pochilangu
JF-Expert Member
- Aug 1, 2015
- 244
- 95
Alikuwa wapi siku zote?
Alikuwa ofisini kwako
Alikuwa wapi siku zote?
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani nilikuwa na watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu
Akili zako ni sawa na ngiri
Alikuwa wapi siku zote?
wewe ni sawa na nziiiiiiii
wewe ni sawa na nziiiiiiii
Chumbani kwako!Alikuwa wapi siku zote?
Alikuwa wapi siku zote?
kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli.. ..
Alikuwa wapi siku zote?
Mfumo ccm haukumruhusu ndio.maana akaamua kuokoa na kuja huki UKAWA ambako mfumo.unaruhusu upo.hapo?
Mwaka maccm mtaendelea kujiharishia kila kukicha,nasikia mshaanza kuuza petrol stations zenu na hadi mkimbie hii nchi,lowasa ndio rais wetu
Asingekatwa mfumo ungemruhusu?
Majibu mazuri👍✌🏿️Mkuu naona unahaha kuzuia mafuriko,mkuu wapiga kura malofa wamempokea Lofa mwenzao Lpwassa.Hata uhangaike hapa Jf mtaani malofa wameshamkubali lofa mwenzao.
No matter whether he will bring development or not we will choose Lowasa from UKAWA to show the world that Tanzania is not for CCM only
Sio raisi wetu umekosea. ni raisi wako
Jibu murua kbs BUNGENI!!!!Bungeni