Teh teh teh!!huyu jamaa ni hatari sana kweli naamini alikuwa master mind wa kura 80% ilikuwa hakili yake sasa watu wametulia wanamsikiliza kwa makini c pale jangwan ilikuwa makelele 2 sasa watu wote wapo hm wanamtazama na kumsikiliza kwenye radio dah huyu si think tank bali ni great of the greatest thinker
Tuliposema ukawa wamechemsha wafuasi wametokwa povu, viongozi wa UKAWA wameliona hilo sasa wanataka kufidia hayo lowassa atahutubia usiku huu saa 3 kupitia ITV chanzo twitter account ya ITV
Lowasa hana uwezo wa kuongea kwenye public. Anachoweza ni kufisidi tu
Anahutubia muda huu ccm mjibebe.
fuatilia ITV now utachoka huyu sio saiz ya magufuli
tena anaweza kuboronga zaidi ya mchana.....
kama ni lazima kuhutubia basi wamchome cc 50 za adrenali labda zitasaidia