Analysis ya kipumbavu daima hushabikiwa na wapumbavu... Angalia jinsi ambavyo Kinana na Nchemba walivyo wachambua wagombea na kuwasilisha kwa M/kiti wenu:
SWOT ANALYSIS YA KWA WAGOMBEA WA CCM
[TABLE="class: MsoTableGrid"]
[TR]
[TD]
Mgombea
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Strength
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Weakness
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Opportunity
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Challenge
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Rank
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Lowassa
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Mchapakazi, Ana Maono ya Kimaendeleo, Ana Maamuzi, Ana Kubalika na Rika zote, ni Kiongozi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ana Hasira
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ana Nafasi kubwa ya kuwa Rais atakaewaletea Watanzania Maendeleo ya kweli
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Vatican na nchi Wahisani/Nyanganyi wanahofu ya kuvunjiwa Mikataba yao kama alivyofanya kwa City Water, KASHWASA na Mapendekezo yake ya kuingoa Richmond/Dowans/SYMBION
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
1
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Membe
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Amesomea Fitna, Majungu, Anauwezo mkubwa wa kuwashughulikia maadui zake via majungu mfano Lowassa, Mudhihir, Mudhihir Mohamed, Ghasia, Anna Abdallah
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Mpishi wa Majungu na Fitna
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ana nafasi nzuri ya kuchakachua via TISS na Familia ya Rais, Nchi Nyanganyi/wahisana wanaona ni afadhali yeye kuliko Lowassa
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Hana Hulka na Sifa za Kiongozi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
2
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Makamba Jr
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Celebrity
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Muuza Sura
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ujana Wake Una nafasi ya kumpatia sifa asizostahili, Nchi Wahisani Zimemjenga kwa maslahi yao
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Hana product ya kuwaonyesha Watanzania, so far ameshindwa kuwalazimisha makampuni ya Simu kulipa kodi kiasi cha kuzidiwa hata na Rwanda yenye watu wachache kuliko Bongo
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
3
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Sumaye
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ana tawalika hivyo wahafidhina wanaweza kumuendesha remotely
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Miaka 10 ya PM alishindwa ku-deliver
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Hayuko kwenye Makundi hasimu hivyo kumfanya neutral na mwepesi kutumika bila madhara hivyo kumfanya Ideal candidate kwa wenye nchi hii
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Mgumu Kuuzika kwa Wananchi ingawa nchi Wahisana wanaona atawafaa kwani itakuwa ni muendelezo wa Sera za Mkapa
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
4
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Wassira
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Mzuri wa Porojo na mikakati ya kuwazima wapinzani hususan CHADEMA
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kura za akina mama waliomchagua JK atazikosa
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Nchi wahisana wanamkubali kutokana na kukubaliana na projections feki za kiuchumi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ngumu kumuuza kwa akina mama, hana product tangible ya kuwaonyesha wananchi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
5
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kigwangala
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ana courage ya kubwabwaja hata kisichokuwa na msingi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Hawezi kusoma ktkt ya mistari
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Vita na Makundi ndani ya CCM vina kumnadi ingawa hana sifa za kuwa Kiongozi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kupenda sifa na kujikweza havina correlation na Urais, ana kazi ya ziada kuwashawishi wananchi napia nchi wahisani
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Pinda
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Loyal kwa Vatican na mzuri wa kusimamia programu za LIWALO na LIWE by hooks n cooks
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Amezoea kutumwa kutokana na ukweli kuwa amkuwa mhudumu Magogoni toka awamu ya kwanza hivyo kumfanya kuwa mhudumu zaidi ya kuwa kiongozi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Rahisi kutumika remotely ndani na nje ya nchi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kama PM mpaka sasa ameshindwa kabisa ku-deliver zaidi ya usanii wa machozi na kuwadhibiti mahasimu wake via LIWALO na LIWE program
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
6
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Ngeleja
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Loyal kwa Mabosi zake wa ndani na nje ya nchi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Hana sifa za Kiongozi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kama waziri wa nishati na madini alisaidia sana kuendeleza ukwapuaji via mikataba ya kishenzi Wahisani wana muamini
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
Kuna hitajika kazi ya Ziada kumnadi kwa wananchi
[/TD]
[TD="width: 103, bgcolor: transparent"]
6
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]