IDEGENDA
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 4,492
- 5,345
Hapo ndipo ninapo kuonea huruma zaidiKumuonea huruma Tajiri mwenye uwezo wa fedha na ambaye HATOPANGA FOLENI YA SUKARI HATA IKIPOTEA KWA MIAKA 10 ni kutenda dhambi kijinga sana .
Hapo ndipo ninapo kuonea huruma zaidiKumuonea huruma Tajiri mwenye uwezo wa fedha na ambaye HATOPANGA FOLENI YA SUKARI HATA IKIPOTEA KWA MIAKA 10 ni kutenda dhambi kijinga sana .
lowasa ni fisadi mpaka nyerere alimkataa asigombee urais leo hii chadema mnamtetea hivi nyie ni wazima kweli? kweli nimeamini chadema kumejaa mapunguani
No one is defending Lowasa. Nimesema misukule, book 7 na majuha wasioelewa upesi na wepesi wa kusahau siongei nao. Kama hujaelewa andiko langu huwezi kujadiliana na minin juu ya hili. Subiri maelekezo.Ujira wako inaonekana ni mzuri Sana basi Nami nipe deal maana Kwa utetezi huu Kwa bwana mkubwa wa lowassa ni zaidi ya uhai wako
Malofa Harahan
Ustaarabu c kizungu,jivunie lugha ya kizalendo
Fisadi anayetajwa kila kona na CCM ni Lowassa tu! Duh haya mkuu! Ninyi hamkutaja mpk makoo yakawauka kwa miaka mingi?Hapa tunaongelea vita ambayo magufuli ameitangaza dhidi ya mafisadi. Na fisadi anayetajwa ccm ni Lowasa tu kila sehemu. Sasa serikali iliyoshindwa uchaguzi kwa kishindo, ya ccm, inaogopanini kumpeleka mahakamani Fisadi Lowasa ili arejeshe mali zetu na vita vya ufisadi viishe? Kama ni fisadi kwa nini hashtakiwi na serikali inavita na mafisadi?
Sasa si nimeshakuunga mkono kuwa Lowassa sio Fisadi, hasira za nini kiongozi?Andiko reeefu upuuzi mtupu
Fisadi anayetajwa kila kona na CCM ni Lowassa tu! Duh haya mkuu! Ninyi hamkutaja mpk makoo yakawauka kwa miaka mingi?
Punguzeni unafiki..
Tulia ikuingie sawasawa.Unapiga mayowe ccm ileileTWAWEZA, 2015. Ccm inaungwa mkono na majuha na waliochoka vichwani!
Uzalendo ni upi kama hata hamwezi kutumia sheria zilizopo? Au huzijui kwa kuwa zimeandika kiingereza? Nalo najua ni tatizo la LOWASA. Mpelekeni mahakamani kwa kuandika sheria za nchi kwa lugha ya kiingereza.
Ukishajua ikusaidie nnHivi yule kijana anaeitwa Sioi lakini kaoa mtoto wa Lowassa kishapata dhamana?
Ndo maana alishinda uchaguzi mkuu atii kwa sababu ameiweka CCM kiganjaniKuna wengine wanadokeza kwamba lowassa ana uwezo wa kusambaratisha ccm kwa masaa pungufu ya 24 , akitaka , wanasema mpaka sasa ccm iko kwenye kiganja chake tena cha mkono wa kushoto !
Tulia ikuingie sawasawa.Unapiga mayowe ccm ileile
Na tumekujangoja waje
Kwani hao twaweza si Miongoni mwa Malofa na Wapumbavu? Au hujui hilo?Hivi wewe, unajua kupiga kelele ni nini? Mbona uko low sana? Hujui hata report ya twaweza ilisema nini halafu unataka nishuke niwe kama wewe ? Sijibishani na majuha. Ila kumbuka tu twaweza walissema katika utafiti kwa sabbu hata kusoma naona hujui, walseme "ccm inaungwa mkono na mijinga na yenye shida kichwani". au hhii TWAWEZA, 2015 imekuchanganya hadi ukanoa mchina? Wewe nenda kwa watu aina yako. Sina muda wa upumbavu huo uanotaka kuleta kwangu. BRN at its worst!