Lowassa kapita dirishani kwangu

Lowassa kapita dirishani kwangu

yeye magufuli huwa anaenda kimya kimya from kuchukua form up to now
 
magufuri akipita kwetu tunamwuitia mwizi na kumpopoa mawe? alikuwa analala Mabibo hostel kwa hawara


Duh aibu sana hiyo mkuu

Katika marofa wote chadema wewe ni namba moja ukifatiwa na mbowe aliuuza chama kwa uroho wa madaraka.Kuwa na hawara ni dhambi na hao mahawra wasingekuwepo ilo neno hawara lingetoka wapi?.kalala huko kwa kuwa ni lijali kama wewe ni nyoka wa kibisa husituaminishe uzuzu wako tulia kama umekufa.
 
Watu wa Gongolamboto tumefarijika Sana kuona Rais mtarajiwa akipita mtaani kwetu kwenye kila aina ya uchafu akitaka kujua matatizo yetu ya kimaisha yaliyosababishwa na CCM ili ayatatue atakapochaguliwa kuwa rais.Kwa bahati nzuri kapita dirishani kwangu ilinilazimu nitoke nje kwani niliona watu wengi wakiimba LOWASSA!LOWASSA!LOWASSA HAKUNA KAMA WEWE.Lazima nimpatie kura yangu rais huyu.Amekuja kutuona sisi malofa,wapumbavu na vibaka.Wewe ndiyo kiongozi

Hapo dirishani ndo atapopitia kukuibia. Anajua kuwa hawa ni malofa tu anayageuza atakavyo.
 
Sasa kama hamdanganyiki kirahisi mbona juzi pale Jangwni mmesomewa amakupewa ahadi zile zile za ilani za 2005 na 2010 na mko mnashangailia eti Magufuli atawakomboa (sijui kutoka wapi maana nzee ya Kiwira imesema mliishakombolewa na TANU na ASP - sasa ni wakati wa kucheza kiduku!!!). Ndugu Liz, tatitzo si nkapa wala kikwete au magufuli au hata lowassa, bali ni mfumo wa kifisadi ambao umejiimarisha kwa miaka zaidi ya 50. Ni vigumu kuuvunja au kuubadili ukiwa unachezea ndani yake (ndio hayo tuliyoyaona ya maisha bora kwa kila mbogolese) na kama ndugu makufuli atapita, ndiyo hayo hayo tutakayovuna 2020 zitarudiwa ahadi zo hizwa kubdilisa vituo na koma. Ndugu Lowassa tunampongeza kwa kuwa na ujasiri wa kuja upande wapil ambao mfumo wa mabadiliko umeishakamilika, unasubiri tu utekelezaji. Amekuja kuongeza nguvu tu. Kwa hivyo hatudanganyiki bali tumeanza safari ya ukombozi wa kweli. Baada ya kuana kliambwaa,tunaona mmerejesa propaganda zile zile za 2010 (Dk Slaa ametuwa na maaskofu wa Kiataoliki vs Uislamu). Sasa Lowasa katumwa na Maaskofu wa KKKT vs. Wakatoliki! Kwa huu ulaghai wa kucheza na imani za kidini,jk ataingia jahanam!!



Wote ndio walewale..kaja ukawa baada ya kukatwa kama asingekatwa angekuwa wapi acha kudanganya wananchi..uyo ana uchu wa madaraka...angehama tangu alivyojiuzulu uwaziri..sio baada ya kukatwa kwani Ukawa hakuna viongozi wanaoweza kuongoza nchi mpaka aje apewe yeye..,,?
 
  • Thanks
Reactions: AAS
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli

barabara zimejengwa na kodi za wananchi magufuli ana hela za kutujengea barabara sisi,yeye ni msimamizi tu.
 
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli

barabara zimejengwa na kodi za wananchi magufuli ana hela za kutujengea barabara sisi,yeye ni msimamizi tu.
 
Ajakuachia janga kweli huyo?
Maana jamaa ni mwizi hatari,.
 
Wote ndio walewale..kaja ukawa baada ya kukatwa kama asingekatwa angekuwa wapi acha kudanganya wananchi..uyo ana uchu wa madaraka...angehama tangu alivyojiuzulu uwaziri..sio baada ya kukatwa kwani Ukawa hakuna viongozi wanaoweza kuongoza nchi mpaka aje apewe yeye..,,?
tatizo si kukatwa bali ni njia iliyotumika kumkata.

mtia nia Lowassa aliyekuwa anaungwa mkono na robo tatu ya wanasisiem alikatwa kwa kufuata utaratibu?

sasa hao wanaccm ambao bado wapo ccm na wanasubiri kumpigia kura lowassa mtawazuiaje?!! au mtaingia nao kwenye chumba cha kupigia kura ili kuwa'zi'biti?!!
 
utasikia Kesho nae jamaa akaanza kutembea kwa miguu na kupanda bodaboda
 
safari hii ccm wakawadanganye vijijini zaidi....
kijiji kipi mkuu? kila kitongoji kimeshaamka siku hizi na lowassa keshaapa chopa zitatua kila kitongoji na kila mtaa kupeleka ujumbe wa UKOMBOZI WA PILI WA TAIFA HILI TOKA MIKONONI MWA MKOLONI MWEUSI, whether mkapa anapenda or not, khabar ndo hiyo, hataki aache!!!
 
tatizo si kukatwa bali ni njia iliyotumika kumkata.

mtia nia Lowassa aliyekuwa anaungwa mkono na robo tatu ya wanasisiem alikatwa kwa kufuata utaratibu?

sasa hao wanaccm ambao bado wapo ccm na wanasubiri kumpigia kura lowassa mtawazuiaje?!! au mtaingia nao kwenye chumba cha kupigia kura ili kuwa'zi'biti?!!



Kumetumika njia gani kwenye kumkata kwani ilikatwa peke yake.. au tegemeo lako wewe ulijuwa waliogombea wote wale wangebaki wote.. Pale anapita mmoja na ndie raisi wako ajae jipange nyema
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom