Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Lowassa kuhutubia saa 3 usiku huu ITV

Kama sikosei mchana nilisikia kuwa pia hotuba yake tutaipata mtandaoni. Haki ya nani huyu ndio kiongozi wa kizazi kipya, sio wale wanaoona kupanda jukwaani na kukata mauno ndio sera.
Nipo hapa na glass yangu ya wine nasikiliza bila chenga kutoka kiongozi wa kidigitali.
 
Tetesi ni kweli sasa yuko Live anahutubia kwasababu hakusoma pale jangwani kutokana na muda.

Fuatilia.

Kikwete na mkapa wote wanasoma.
Ni lazima asome kwa vile hiyo ni Sera ya ukawa sio ajenda zake.
 
huyu jamaa ni hatari sana kweli naamini alikuwa master mind wa kura 80% ilikuwa akili yake sasa watu wametulia wanamsikiliza kwa makini c pale jangwan ilikuwa makelele 2 sasa watu wote wapo hm wanamtazama na kumsikiliza kwenye radio dah huyu si think tank bali ni great of the greatest thinker
 
Hii ni style mpya na ya kisasa kabisa kutokea katika nchi hii. Hivi kweli katika shamrashamra kama zile za uwanjani pale sera za mtu zinaweza kusikilizwa kwa umakini au ni mahali pa mihemko na shangwe tuu? Sasa hivi namsikiliza kwa makini ahadi zake bila ya mihemko kabisa.
Hii ni kuonyesha kuwa Lowasa hafanyi mambo kwa mazoea bali kila siku anakuja na style mpya kabisa.
Twende tusikilize kwa makini bila kelele wala makofi ya kuchanganya.
Daah!! Hii style mpya kutoka wapi mkuu tujuze maana hata huko Marekani na Ulaya tunaona wagombea urais wanatangaza sera zao kwenye mikutano kwenye tv mara nyingi ni midahalo.
 
Lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.

Sihitaji sera mimi kumchagua Lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.

Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, Lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.

Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.
 
Yupo anau2bia waendelee kusema waltaka aongeze muda jamaa anaongea vzur anatoa sera mzur
 
Huu ni utapeli wa kisiasa..kwanza hotuba na ilani siioni kwenye website ya chama, thn hii ni recorded sio live....daaah sikutegemea hili.
 
Lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.

Sihitaji sera mimi kumchagua Lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.

Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, Lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.

Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.
 
Daah!! Hii style mpya kutoka wapi mkuu tujuze maana hata huko Marekani na Ulaya tunaona wagombea urais wanatangaza sera zao kwenye mikutano kwenye tv mara nyingi ni midahalo.

Kwa hapa tanzania vp?
 
Back
Top Bottom