Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

creative ipi afya mgogoro mzee ,mwambie kuna midahalo mwaka huu tena ni masaa 4,atajua tu ,

Sumaye kashasema kuwa makomeo ni mgonjwa ndio maana anakimbiliaga kutibiwa Ulaya,na ndio maana kumbe alienda kupiga kikombe cha babu loliondo
 
ITV ya wapi hiyo ?????ya hapa bongo naona marudio tu jamaani mnapenda mpaka nyeupe mnaita nyeusi kuweni na kiasi
 
Naona leo vijana wa Lumumba hamna shift wote wako kazin OT
 
sumaye kashasema kuwa makomeo ni mgonjwa ndio maana anakimbiliaga kutibiwa ulaya,na ndio maana kumbe alienda kupiga kikombe cha babu loliondo

mwenzio adi sasa ni mikoa 5 anaenda tena kwa gari hauwezi kumlinganisha na mtu ambaye hata kusimama 30 mnt hawezi,

pia kamuulize sumaye alipomaliza uwaziri mkuu alienda marekani kufanyanini? Akikupa majibu niambie,


 
Hotuba ipo live bila chenga sasa hivi Azam two. Wahi fasta ITV ilizingua sauti.
 
Me naamini asiyekuwa na Akili hata ukimla agerezee mtihani anafeli, lowassa asingeweza kusoma ILANI kwa dk 10 na hawakutaka kuzidisha mda kama CCM alitangulia kusema kuwa mda hautoshi kuhusu UGONJWA muogopeni Mungu kabla hujafa hujaumbika na Mungu ndiye muamuz wa mwisho unaweza kufa ww ukamuacha LOWASA na ugonjwa wake hata magufuli ni mgonjwa pia
 
Wanaosema sijuhi Lowasa hawezi kuongea wanasahau sasa hivi hatutafuti muimba taarabu tunataka mtendaji. Km ni maneno JK alitulisha maneno matamu sana lkn katuacha tunalia.
Anayetaka muimba taarabu aende kwa Yusuf Mzee au Khadija Kopa
 
Tuliposema UKAWA wamechemsha wafuasi wametokwa povu, viongozi wa UKAWA wameliona hilo sasa wanataka kufidia hayo Lowassa atahutubia usiku huu saa 3 kupitia ITV.

Chanzo twitter account ya ITV

Makamanda na wapenda mabadiliko kama kuna mwenye hiyo hotuba ya rais atuwekee nas tuisikilize
 
sikilizeni nondo,magamba hayo makandokando yenu pelekeni jukwaa la udaku

nondo zipi mzee aliwaalika mamantilie wanini nabodaboda na wengine kabeba zanzibar kama alikuwa anajua hawezi kuwambia,
atakuja kuwakana huyo kwamba wapi niliwambia haya nyie,toka kwenye mitengo ya wajaja mkuu,
 
sasa huko mawilani atafanyaje?,au atakua anaenda na gari la kurusha matangazo awe anahutubia huku amekaa?
 
mwenzio adi sasa ni mikoa 5 anaenda tena kwa gari hauwezi kumlinganisha na mtu ambaye hata kusimama 30 mnt hawezi,

pia kamuulize sumaye alipomaliza uwaziri mkuu alienda marekani kufanyanini? Akikupa majibu niambie,



Makomeo ni mgonjwa,lowasa ndiye rais wetu watanzania
 
Acha upotoshaji baada ya kugundua ile website inachenga tupu, na baada ya watu kukosoa mpango wao kutaka waitafute kwenye website, haiwezekani muda kuwa mfupi wakati shughuli zilianza mapema mchana, sema movie yenu haina staring

Starring ni Sumaye nafikiri umemsikia! Zile nondo ni balaa...
 
Back
Top Bottom