lowassa ana uzalendo na nchi yake kuliko mtu yeyote ndani ya Ccm.ndiyo kiongozi pekee aliyebakia kuwaongoza watanzania kwenda hatua nyingine na kundi la membe linawatumia watu kumchafua lowasa huku mitandaoni.
Kweli kabisa Lowasa ni mzalendo na anaijua vizuri Tanzania.. Lowasa ndio kiongoz pekee atakaetupeleka kwenye nchi ya asali.na maziwa