Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
creative ipi afya mgogoro mzee ,mwambie kuna midahalo mwaka huu tena ni masaa 4,atajua tu ,
Sumaye kashasema kuwa makomeo ni mgonjwa ndio maana anakimbiliaga kutibiwa Ulaya,na ndio maana kumbe alienda kupiga kikombe cha babu loliondo