Lowassa kawashinda CCM nzima na serikali yao

Lowassa kawashinda CCM nzima na serikali yao

Hakuna kiongozi hata mmoja na wafanyakazi kokote Tanzania wasio na ufisadi. Leo ufanye kazi ya mgambo basi utaifanya kifisadi kuwaibia wenye biashara ndogo ndogo.
 
Rais Magufuli aliyeapa kupambana na mafisadi na majizi, anaishia kwenda kukamata machine mbovu ya kukagua mizigo airport
 
Yupo wapi leo huyo lowasa? Afu useme CCM ipo wapi leo? Ukimaliza ujibu nan kamshinda mwe

Hujui ccm ilipo? Unadhani siku zote mtatumia feva ya refa?

Kama mko stable kama unavyodhani, kwa nini hamwishi kubwabwaja eti lowasa fisadi huku maelfu ya mafidadi mnayo ccm n akwenye serikali yenu. Kama fisadi wa nchi hii ni Lowasa, kwa nini hamumpeleki mahakamani ili arudishe mali ya umma aliyofasidi? Jibu swali. Kama si great thinker, unakaa kimya unajisomea notisi.
 
Haya ni mahaba tu ya kijinga,mbona ninyi mlimpokea licha ya kumtangaza fisadi?mliomshindwa ni ninyi mlopakatwa naye.Maana hamfurukuti anachokisema mnatekeleza
 
Rais Magufuli aliyeapa kupambana na mafisadi na majizi, anaishia kwenda kukamata machine mbovu ya kukagua mizigo airport

Ccm ndiyo mafisadi wenyewe. Ukiongea ufisadi kwa lugha rahisi ni ccm. Sasa haongelei ufasadi wowote ambao ndio nguzo ya ccm. Akipambana na mafisadi maana yake anavunja nguzo ya chama kilichomweka utawalani (kwa sababu aliwekwa na ccm).

Na ili kupotezea wanaongea Lowasa kama wehu huku wakisahau kwamba Watanzania tunawachora tu tukisema kweli ccm ni vilaza. Kama Lowasa ndiye fisadi pekee, kwa nini hapelwkwi mahaamani ili hii vita ya ufisadi Tanzania iwe imekwisha halafu magufli aweke kpaumbele kingine?
 
huu mtego kamwe vijana wa lumumba hata wajazane humu kwa hoja nzito huwa hawachomok wala kutegua wanaishia kutukana na kashfa safar hii wameshikwa pabaya sana wanachungulia na kusepa mwiba mchungu huu.
 
Ccm ndiyo mafisadi wenyewe. Ukiongea ufisadi kwa lugha rahisi ni ccm. Sasa haongelei ufasadi wowote ambao ndio nguzo ya ccm. Akipambana na mafisadi maana yake anavunja nguzo ya chama kilichomweka utawalani (kwa sababu aliwekwa na ccm).

Na ili kupotezea wanaongea Lowasa kama wehu huku wakisahau kwamba Watanzania tunawachora tu tukisema kweli ccm ni vilaza. Kama Lowasa ndiye fisadi pekee, kwa nini hapelwkwi mahaamani ili hii vita ya ufisadi Tanzania iwe imekwisha halafu magufli aweke kpaumbele kingine?
Una mda gan hujanywa chai?
 
Haya ni mahaba tu ya kijinga,mbona ninyi mlimpokea licha ya kumtangaza fisadi?mliomshindwa ni ninyi mlopakatwa naye.Maana hamfurukuti anachokisema mnatekeleza

Msukule sikiliza. Kwa hiyo kwa mujibu wa sheria za huko usukuleni, adhabu ya fisadi ni kutokuondoka ccm?

Msukule ni msukule na ndiyo sababu wachawi huaondoa akili misukule. Sasa wewe ukitajia huyu alikuibia, au hata kama umeemuona inakusaidia nini kama hupati kurudishiwa alichokuibia?

