Lowassa kawashinda CCM nzima na serikali yao

Lowassa kawashinda CCM nzima na serikali yao

Kaka hivi kuna mtu ana uhakika kuwa lowassa alikula hela za richmond maana mitambo yao nasikia bado inafanya kazi.....alivyohama chama aliomba afikishwe mahakani ili ukweli ujulikane.....mwakyembe alitoa sijui siku mia mbona kilichotokea na yeye alitoa printout za kusaini mkataba.....kwanini wao hawakuongea kitu....hii serikali bwana mdogo ......
 
Acheni kuficha ushahidi. Kama hamna huo ushahidi mliounadi miaka 8, rudini kwa wanachi mkakanushe hayo mliyonadi. Kasemeni tulimsingizia Lowasa, chadema na wafuasi wake ni waongo, wanafiki na hawaaminiki. Pia semeni kubenea ni muongo na hana ushahidi dhidi ya ufusadi wa Lowasa.


Wewe ndiye utuambie, ukiwa kama serikali unasemaje. LOWASA NA FISADI AMA SI FISADI? VINGINVYO UNATHIBITISHA NAMNA CCM MLIVYOMISUKULE YA KUFANYA KILA MNACHOAMBIWA HATA KULIMA UCHI USIKU WA MANANE!
 
Mm nataman...nione siku lowasa anahukumiwa kwebda jela na serekali ya ccm....nashangaa vijan wa ccm wana kila kitu polis ,jeshi na mahakama ila hawamfikishi lowasa mahakamani na kumfunga......wanabaki kutoa matamkoa kupitia matawi yake ,mara jukwaa huru la wazalendo ,mara hili la kina matefu......
 
Acheni kuficha ushahidi. Kama hamna huo ushahidi mliounadi miaka 8, rudini kwa wanachi mkakanushe hayo mliyonadi. Kasemeni tulimsingizia Lowasa, chadema na wafuasi wake ni waongo, wanafiki na hawaaminiki. Pia semeni kubenea ni muongo na hana ushahidi dhidi ya ufusadi wa Lowasa.
mpelekeni lowasa mahakamani...hizo porojo zako hazina msingi
 
Kaka hivi kuna mtu ana uhakika kuwa lowassa alikula hela za richmond maana mitambo yao nasikia bado inafanya kazi.....alivyohama chama aliomba afikishwe mahakani ili ukweli ujulikane.....mwakyembe alitoa sijui siku mia mbona kilichotokea na yeye alitoa printout za kusaini mkataba.....kwanini wao hawakuongea kitu....hii serikali bwana mdogo ......


Haya ni maajabu ya dunia. Mtu wanamwita fisadi kwa sabbu "kuan watu walisema bila hata kutafuta ushahidi na wanasema hayo kwa kuw a kahama chama chao"., Mungu mwema, mtu kajitokeza anaomba apelekwe mahakamani ili ukweli ukajulikane huko kwa kuw amahakama ndiko chombo cha kutoa haki. Na kwa mujibu wa katiba serikali ndiyo inadhamana ya kuwafikiha mahakamani wahujumu uchumi na mafisadi wote.

Mijuitu imekaa imetoa macho kama misukule inasubiri amuri ya nini ifnaye ili kuendeleza uonevu. Leo inashindwa kuchukua hatua pamoja na mtu menyewe kuyafundisha nini cha kufanya. Halafu inabdi hapa kuimba LOWASA LOWASA. Huu si umbweha huu?

Sasa haap kuna serikali ama ni misukule tu yenye ushabiki wa kijing aunaoendehswa na ccm?
 
Hujui kusoma ishia mbali na mimi msukule wa Lumumba wewe!. Kama hwezi kkuelewa hoja inayodajiliwa, huna haki ya kusema. Pumbavu. TWAWEZA, 2015. Tafuta hiyo report ujione wewe jindi unafahamika kimataifa kwamba ni pumbavu.
 
Hivi wewe, unajua kupiga kelele ni nini? Mbona uko low sana? Hujui hata report ya twaweza ilisema nini halafu unataka nishuke niwe kama wewe ? Sijibishani na majuha. Ila kumbuka tu twaweza walissema katika utafiti kwa sabbu hata kusoma naona hujui, walseme "ccm inaungwa mkono na mijinga na yenye shida kichwani". au hhii TWAWEZA, 2015 imekuchanganya hadi ukanoa mchina? Wewe nenda kwa watu aina yako. Sina muda wa upumbavu huo uanotaka kuleta kwangu. BRN at its worst!
Katafute ela ununu sukari maana kwa maneno hayo inaonesha una mda hujanywa chai
 
Hujui kusoma ishia mbali na mimi msukule wa Lumumba wewe!. Kama hwezi kkuelewa hoja inayodajiliwa, huna haki ya kusema. Pumbavu. TWAWEZA, 2015. Tafuta hiyo report ujione wewe jindi unafahamika kimataifa kwamba ni pumbavu.
Nashukuru umeamua kuaga baada ya kuridhika na kutambua kuwa nyiyi wanafiki na wapumbavu wa chadema ndio mnapaswa kupeleka ushahidi ili Lowasa ashitakiwe la sivyo Mkanushe ule uongo mliousema miaka 8.
Kuhusu twaweza. Napenda kusema yafuatayo. Wewe na chama chako mlianza kuuamini utafiti wa twaweza tangia lini? Mwezi wa tisa mwaka 2015, wewe na wapumbavu wenzio wa chadema mlipiga ripoti yao iliyompa Mh Magufuli asilimia 62% ya ushindi. Hata mwaka bado haujaisha umekuja kuupongeza utafiti uliokufurahisha. Huu ni ushahidi tosha wa kubainisha chadema ni genge la wanafiki wote wa Tanzania.
 
