini Tanzania?
Nani atakuwa mtetezi wa wanyonge nchi ya Tz?
Nani atakuwa msimamizi mzuri wa mali za umma?
Kama mtanzania Mwenye nia njea na nchi hii na nia njema na vizazi vijavyo funguka Chukua hatua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom