We jamaa Ni lofa kwelitena anaweza kuboronga zaidi ya mchana.....
kama ni lazima kuhutubia basi wamchome cc 50 za adrenali labda zitasaidia
Hii ni style mpya na ya kisasa kabisa kutokea katika nchi hii. Hivi kweli katika shamrashamra kama zile za uwanjani pale sera za mtu zinaweza kusikilizwa kwa umakini au ni mahali pa mihemko na shangwe tuu? Sasa hivi namsikiliza kwa makini ahadi zake bila ya mihemko kabisa.
Hii ni kuonyesha kuwa Lowasa hafanyi mambo kwa mazoea bali kila siku anakuja na style mpya kabisa.
Twende tusikilize kwa makini bila kelele wala makofi ya kuchanganya.
tuliposema ukawa wamechemsha wafuasi wametokwa povu, viongozi wa ukawa wameliona hilo sasa wanataka kufidia hayo lowassa atahutubia usiku huu saa 3 kupitia itv chanzo twitter account ya itv
ITV mbona sauti haisikiki?
Mbona leo unaangaika sana km kuku aneyetaka kutaga tulia na usikilize atakachoonge,hili sindano zikuingie vzrTAARIFA MUHIMU; Lowassa kuhutubia live usiku huu; Mgombea Urais wa CHADEMA ambaye pia anawakilisha UKAWA, Edward Lowassa atahutubia taifa usiku huu moja kwa moja kupitia Kituo cha Televisheni cha ITV mara baada ya taarifa ya habari. Hii itakuwa Kwa ajili ya Watanzania ambao kutokana muda kuwa mfupi hawakupata fursa ya kusikia hotuba yote aliyopanga kuitoa leo Kwenye mkutano wa uzinduzi wa kampeni za kitaifa za CHADEMA na UKAWA.
Recorded...Yupo live ss.