CCm ndicho chama kilichojiundia seriakli. Seriakli kwa kusimamia na kulinda katiba ya wananchi kwa maslahi ya taifa. Kama ndivyo, watanzania tunajua ni wajibu wa srikali kuwakamata watuhumiwa wa uahrifu na kuwapeleka mahakamani ili wakahukumiwe kwa mjibu wa haki. Kwa nini ccm inaogopa kumpeleka Lowasa mahakamani?

Au kwa sheria zenu huko usukuleni ni kwamba fisadi hukumu yake ni ktokuhama chama? Akihama mnamfanya nini ambacho hata hivyo mmesshinkwa kumfanyia Lowasa mnabaki kuloloma fisadi? Neno fisadi bila hatua za kisheria linalindaje ustawi wa wanyonge walioibiwa?

Msukule jitambue. Kama huoni mbali, akili zako zinaishie upeo wa msukule wa ccm, ishia.
 
Lowassa kawapa nini watanzania wenzangu mpk mwajitoa fahamu kiasi hiki?

Okay, tuseme sio fisadi na ana uwezo mkubwa sijui kaiweka CCM kiganja cha kushoto na kadhalika, so what? Mtu aliyeiweka Ccm kiganjani, ameingia nayo kwenye battle anashindwa? Utasema fitna za NEC ndio zimemnyima ushindi! Kama ndivyo, yeye si alikuwa Ccm miaka mingi, ina maana hakuwa anajua kwamba NEC watamhujumu hivyo atapoteza nguvu na muda bure fighting in the losing war?

Kijana, Uchaguzi umeshafanyika na hivi sasa CCM ipo madarakani chini ya Magufuli. Lowassa yuko zake Chadema sijui hata anafanya nini. Huwezi ku-relax kidogo ukaendelea na mambo mengine?! Unajiumiza hisia bure tu ndugu yangu.. Lengo la uchaguzi ni ushindi. Ninyi hamkushinda, Ccm wameshinda. Basi kubali yaishe!

Nakuunga mkono, Lowassa sio fisadi na kila mtu anayetoka nje ya CCM sio fisadi tena. Fisadi ni kila aliyepo CCM. Hapo vipi?
 
Una mda gan hujanywa chai?

Bahati nzuri sisi wazee hatunywi sukari. Ila wajukuu wangu wana muda mrefu kwa sababu Fisadi Lowasa ameshindwa kudhibiti uzalishaji na usambazaji wa sukari. Na hivyo hata iliyokuwa imezalishwa ameificha Mondulil nyumban ikwake. Na hata iliyoagizwa juzi fisadi Lowasa ameificha nayo.

Sasa tunataka huyu fisadi anayeharibu nchi hii na kutusababishia mateso na maisha magumu yasiyokoma aitwaye Lowasa apelekwe mahakamani ili arudishe mali alizotuibia na kuhakikisha sukari inapatikana.

YOTE HAYA KWA SABABU YA FISADI LOWASA!.
 
Ndugu zangu tazameni hapa:-

Lowassa ni fisadi. Aliiba fedha kwa mfumo Richmond, serikali ilijua na iliogopa kumchukulia hatua. Amejiunga na upinzani hadi kugombea uraisi, serikali ya CCM inamwangalia na kuishia kuongelea uvunguni kwamba ni fisadi. Hakuna ajasiri wa kumfikisha mahakamani. Halafu bado serikali hii inajibainisha kwamba inatumikia wananchi kwa misingi ya haki na uzalendo.

Serikali imetumia majeshi yake yote kulinda maslahi ya CCM. Lakini haina uwezo wa kulinda maslahi ya taifa kwa kumfikisha Lowasa fisadi mbele ya sheria. Hapa ni dhahiri lowasa amewashinda Ccm na serikali yote ama serikali haina uwezo wala ujanja wa kupambana na ufisadi. adui wa tano wa maendeleo akifuatia nyuma ya Ccm yenyewe.

Lowassa amesema hadharani kwamba mwenye Richmond ni Jakaya Mrisho Kikwete, la ajabu Ccm na serikali yake, haina uwezo wa kushughulikana hili suala. Imeendelea kumfunika huyo aliyetajwa na kuzidi kulalamika juu ya ufisadi wa Lowasa lakini hakuna siku kafikishwa mahakamani ili aadhibiwe na mali ya taifa irudishwe kwa maslahi ya umma. Hiyo ni serikali.

