kama kazz
JF-Expert Member
- Apr 28, 2015
- 1,080
- 583
Lowasa ndiye rais wako tu,wacha kujiondoa akili
Round hii mtakaa..dawa kukata tu
Lowasa ndiye rais wako tu,wacha kujiondoa akili
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Alikuwa wapi siku zote?
Hili jamaa seng......sana.Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Wewe umekatwa?Round hii mtakaa..dawa kukata tu
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Bungeni
Ha ha ha ha Siasa za mwaka huu ZINANOGA sana, wengine wanatumia matusi na mikwara
Wengine kimya kimya vichochoroni kwetu, Raha sana.
Alikuwa mbunge kwenye jimbo lake.Sasa hv anawatembelea waltz waliofanywa na ccm kuwa wapumbavu na malofa ukiwemo na wewe
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
Hii akili haiwezi kuwa ya kimaraBungeni vipi kazungumza nini kututetea kwenye katiba ya Mh.Warioba?..... alikuwa kakaaa kimya kipindi chote miaka nane(8)kama kiwete tu.Aje huku kwetu kimara atuzibulie vyoo vimejaa mana kawa mzeee wa uchochoro sasa.
Nyie wapumbavu na Malofa mtaendelea kuwa vipofu. Ndo maana mnaendelea kudanganywa na akina Mbowe
Sasa kama hamdanganyiki kirahisi mbona juzi pale Jangwni mmesomewa amakupewa ahadi zile zile za ilani za 2005 na 2010 na mko mnashangailia eti Magufuli atawakomboa (sijui kutoka wapi maana nzee ya Kiwira imesema mliishakombolewa na TANU na ASP - sasa ni wakati wa kucheza kiduku!!!). Ndugu Liz, tatitzo si nkapa wala kikwete au magufuli au hata lowassa, bali ni mfumo wa kifisadi ambao umejiimarisha kwa miaka zaidi ya 50. Ni vigumu kuuvunja au kuubadili ukiwa unachezea ndani yake (ndio hayo tuliyoyaona ya maisha bora kwa kila mbogolese) na kama ndugu makufuli atapita, ndiyo hayo hayo tutakayovuna 2020 zitarudiwa ahadi zo hizwa kubdilisa vituo na koma. Ndugu Lowassa tunampongeza kwa kuwa na ujasiri wa kuja upande wapil ambao mfumo wa mabadiliko umeishakamilika, unasubiri tu utekelezaji. Amekuja kuongeza nguvu tu. Kwa hivyo hatudanganyiki bali tumeanza safari ya ukombozi wa kweli. Baada ya kuana kliambwaa,tunaona mmerejesa propaganda zile zile za 2010 (Dk Slaa ametuwa na maaskofu wa Kiataoliki vs Uislamu). Sasa Lowasa katumwa na Maaskofu wa KKKT vs. Wakatoliki! Kwa huu ulaghai wa kucheza na imani za kidini,jk ataingia jahanam!!
Alikuwa wapi siku zote?
Kweli kapita kwenye barabara za Magufuli. Huko Monduli nasikia hata kwa ubkuwapelekea maji. Youtube ya Slaa wakati wa uchaguzi mdogo same.Hili jamaa seng......sana.
Magufuli kazijenga au kodi zetu