Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Nimeamua kuachana na siasa nakwenda kuwa mwalimu wa kufundisha chuo cha uchumi.
 
Katika Team Lowasa siamini kama kuna mtu ambaye alikuwa na uthuubutu wa kutamka kwamba Lowasa aongee na waandishi wa habari kutangaza kwamba hatagombea.

Pia mimi naamini kwamba katika team yoyote lazima kuwe na reserve, mbona hiyo team Lowasa haijasema ni nani atachukua nafasi ya Lowasa? Au ndio team inasambaratika moja kwa moja?
Mkuu, yawezekana pia Uzi huu umeandaliwa na Team Lowasa ili kuwaghilibu wapinzani wake na wale wanaoanika maovu yake anayofanya usiku na mchana hususan matumizi ya fedha za ufisadi kifisadi
 
Nyerere alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuwakanya hawa watu alisema maneno mazito sana.
 
Lowasa ni rais wa ajae wa Tanzania.. Hizo propaganda zenu za kitoto haziwezi kumzuia kamwe
Mkuu, usijitie upofu kwa kushindwa kuuona ukweli. Japo sina hakika ya ukweli wa kujitoa kwa Lowasa, maelezo au sababu za kujitoa ni za msingi sana
 
Mkuu, yawezekana pia Uzi huu umeandaliwa na Team Lowasa ili kuwaghilibu wapinzani wake na wale wanaoanika maovu yake anayofanya usiku na mchana hususan matumizi ya fedha za ufisadi kifisadi

Taifa la Tanzania linamsubiri kwa hamu rais mpya mheshimiwa Edward Lowasa
 
Mkuu, usijitie upofu kwa kushindwa kuuona ukweli. Japo sina hakika ya ukweli wa kujitoa kwa Lowasa, maelezo au sababu za kujitoa ni za msingi sana

Taka usitake lowasa ndio rais ajae wa Tanzania
 
lowassa ana uzalendo na nchi yake kuliko mtu yeyote ndani ya Ccm.ndiyo kiongozi pekee aliyebakia kuwaongoza watanzania kwenda hatua nyingine na kundi la membe linawatumia watu kumchafua lowasa huku mitandaoni.
 
Lowassa ajitoe kugombea uraisi kwa kumuogopa JERRY SILAA,,, WTF THREAD...

Lowassa ameanza uanachama toka TANU Leo hii ajiangushe mapema kwa kuogopa chui wa kuchora. Ama kweli Joka la Mdimu anajitekenya na kucheka mwenyewe. Alhaji Abdulben Membe kamwe hatakuwa raisi wa Tz

Mlaji mla leo...mla jana kala nini? na anayeshikwa na ngozi ndie MWIZI...Mzee wenu kakutwa na ngozi nyama wamekula wengine
 
  1. KIGINGICHA KAMATI KUU (CC)
TEAM LOWASA katika uchaguziuliopita wa CCM kule Idodomia ilifanikiwa kuweka “Watu wake” kwenye NEC kwa 65%ya Wajumbe wa NEC. Ikumbukwe kwamba NEC ndicho chombo chenye mamlaka ya kuyapokea majina 5 yaliyowasilishwa mbele yakena Kamati Kuu (CC) na kisha kuyapigia kura na kuyapeleka majina 3 kwenyeMkutano Mkuu. TEAM LOWASA inaamini NEC haitakuwa kikwazo kwake na hata MkutanoMkuu nako hakutakuwa na tatizo kwani 85% ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu ni NJAAKALI. Tatizo kubwa kwa LOWASA ni CC. Hii CC mpya ina wajumbe wapya walioshindaambao imebainika wengi wao hawampendi kabisa LOWASA mfano akina Jerry Slaa etc na wamekuwa wakielezea hivyo hadharani bila woga wala kumungunya maneno.

Aidha,kana kwamba hiyo haitoshi, Wajumbe wengine wengi wa CC ambao waliteuliwa naMwenyekiti wa CCM Mh JK nao pia ni ANTI-LOWASA. Juhudi za chinichini zakuwaweka sawa wajumbe hao hadi sasa zimekwama. Ni kutokana na hali hii, TEAMLOWASA imeoana kwamba kupenya kwenye CC itakuwa kazi kubwa mno

!

Ndugu Tusidanganyane, kama LOWASSA anauwezo wa kupeleka Majina matatu CC anayoyataka yeye, sasa ni kwanini ashindwe kuweka watu PROXY amabao watatizmiza idadi hiyo ya majina matatu na yeye akiwemo, na kwa kutumia nguvu hiyohiyo akawtupilia mbali majina ya wapinzani wake?

Tuache porojo maana as long as anapower hii unayoisema basi hakika jina lake lazima liwepo siku ya mwisho na anauwezo wa kupitisha majina mengine kabisa hata la KOMBA kwa Uraisi atakavyo.
 
Back
Top Bottom