Mwambieni Mbowe, Kubenea na wajinga anaowaongoza wakaripoti polisi ule ushahidi waliounadi miaka 8
hizo unazosema hapa ni porojo...serikali ina mamlaka yote ya kuwajibisha wezi....serikali iache kuwalinda mafisadi...imchukulie hatua lowasa Mara moja
 
Mkuu usiseme sana. Bado kuna mahakama ya mafisadi wamesema itaundwa mwezi wa 7. Tunaisubiri kwa hamu sana. Tunataka kuona nani atakuwa wa kwanza kufikishwa kwenye mahakama hiyo. Huu mchezo hauwezi kumalizika mpaka mtu ajigeuzie risasi mwenyewe.
 
hizo unazosema hapa ni porojo...serikali ina mamlaka yote ya kuwajibisha wezi....serikali iache kuwalinda mafisadi...imchukulie hatua lowasa Mara moja
Itabidi iwasubiri Mbowe na Kubenea pale watakapoamua kuupeleka ule ushahidi dhidi ya Lowasa. Polisi haiwezi kuwavamia au kuwakamata mbowe na Kubemea ili iwalazimishe watoe ushahidi walionao. Kutumia nguvu kupata ushahidi sio utawala bora.
 
N
Tukitaka kuwashughuligikia mafisadi hakuna atakayepona ndani ya ccm, hata huyo mtumbua majipu naye anatajwa sana. Wanachokifanya ccm ni kuendelea kutawala kwa nguvu ya dola tu. Uwezo wa kumshtaki Lowassa wanao lakini wanachogopa ccm na viongozi wake ni kuwa Lowassa hizo fedha hakuiba pekee yake ilikuwa ni chain ya viongozi, wakienda mahakamani atawataja na ataamuru jaji walete mahakamani kama mashaidi.

Ndio maana wanasema bora liende tu hakuna namna yoyote ya kujinasua zaidi ya kuirudisha Katiba ya Warioba kinyume na hapo itakuwa ni maigizo na ngojera za kutumbua majipu...
Ndio maana wamebaki kubwabwaja tu bila kuchukua hatua
 
Mkuu usiseme sana. Bado kuna mahakama ya mafisadi wamesema itaundwa mwezi wa 7. Tunaisubiri kwa hamu sana. Tunataka kuona nani atakuwa wa kwanza kufikishwa kwenye mahakama hiyo. Huu mchezo hauwezi kumalizika mpaka mtu ajigeuzie risasi mwenyewe.
Waliuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa na kununua ferry mbovu.Hiyo mahakama ni yenyewe ije upesi.
 
Kwa issue ya lowasa hapo bwana kuna sintofahamu nyingi bwana, maana kama ni kesi , kesi yake ni ya uhujumu uchumi na na ni serikali pekee ndo inatakiwa kumpeleka mtu mahakamani, sio upinzani wala sio mbowe wala sio mimi wala wew wala lissu, kama serikali haina ushahidi inaweza kutafuta ushahidi na ikapata, au hata kuwaomba hao upinzani wakacollaborate, ingekuwa ni kesi hizi za kawaida mtu kakuibia hapo ni fasta mtu binafsi kuchukua hatua. Swala la Lowasa pengine ni zito , au kigugumizi ama ni mazoea ya serikali nyingi za kiafrika kuchukua hatua kali kwa viongozi wakubwa serikalini wa sasa au waliopita. Umekuwa utamaduni sasa, kama wew ni small fish utapigwa chini fasta, lakini watu wakubwa inakuwa ni mchakato mchakato usiokuwa na mwisho, hivyo rushwa kuisha ni hadithi tu hizi, Africa tumekuwa na incompetence government kwa miaka mingi, so rushwa itaisha tukianza kuchukua hatua madhubuti na watu wakafungwa kweli au kunyongwa . Hivyo tutaishia kusema fisadi huyooooo, inashia vile, fisadi yuleeee inakwenda kwenda inakwisha hivyo.
 
vita ya ufisad ilishawashnda cku nying, kwasababu kupambana na ufisadi n kupambana na miziz ya chama. kushnda ufisad n kifo cha chama, ko bora nin cham kife? ufisad ufe au chama kbak na ufisad uendelee kukomaa kuwa kansa na ndo kinachoendelea
 
Ufisadi ni kosa la jinai na mwenye wajibu wa kushitaki ni serikali.
Hata hivyo, tuhuma lazima zithibitishwe bila shaka yoyote kwa kutoa ushahidi wenye vielelezo vya kutosha.
Kulalamika bila vielelezo ni tatizo. Yawezekana ni uzushi tu. Kama unapinga ufisadi ambatanisha ushahidi na siyo maneno matupu.
Kelele nyingi pia ni uthibitisho wa woga. Mbwa mwoga hubweka sana na ukimfuata anarudi nyuma akizidisha kelele, mkali hung'ata na utakachosikia ni kelele ya adui.
 
Back
Top Bottom