Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

nipe certificate of evidence kuthibitisha kuwa lowassa ni fisadi. Don't work on rumours and speculation.

richmond....dowans.. 10% ya konoike HII YA KONOIKEMUULIZE LE MUTZ ANAIJUA VIZURI
 
Mkuu galiya, japo hili ni bonge la promo, lakini kutaja jina la mtu mmoja more than 40 times kwenye post moja ni madness!.
 
Kuns watu wanadai eti LETENI USHAHIDI KUWA LOWASA NI FISADI!!

Hiyo isawa na mtu kudai LEENI USHAHIDI CCM KUMEJA MAJIZI. Mpende msipende huo ndio ukweli USIOHITAJI USHAHIDI
 
Kaka NJIA KUU

Mbona IPENZI CHENU LO-RUSHWA akipewa za uoso mnakimbilia KUMLAUMU MEMBE?? Kweye hiyo habari hapo juu kuajina la MEMBE? WHY ALWAYS HIM?

Nikwasabu hatutaki urais wa kurithishana,kama wanataka wahamie uarabuni ndio kweny uongozi wa kupokezana familia,membe hafai hata kuongoza familia yake
 
Mkuu, yawezekana pia Uzi huu umeandaliwa na Team Lowasa ili kuwaghilibu wapinzani wake na wale wanaoanika maovu yake anayofanya usiku na mchana hususan matumizi ya fedha za ufisadi kifisadi

Haya nayo kakutuma Samwel Sitta kuandika? Kijana unatumikishwa na wazee mpaka unatia aibu.
 
Mkuu galiya, japo hili ni bonge la promo, lakini kutaja jina la mtu mmoja more than 40 times kwenye post moja ni madness!.

Mkuu hawa ni vijana wa WAMA wako kwenye kazi maalum wala uswiwshange,membe amejaribu sna kumshawishi jk kuwa lowasa hafai jk akamuona mnafiki sasahivi amekuwa akimtumia mama salma kufikisha majungu yake kwa jk,japo jk naye kashtuka
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Jiandae kufa kwa presha sasa anakuja mtu ambaye hukuwahi kumdhani wala siyo membe kama wewe unavyodhani siku zote atakuja mtu mwingine kabisa,kikubwa usibadili aid zako uwe nazo zilezile mnili funza na laki si pesa ili baada ya matokeo tukukumbushe.

unajipa matumaini yasiyokuwepo .. hakuna zaidi ya lowasa kwa sasa..huko ni kujifariji tu lakini ukweli utabaki pale pale kuwa lowasa ndio rais ajae wa tanzania
 
Ni mtoto mdogo tu labda anaweza kuamini huo uongo ulioandika Lowassa ndo chaguo sahihi la wananchi jiandaeni tu kisykolojia kuongozwa na Laigwanani
 
Lowasa awe rais???? Labda rais wa wafungwa achukue cheo cha nguza viking. Lowasa kwake ni segerea au keko 2015
 
Lowasa awe rais???? Labda rais wa wafungwa achukue cheo cha nguza viking. Lowasa kwake ni segerea au keko 2015
Kwa post zako unajidhihirisha kwamba thread umeitunga kwa maslahi unayoyajua wewe mwenyewe na waliokutuma,hongera kwa utunzi
 
CHONDECHONDE RAIS WA 2015 USIKOSE kumwalika EDWARD LOWASA SIKU YA KUAPISHWA KWAKO IKULU, TAFADHALI SANA!!!
 
Aisee mtoa post ni mama lowassa nini?Lowassa ndiye chaguo letu.
 
Jamani Richmond ina wenyewe. Haya ondoa Richmond tutajie uchafu wa Lowassa. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Lowassa ndiye afadhali kuliko wanaCCM wote waliobaki. Tunataka kiongozi shupavu na mwenye kutoa maamuzi magumu
 
Kiongozi bora huchaguliwa na mungu....fisadi lowasa?????
 
Back
Top Bottom