Lowassa anapoteza muda wa kulala, sisi tulishamuelewa hata bila sera na hutuba kura zetu anapata.
Sihitaji sera mimi kumchagua Lowassa, nimeichoka ccm kwa hiyo sitaki sera nataka atakaeitoa ccm tu maana kama ni sera ccm wamezisoma kwa miaka 54 na hakuna chochote.
Angepumzika tu mzee wa watu alale kura zetu kwake zipo, Lowassa tumekupenda bure,hatujakupendea hotuba wala sera. Sera hata akiwa anakupa mkeo unaongoza nchi haina shida sisi tutaridhika tu, hatuna shida na sera, tunatak uitoe kwanza ccm.
Lowassa we dearly love you from deepest parts of our hearts. Huna haja ya kusema chochote mheshimiwa.