Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,901
- 20,410
Hizo njie za kizamani sana. Alitumia Odinga hakufanikiwa. Alitumia Kiiza Besigye hakufanikiwa. Alitumia Morgan Tsvangirai hakufanikiwaalikua katika majukumu mbalimbali ya kitaifa....na hii ya leo ni majukumu yake pia.
Alikua anapata update za hali ya wananchi kama unavyojua matatizo ya mwaka jana sio kama ya leo tar24/8/2015... Hivyo ni muhimu aende kujua matatizo yaliyo ongezeka ili oktoba mimi na wewe tukisha mpitisha aweze kuyashughulikia kwa mbinu madhubuti na sahihi sio kama porojo za ccm