Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Naam yupo live sasa mliotaka sera msikilize
 
Tetesi ni kweli sasa yuko Live anahutubia kwasababu hakusoma pale jangwani kutokana na muda.

Fuatilia.

AMEMALIZA SASA WANARUDIA YA JANGWANI, WAMEANZA NA KIPANDE CHA SUMAYE
 
nimechoka na ccm chadema hata wangeweka tako kama mgombea ningelipa tu....go chadema
 
lowasa yupo live kwenye tv,anatoa hotuba yake ambayo alikusudia kuitoa pale jangwani,naangalia itv
 
Hii ni style mpya na ya kisasa kabisa kutokea katika nchi hii. Hivi kweli katika shamrashamra kama zile za uwanjani pale sera za mtu zinaweza kusikilizwa kwa umakini au ni mahali pa mihemko na shangwe tuu? Sasa hivi namsikiliza kwa makini ahadi zake bila ya mihemko kabisa.
Hii ni kuonyesha kuwa Lowasa hafanyi mambo kwa mazoea bali kila siku anakuja na style mpya kabisa.
Twende tusikilize kwa makini bila kelele wala makofi ya kuchanganya.
 
Hii ni style mpya na ya kisasa kabisa kutokea katika nchi hii. Hivi kweli katika shamrashamra kama zile za uwanjani pale sera za mtu zinaweza kusikilizwa kwa umakini au ni mahali pa mihemko na shangwe tuu? Sasa hivi namsikiliza kwa makini ahadi zake bila ya mihemko kabisa.
Hii ni kuonyesha kuwa Lowasa hafanyi mambo kwa mazoea bali kila siku anakuja na style mpya kabisa.
Twende tusikilize kwa makini bila kelele wala makofi ya kuchanganya.

Nimeipenda pia.
 
tuliposema ukawa wamechemsha wafuasi wametokwa povu, viongozi wa ukawa wameliona hilo sasa wanataka kufidia hayo lowassa atahutubia usiku huu saa 3 kupitia itv chanzo twitter account ya itv

kitendawili atakuwa amekaa au amesimama?

 
TAARIFA MUHIMU; Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.
Mbona leo unaangaika sana km kuku aneyetaka kutaga tulia na usikilize atakachoonge,hili sindano zikuingie vzr
 
Back
Top Bottom