Lowassa katika kashfa mpya! Ni ya uuzwaji kiholela wa UDA

Mzee duh. Mtu atafingewa mke na kusema lowasa ndo kasababisha kila kitu lowasa alafu hakamatwi.!
 
Rais wako huyu hapa, wa tatu chini hapo. Na hapo alikuwa Jukwaani wakati akiendelea na speech!
Jaman tuna mchagua rais wa nchina wala siyo mcheza mieleka ikifika sehemu kigezo cha uongoz ni kupiga push up basi tumpe matumla urais ama cheka na cena angekuwa rais wa state
 
Mbona muda huo wote walikuwa hawajamsema kwamba ndiye mhusika na uuzaji wa shirika la Uda na tunasikia haya baada tu ya kuhamia Ukawa au shirika hilo liliuzwa baada ya yeye kuhamia Ukawa? Sitetei (kama kweli ni yeye alisimamia huo uuzwaji, lakini ninachoshangaa ni kwamba wakati akiwa CCM kulikuwa kimya na sasa kwa vile ametoka kelele nyingi).

cha muhimu tujue kama anahusika au hahusiki ni majungu. kusema kuwa alipokuwa ccm walikaa kimya haimaanishi alikuwa hahusiki.
 
Mzee duh. Mtu atafingewa mke na kusema lowasa ndo kasababisha kila kitu lowasa alafu hakamatwi.!

atakamatawaje wakati alitumia pesa yake kumweka mkulu magogoni. ebo. anarudisha hela zake. sasa subiri aingie ambae hajawekwa na hela zake
 
Hata mumsafishe vipi fisadi ni fisadi tu, hatuko tayari kuuzwa tunajiona, lowasa ana mengi yakujibu nawashangaa leo eti amekuwa shujaa kisa kahama ccm, hata kama tunataka mabadiliko si kwa style hiyo, huo ni usanii live

watanzania wengine kama nyumbu. akianza mmoja wote wanafuata. hawana muda wa kufikiria
 
Mweney macho haambiwi tazama,

Walikuwa wapi iku zote hizo? Scandal hizo mbona zilivuma sana hawakusema na nyngine wali husika nazo mbona hawatajwi? Kwa nini wanao tajwa ni walio jitenga na Chama?

Wana mabadiliko kaza kamba, haya yote wna CCM wana yataja kwa sababu tu wameona wananchi wameanza kujitambua, mkirudi nyuma tu mmekwishaaa! Mkikaza kamba zaidi ndiyo pona yenu kwani watafunguka zaidi na mali zenu zitakuwa salama na pengine kurejeshwa! Msidanganyike hadi trh 25 Oct 2015 bado siku chache tu...

jamaa ana madudu mengi na hayajaisha. ana bahai kikwete aliwekwa na kina lowasa. asubiri dr magufuli aingie magogoni jamaa kama hajaenda lupango sijui. na ndicho kinachomnyima usingizi saa hizi. mikesi kibao. salalma yake ilikuwa kikwete. akiingia magufuli ahesanu maumivu

jamaa na afya kama hivyo anatafuta urais kwa udi na uvumba maana anajua akishindwa makesi yatammaliza. mwisho presha juuuu
 
Sera za wagombea urais bukoba

1 lowasa-nitahakikisha wanabukoba wanapata soko la kahawa nje nchi kama Burundi na Rwanda

2.daktari mkemia
Magufuli-nitawahakikishia wanabukoba viwanda hapa hapa nchini ambapo watauuza kahawa zao kwa bei nzuri

Kichwa maji na lofa kati ya hao wawili n lowasa
Anawaza kuuza raw material nje
kuliko na kuwa na viwanda vya ndani
alafu eti anataka mabadiliko
 
Mmechelewa na kashfa zenu hata kama kafanya kweli hakuna wa kukuelewa tunajua mnamuonea tu

chelewa ufike. maarifa/ habari za ukweli hazichelewi. huko ni kuchoka kufikiri. endeleeni kutuletea habari za ukweli hata mpaka sekunde moja kabla ya uchaguzi. mradi ziwe za ukweli.

watu wanaendelea kutafuta ukweli kuhusu mambo mpaka wanapokuwa wazee kabisa. ni sisi watanzania na IQ/ akili zetu ndogo ndo tunachoka kuendelea kupata habari za ukweli mpya. mtu akishajua vitu viwili vitatu anaona inatosha. hajihangaishi tena kutafuta maarifa mapya

ndo yale yale. akishasikia ccm kuna mafisadi basi anakariri hivyo mpaka siku ya kufa. hataki tena kusikia habari zingine za ukweli kwamba katika ccm kuna watu wengi sio mafisadi na wanaweza kututoa hapa tulipo tukaenda mbele zaidi kimaendeleo. na wala hataki tena kusikia kuwa hata kwingineko chadema/ ukawa kuna mafisadi wabaya kuliko hata mafisadi ya ccm.

acheni kukaririshwa
 
cha muhimu tujue kama anahusika au hahusiki ni majungu. kusema kuwa alipokuwa ccm walikaa kimya haimaanishi alikuwa hahusiki.

"Kama mna ushahidi pelekeni mahakamani na kama hamna fungine mijidomo yenu na mkae kimya hiko UGAMBANI LUMUMBA"
 
Lowassa kiboko, mijikashfa yote hio na hafanywi kitu na sirikali mbwa koko na bado apendwa kuliko mTz yoyote yule. Lowassa kiboko
 
huyu mzee sasa anatia uvivu hata wa kudhani kuwa angegombea urais. Watanzania tuamke nchi inaenda kuuzwa hiii. Mtu anakuwa na kashfa lukuki za uuzwaji wa ranchi za ufugaji ng'ombe taifa, richmond na sasa uda. Tuachaneni na huyu mtu jamani.

hahaaa nyani haoni...,????
 
Huyu mzee sasa anatia uvivu hata wa kudhani kuwa angegombea urais. Watanzania tuamke nchi inaenda kuuzwa hiii. Mtu anakuwa na kashfa lukuki za uuzwaji wa ranchi za ufugaji ng'ombe taifa, richmond na sasa UDA. Tuachaneni na huyu mtu jamani.

Hivi jamani tumekosa ya kuzungumza ktk kampeni zetu. Kila kona lowasa. Haha haaaaa lowasa for change. Bye
 
Haya yule mwana mabadiliko anaendelea kubadilika tunamuona hivi, Watanzania kama tukiamua kuelewa tuaelewa ila tukiamua kuto kuelewa pia hatutaelewa. Kila tu aua maovu yake ila ya huyu mzee yamezidi hayamruhusu yeye kua rais,tukishupaza shingo zetu na kuzani sisi tunamuone sana huruma kwamba wanaotuonya wanakosea, mwisho wa siku tutaumia.
 
Hakuna kitu kibaya kama Utumwa,Sishangai hili kwa Watanzania..CCM haoo wanachaguliwa tena na mijitu itaishia kuwa Watumwa tuuu..
 
Akizungumza kwenye mdahalo uliondaliwa na kurushwa na AZAM TV jana, Mgombea Ubunge jimbo la Ubungo, , Dr. Didas Masaburi(CCM), alisema anayepaswa kulaumiwa kwa uuzwaji holela wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam(UDA) ni LOWASSA, aliyekuwa Waziri Mkuu wakati huo, kwani ndiye aliyekuwa msimamizi wa mchakato huo mwaka 2006 hadi 2008.

"Kwa mujibu wa sheria , Waziri Mkuu ndiye msimamizi wa Serikali za Mitaa", alisema Dr. Didas Masaburi katika mdahalo uliohudhuriwa pia na wgombea wengine, Said Kubenea wa Chadema, Zangina Shangana(ACT-Wazalendo) na Renatus Muhabi(CCK).

Awali ilidhaniwa kuwa hoja ya uuzwaji wa UDA ungempa wakati mgumu Dr. Masaburi, lakini hali haikuwa hivyo kwani alitumia nafasi hiyo kutoa ufafanuzi ulioeleweka na kumtupia lawama Lowassa. Mbali na Richmond, Lowassa pia anatuhumiwa kuwa na hisa katika kampuni ya Integrated Property Limited inayohusishwa na ujenzi ambayo haikuiorodhesha kwenye Tume ya Maadili kwa mujibu wa sheria kama mtumishi wa Umma.

Mimi sijahusika na ufisadi katika uuzwaji wa UDA, nilichokifanya ni kupandisha bei yake kutoka bil.1 hadi sh.bil. 5.7nilipoingia kwenye UMEYA na kukuta shirika hilo limeuzwa isivyo halali.

Meya 2011niligundua mkataba usio sawa wa uuzwaji wa UDA baada ya kuajiri kampuni ya Ukaguzi wa hesabu ya KPMG, Bei yake haikulingana na thamani ya mali za shirika hilo, hivyo niliamuru mnunuzi, Simon group kuongeza fedha.

Soma zaidi RAIA TANZANIA.
View attachment 289852

Kashfa alizonazo ni nyingi sana huyo mzee lowasa, kwa sasa nakashifa ya kuinunua chadema
 

Maelfu ya wanainchi wakiwa wamefurika kumsikiliza mgombea Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli .
 
Back
Top Bottom