Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
nyie mataijiri mgekuanae wapi naye ni lofaAlikuwa wapi siku zote?
Hatudanganyiki sumu haionjwiMkuu unawasemea Watanzania wapi?Mbona ndio hawa wanafarijika kwa kupita mtaani kwao?Mwaka huu kazi CCM mnayo
Mwaka maccm mtaendelea kujiharishia kila kukicha,nasikia mshaanza kuuza petrol stations zenu na hadi mkimbie hii nchi,lowasa ndio rais wetuNa bado atapanda mpaka bajaji mwaka huu lakini urais no.mwende mkachunge nae ng'ombe zake kule ranchi ya taifa mzeri Tanga aliyojimilikisha kama mnampenda Sana.
Anakumbuka shuka wakati kumeshakucha. Miaka yote amekaa serikalini mbona hajawahi kufanya hivyo. Sahizi kuna nini hasa cha ajabu. Kwanza kaenda kutafiti kuhusu nini kisichojulikana. Angalieni uchizi unaanzaga hivyo hivyo
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Lowassa ni kipenz cha watu wote
Wee vp? Kwan Magufuli alikuwa wap kutuambia tusitoe ccm madarakan?
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi
hapo kwenye redHizo njie za kizamani sana. Alitumia Odinga hakufanikiwa. Alitumia Kiiza Besigye hakufanikiwa. Alitumia Morgan Tsvangirai hakufanikiwa
magufuri akipita kwetu tunamwuitia mwizi na kumpopoa mawe? alikuwa analala Mabibo hostel kwa hawara
Magufuli kila anapopita hawezi kuzomewa. Hata huyo fisadi wako kapita kwenye barabara zilizojengwa na Magufuli
Lowasa anadhani kuwa Watanzania wanadanganyika kirahisi