Kumetokea ufisadi mwingi wa kutisha sana kama Escrow, Lugumi, EPA, na mingine mingi ambavyo washiriki wake ni wanachama wa ccm ama watumishi wa serikali ya ccm. Ccm haina ubavu wa kuongelea hayo wala haina mpango wa kuwachukulia hatua. Badala yake imefunika bunge lisitangazwe watu wasijue hayo mambo na hata mara nyingnine wabunge wamezuiliwa kuyaongelea hayo mambo. Lakini Ccm na serikali yake imekazana kusema Lowasa fisadi bila kumchukulia hatua. Serikali inalalamika badala ya kuchukua hatua. Ccm na serikali yake haina ubavu wa kumchukulia hatua Lowassa.

Leo wabunge wa ajabu kabisa wa CCM wanasema Uuzwaji wa nyumba usiongelewe kwa sababu na Lowassa alinunua. As if kununua nyumba za serikali ni kosa kuliko kuuza. Halafu lisisemwe kwa vile Lowassa alinunua nyumba. Lowassa kiboko ya Ccm na serikali yake kiasi kwamba hawana uwezo wa kugusa lolote alifanyalo wanaishia kulalamika.

Watanzania tunapata picha gani kuhusu CCM na serikali yake inayojiweka madarakani kwa hila huku haina uwezo wa kuongoza nchi?

Ama katika michango yetu, naomba tuongee kwa mifano halisi pale ambapo panathibitisha CCM kushindwa kuongoza nchi yetu kwa maslah ya taifa.

1. Ni kweil Lowassa ana nguvu kulilko CCM, Serikali yote na sheria zote kwamba hawana uweo wa kumfikisha mahakamani kwa ufisadi? Au wanaogopa vivuli vyao wenyewe? Kama siyo uoga, anayejibu aeleze ni kwa nini serikali na ccm yake wanamtaja fisadi wakati huo huo hawana uwezo wa kumfikisha kwenye sheria kama waharifu wengine.

2. CCM kupata kigugumizi kuzungumzia ufisadi na kuwachukulia hatua mafisadi waliodhahiri na kubaki kusema Lowasa lowasa. Wathibitishe kwamba Lowasa ni fisadi wa richmond, Escrow, Epa, Kagoda, Kiwira, Lugumi, Nida, N.K. Na kwa nini hafikishwi mahakamani?

Wenye uelewe waongee constructively huku mkisite relevant examples na nini kifanyike.

LOWASA AMEASHINDWA, CCM NA SERIKALI YAKE HAWATAKI KUONGELEA UFISADI MWINGINE LOWASSA NA BADO HAWANA UBAVU WA KUMSHITAKI.

HII NI SERIKALI AMA MAANDALIZI YA MAZISHI YA TAIFA LA TANZANIA?


Heeeeeeeeeeh, ngoja nipime upepo kwanza na ikiwezekana nije kwa nguvu katika uzi huu...
 
Lowassa kawapa nini watanzania wenzangu mpk mwajitoa fahamu kiasi hiki?

Okay, tuseme sio fisadi na ana uwezo mkubwa sijui kaiweka CCM kiganja cha kushoto na kadhalika, so what? Mtu aliyeiweka Ccm kiganjani, ameingia nayo kwenye battle anashindwa? Utasema fitna za NEC ndio zimemnyima ushindi! Kama ndivyo, yeye si alikuwa Ccm miaka mingi, ina maana hakuwa anajua kwamba NEC watamhujumu hivyo atapoteza nguvu na muda bure fighting in the losing war?

Kijana, Uchaguzi umeshafanyika na hivi sasa CCM ipo madarakani chini ya Magufuli. Lowassa yuko zake Chadema sijui hata anafanya nini. Huwezi ku-relax kidogo ukaendelea na mambo mengine?! Unajiumiza hisia bure tu ndugu yangu.. Lengo la uchaguzi ni ushindi. Ninyi hamkushinda, Ccm wameshinda. Basi kubali yaishe!

Nakuunga mkono, Lowassa sio fisadi na kila mtu anayetoka nje ya CCM sio fisadi tena. Fisadi ni kila aliyepo CCM. Hapo vipi?

Hapa tunaongelea vita ambayo magufuli ameitangaza dhidi ya mafisadi. Na fisadi anayetajwa ccm ni Lowasa tu kila sehemu. Sasa serikali iliyoshindwa uchaguzi kwa kishindo, ya ccm, inaogopanini kumpeleka mahakamani Fisadi Lowasa ili arejeshe mali zetu na vita vya ufisadi viishe? Kama ni fisadi kwa nini hashtakiwi na serikali inavita na mafisadi?
 
Lowassa kawapa nini watanzania wenzangu mpk mwajitoa fahamu kiasi hiki?

Okay, tuseme sio fisadi na ana uwezo mkubwa sijui kaiweka CCM kiganja cha kushoto na kadhalika, so what? Mtu aliyeiweka Ccm kiganjani, ameingia nayo kwenye battle anashindwa? Utasema fitna za NEC ndio zimemnyima ushindi! Kama ndivyo, yeye si alikuwa Ccm miaka mingi, ina maana hakuwa anajua kwamba NEC watamhujumu hivyo atapoteza nguvu na muda bure fighting in the losing war?

Kijana, Uchaguzi umeshafanyika na hivi sasa CCM ipo madarakani chini ya Magufuli. Lowassa yuko zake Chadema sijui hata anafanya nini. Huwezi ku-relax kidogo ukaendelea na mambo mengine?! Unajiumiza hisia bure tu ndugu yangu.. Lengo la uchaguzi ni ushindi. Ninyi hamkushinda, Ccm wameshinda. Basi kubali yaishe!

Nakuunga mkono, Lowassa sio fisadi na kila mtu anayetoka nje ya CCM sio fisadi tena. Fisadi ni kila aliyepo CCM. Hapo vipi?
Andiko reeefu upuuzi mtupu
 
Ndugu zangu tazameni hapa:-

Lowassa ni fisadi. Aliiba fedha kwa mfumo Richmond, serikali ilijua na iliogopa kumchukulia hatua. Amejiunga na upinzani hadi kugombea uraisi, serikali ya CCM inamwangalia na kuishia kuongelea uvunguni kwamba ni fisadi. Hakuna ajasiri wa kumfikisha mahakamani. Halafu bado serikali hii inajibainisha kwamba inatumikia wananchi kwa misingi ya haki na uzalendo.

Serikali imetumia majeshi yake yote kulinda maslahi ya CCM. Lakini haina uwezo wa kulinda maslahi ya taifa kwa kumfikisha Lowasa fisadi mbele ya sheria. Hapa ni dhahiri lowasa amewashinda Ccm na serikali yote ama serikali haina uwezo wala ujanja wa kupambana na ufisadi. adui wa tano wa maendeleo akifuatia nyuma ya Ccm yenyewe.

Lowassa amesema hadharani kwamba mwenye Richmond ni Jakaya Mrisho Kikwete, la ajabu Ccm na serikali yake, haina uwezo wa kushughulikana hili suala. Imeendelea kumfunika huyo aliyetajwa na kuzidi kulalamika juu ya ufisadi wa Lowasa lakini hakuna siku kafikishwa mahakamani ili aadhibiwe na mali ya taifa irudishwe kwa maslahi ya umma. Hiyo ni serikali.

Kumetokea ufisadi mwingi wa kutisha sana kama Escrow, Lugumi, EPA, na mingine mingi ambavyo washiriki wake ni wanachama wa ccm ama watumishi wa serikali ya ccm. Ccm haina ubavu wa kuongelea hayo wala haina mpango wa kuwachukulia hatua. Badala yake imefunika bunge lisitangazwe watu wasijue hayo mambo na hata mara nyingnine wabunge wamezuiliwa kuyaongelea hayo mambo. Lakini Ccm na serikali yake imekazana kusema Lowasa fisadi bila kumchukulia hatua. Serikali inalalamika badala ya kuchukua hatua. Ccm na serikali yake haina ubavu wa kumchukulia hatua Lowassa.

Leo wabunge wa ajabu kabisa wa CCM wanasema Uuzwaji wa nyumba usiongelewe kwa sababu na Lowassa alinunua. As if kununua nyumba za serikali ni kosa kuliko kuuza. Halafu lisisemwe kwa vile Lowassa alinunua nyumba. Lowassa kiboko ya Ccm na serikali yake kiasi kwamba hawana uwezo wa kugusa lolote alifanyalo wanaishia kulalamika.

Watanzania tunapata picha gani kuhusu CCM na serikali yake inayojiweka madarakani kwa hila huku haina uwezo wa kuongoza nchi?

Ama katika michango yetu, naomba tuongee kwa mifano halisi pale ambapo panathibitisha CCM kushindwa kuongoza nchi yetu kwa maslah ya taifa.

1. Ni kweil Lowassa ana nguvu kulilko CCM, Serikali yote na sheria zote kwamba hawana uweo wa kumfikisha mahakamani kwa ufisadi? Au wanaogopa vivuli vyao wenyewe? Kama siyo uoga, anayejibu aeleze ni kwa nini serikali na ccm yake wanamtaja fisadi wakati huo huo hawana uwezo wa kumfikisha kwenye sheria kama waharifu wengine.

2. CCM kupata kigugumizi kuzungumzia ufisadi na kuwachukulia hatua mafisadi waliodhahiri na kubaki kusema Lowasa lowasa. Wathibitishe kwamba Lowasa ni fisadi wa richmond, Escrow, Epa, Kagoda, Kiwira, Lugumi, Nida, N.K. Na kwa nini hafikishwi mahakamani?

Wenye uelewe waongee constructively huku mkisite relevant examples na nini kifanyike.

LOWASA AMEASHINDWA, CCM NA SERIKALI YAKE HAWATAKI KUONGELEA UFISADI MWINGINE LOWASSA NA BADO HAWANA UBAVU WA KUMSHITAKI.

HII NI SERIKALI AMA MAANDALIZI YA MAZISHI YA TAIFA LA TANZANIA?
we bogus,,,kama lowasa sio fisadi kwanini chadema walimtaja pale mwembeyanga kwenye mkutano mbele ya hadhara kuw ni fisadi papa? kwa nini akina lema, msigwa, mdee,tundu lisu walimtukana sana kuwa ni mwizi kabla ya kujiunga na chadema? j
 
Unasemaje juu ya Ufisadi wa Lowasa? Kwa nini hammpeleki mahakamani ili vita ya ufisadi iishe? Jibu hoja, matusi katika hoja adili ni upumbavu.
Mkuu hebu punguza jazba ccm ni sikio la kufa utajiumiza bure rudia kunisoma tena
 
Hapa tunaongelea vita ambayo magufuli ameitangaza dhidi ya mafisadi. Na fisadi anayetajwa ccm ni Lowasa tu kila sehemu. Sasa serikali iliyoshindwa uchaguzi kwa kishindo, ya ccm, inaogopanini kumpeleka mahakamani Fisadi Lowasa ili arejeshe mali zetu na vita vya ufisadi viishe? Kama ni fisadi kwa nini hashtakiwi na serikali inavita na mafisadi?
lowasa ni fisadi mpaka nyerere alimkataa asigombee urais leo hii chadema mnamtetea hivi nyie ni wazima kweli? kweli nimeamini chadema kumejaa mapunguani
 
we bogus,,,kama lowasa sio fisadi kwanini chadema walimtaja pale mwembeyanga kwenye mkutano mbele ya hadhara kuw ni fisadi papa? kwa nini akina lema, msigwa, mdee,tundu lisu walimtukana sana kuwa ni mwizi kabla ya kujiunga na chadema? j
Acha ujuha changia taratibu ueleweke sio unabwatuka tu,
 
Back
Top Bottom