MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,888
Bungeni
Akiwa mbunge wa CCM inayoendeshwa kwa remote ya familia ya Kikwete
Bungeni
robo tatu ya wenyeviti wa mikoa na wilaya wa ccm walikuwa, na mpaka sasa bado, wanamuunga mkono lowassa, wapo wanasubiri tu na vichinjio vyao tarehe 25 oct wamalize kazi saa 12 alfajiri.Sanaa nyingine hio tumemzoea huyu comedian,wakati ule bado yupo CCM alikua anawalipa watu pesa ili waje nyumbani kwake waigize kwamba wanamuhitaji awanie uraisi nakuaandaa midea wakifika tu atuoungopee.Hii tushastukia aendelee tu kuzurura ila awe makini na afya yake na huko kuzurura isije mtokea puani
wengine walikatwa na vikao halali isipokuwa yeye alikatwa kigangwegangwe, nchimbi kimbisa na sophy wakaamua kulibumburusha.Kumetumika njia gani kwenye kumkata kwani ilikatwa peke yake.. au tegemeo lako wewe ulijuwa waliogombea wote wale wangebaki wote.. Pale anapita mmoja na ndie raisi wako ajae jipange nyema
Alikuwa wapi siku zote?
wengine walikatwa na vikao halali isipokuwa yeye alikatwa kigangwegangwe, nchimbi kimbisa na sophy wakaamua kulibumburusha.
kina mkapa si walijifanya kumwaga mboga?!! nchimbi, Bi sophy na kimbisa wakaona sasa huu ukuda huu, wakaamua kumwaga ugali wote.
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Alikuwa wapi siku zote?
Weeeee,kwani magufuli katumia hata senti tano kujenga hizo barabara,ni kodi za wananchi ndo zinatumika,na analipwa na watanzania,after all ni wajibu wake kama watumishi wengine wa umma!!
Hizo njie za kizamani sana. Alitumia Odinga hakufanikiwa. Alitumia Kiiza Besigye hakufanikiwa. Alitumia Morgan Tsvangirai hakufanikiwa
Tapeli hilo mngelikamata mkalipeleka polisi akajibu mashtaka ya ufisadi alioufanya. Hivi sasa anataka kuja kwa style nyingine ili atupumbaze, halafu achote mabilioni apeleke anapopajua. Wizi mtupu
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
hapana mkuu, ni kwamba kaja ukawa ili maandiko, na matamko, ya kiona mbali, na Muasisi wa Taifa hili La Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, yatimie. Ya kwamba "upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm"Kwa mana hiyo ndiyo ameamuwa kwenda Ukawa kwa kuwa hakuna wagombea uraisi kwenye kile chama si ndio ..?
Alishindwa kupita dirishani kwako 2005 2008 leo kasahau nn? Kweli sie wapumbavu, mkapa ujakosea kabsa, kaona leo ndo umuhimu wa kupita uko
na robo tatu yao wanamuunga mkono mpaka leo na wameapa kumpigia kura inye mvua liwake jua.kama ni tapeli mbona wanalumumba hawakumshtaki
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
hongera sana mkuu .Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
Alikuwa wapi siku zote?
ni kama mkapa kahalalisha matusi vile! haya mkuu .Huyu mzee mpumbavu yalipotokea mabomu ya gongolamboto mbona hakwenda kwa daladala atawadanganya wasiomjua.