Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

yaani ww ndo hujielewi kabisa! Yaani tibaijuka awe rais? Miongoni mwa maprofesa ambao sioni mchango wao, tibaijuka ni namba moja. Hiki kimama hakiuziki hata kwa bei ya kitumbua, kajipangeni sn. Lkn jua hiki unachokifanya ni sawa na kuuza bible dubai. Usi2letee wagonjwa wa ebola ikulu.

Tibaijuka no!hii nchi kwa sasahivi inahitaji rais ajaye awe na kichaa kidogo,kuirudisha kwenye mstari
 
LO-RUSHWA kwake UKONGA SIO IKULU...IKULU ATAIONA AKIWA ANAPELEKWA NA MAFUNGWA WENZAKE KIGAMBONI KUSAFISHA MAKAZI YA BUSH
 
Namkubali sana magufuli , tumpe nchi kama tunataka mabadiliko ya kweli

Magufuli????? Bora basi ya fisadi lowasa .lakin huyu yeye anafuata sheria bilakuangalia madhara yake. Mfn pale alipotaka kuvunja ghorofa la tenesco ubongo au pale alipowaambia wakazi wa kigamboni km hawana nauli ya sh mia mbili basi wapige mbizi.just imagine akiwa rais mtu dikteta km huyu si kuna siku atakuja kutulaza saa kumi na mbili????
 
Stupid people simply can't think....HIVI UNAPOSEMA AMEAMUA KUJITOA NI LINI ALIKWISHAJAZA FORM YA KUGOMBEA?

He is making u wet your pants,certainly
 
LO-RUSHWA kwake UKONGA SIO IKULU...IKULU ATAIONA AKIWA ANAPELEKWA NA MAFUNGWA WENZAKE KIGAMBONI KUSAFISHA MAKAZI YA BUSH

Stupid,kwanini msimpeleke leo mnasubiri nini?STUPID PEOPLE DO NOT THINK
 
Maneno ya baba wa Taifa yalijaa hekima kubwa sana

Yalete hapa tuyasikie pakashume wa lumumba ww,en fo ya info EL ndo raia wa awam ya 5 bongo,wazembe kama ww na wenzio taften pa kwenda ishi maaaaamaaaaaaeeeee
 
Lowassa anawasumbua sana washindani wake kisiasa ndani ya CCM.
Nawashauri washindani wake kujipangaa vilivyoo kukabiliana naye kwani yaonekana ndo mgombeaa pekee CCM mpaka sasa aliyeonyesha nia kwa kusukumwa na utashii wake mwenyewe..

Kweli kabisa. Huyu jamaa atawapa wakati mgumu sana kadri kinyang'anyiro kinavyoenda huko mbele.
Ndiyo kiongozi pekee ndani ya chama ambaye anajua wapi anaelekea mwenye mikakati inayo tekelezeka, mwenye kujituma na mwenye ari binafsi ya kusimamia mambo kwa karibu sana na ukaribu na wananchi.
the rest waliopendekezwa so far wana lack vitu vingi sana compared to EL. Na hiyo ndiyo threat kubwa kwao.
Bado wanaendelea kutumia vigezo vya uadilifu kama weak points za Lowassa lakini bado mambo magumu sana kwa sababu hata hiyo point ya uadilifu wameshindwa kuitetea.
membe ataweza? Pinda mtoto wa mkulima aliyeishia kuwa bepari na mzee wa kulia lia ataweza?
Na hao wengine je? Wana rekodi ya kumzidi Lowassa?
Sidhani bado
 
Mbona hilo lilijulikana mapema kwamba KIZINGITI cha Lowassa kufikia safari ya ndoto yake ni CC ya CCM?! FYI hata MUKULU mwenyewe alishamuita personally Lowassa na kumueleza achane ni suala la u_rais. Lakini Lowassa akamukatalia na kumueleza kwamba aache demokrasia ichukue mkondo wake.

Kwa mukhutada huo, sidhani kama Lowassa anaweza kuwakubaliwa TEAM LOWOSSA kuhusu wazo la kuachana na hiyo ndoto yake.

But all in all, wether anakubali au kukataa mwisho wa ndoto za Lowassa ni CC ya CCM. Kamwe CC ya CCM chini ya JK haiwezi kabisa kupeleka jina la Lowassa kwenye NEC ili kupigiwa kura, jina lake litachinjiwa baharini.

Mpaka sasa hivi ni jina moja tu ambalo halijajulikana litakalopelekwa NEC ya CCM ili kupigiwa kura. Mengine 4 tayari yameshajulikana, ni kama ifuatavyo IN PRIORITY ORDER

  1. Mizengo Kayanza Pinda
  2. Jina moja la Mzanzibari (bado halijakubaliwa ni yupi)
  3. Prof Mark Mwandosya
  4. Asha-Rose Migiro au Prof Anna Tibaijuka (gender balance)
  5. ......................... (???) Litategemea na upepo wa kisiasa, lakini Lowassa si miongoni mwao

Lakini hao wote ni katika kutimiza demokrasia MLENGWA NI No. 1

Napata tabu kuielewa na kuisadiki hii habari.
Enewei, ngoja tuone mda unavyoenda
 
Back
Top Bottom