mkosafedha
JF-Expert Member
- May 19, 2015
- 1,330
- 277
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Sidanganyiki na ccm hewa.
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
Halafu mkuu wewe una bakhat kweli mwenzetu, mimi ikitokea tu japo akanipungia ule mkono wake naweza zimia kwa furaha, yaan huyu mzee ana mvuto wa ajabu halafu ukimwangalia unaona kabisa ni mzee wa kimasai aliyetosheka na yupo tiyari kuwasaidie na wengine ili nao watosheke kama yeye, hana roho ya kwa nini yan, anamwagika tu mwaaaaah...Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
Wote ndio walewale..kaja ukawa baada ya kukatwa kama asingekatwa angekuwa wapi acha kudanganya wananchi..uyo ana uchu wa madaraka...angehama tangu alivyojiuzulu uwaziri..sio baada ya kukatwa kwani Ukawa hakuna viongozi wanaoweza kuongoza nchi mpaka aje apewe yeye..,,?
Wote ndio walewale..kaja ukawa baada ya kukatwa kama asingekatwa angekuwa wapi acha kudanganya wananchi..uyo ana uchu wa madaraka...angehama tangu alivyojiuzulu uwaziri..sio baada ya kukatwa kwani Ukawa hakuna viongozi wanaoweza kuongoza nchi mpaka aje apewe yeye..,,?
Yaani we simbrisi kabisa!Unaweza nitajia barabara hata moja iliyojengwa na Magufuli?Unajua kama barabara zinajengwa kwa kodi zetu au unaropoka tu?Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
ametua kutoka sayari gani ili leo aje huko sijui wapi kwenu? umasikini unaletwa na uvivu walo si ccm. hao walio na hela wamezitoa wapi? asubuhi upo kijiweni unatia story unafikir ccm itakupa pesa? according to mkapa ww ni........................Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi
atakuambia mbona hamjampeleka mahakamani sijui kutokupelekwa mahakamani ndio kunafuta wizi wakeWote ndio walewale..kaja ukawa baada ya kukatwa kama asingekatwa angekuwa wapi acha kudanganya wananchi..uyo ana uchu wa madaraka...angehama tangu alivyojiuzulu uwaziri..sio baada ya kukatwa kwani Ukawa hakuna viongozi wanaoweza kuongoza nchi mpaka aje apewe yeye..,,?
Huyu mzee mpumbavu yalipotokea mabomu ya gongolamboto mbona hakwenda kwa daladala atawadanganya wasiomjua.
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Kumshitaki ni kujishtaki wenyewe.Kama ni tapeli mbona wanalumumba hawakumshtaki
we ulitaka aje kufanyaje wakati huo wakati sio kiongozi. vitu vingine ufikirie. acha kwenda kama zuzuAlikuwa wapi siku zote?
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi