Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Awali ya yote napenda kukueleza mambo makuu kadhaa ambayo unashindwa kuyajua na kamwe huto yajua kwa sababu hata utayari wa kuyajua hauna.

1. Safari ya matumaini
maana ya safari ya matumaini hujaielewa kwani Lowassa hajawahi tamka kinyume na safari ya matumaini, safari hii ina elezea kwa kina mahitaji ya watanzania kama upatikanaji wa huduma ya afya bora, elimu kwa watanzania wote , uboreshaji na ujengaji wa miundo mbinu, kilimo chenye tija na mahitaji mengine muhimu kwa watanzania na si kugombea uraisi kwa hiyo jaribu kuwa tayari wa kujifunza na si kubeba yale bosi aliyo kutuma.. kama safari ya matumaini itabidi Lowassa aombe ridhaa kwa watanzania ili aweze kukamilisha basi watanzani hatuto sita kumueleza na kumshawishi afanye hivyo.

2. Hakuna kiginngi cha kamati kuu
Pia unapaswa kufaahamu ccm ni taasisi tena inayoongozwa na demokrasia haupaswi kujipa matumaini sawa na bosi aliokupa uje kuyasema bali fikiri pia katika upande hasi na chanya wa mawazo hayo, hivyo demokrasia ya chama itaamua tuu pale lowassa atakapo amua kugombea ila kwa sasa anapambana na dhiki na matatatizo ya watanzaia kwa ujumla na si mgombea uraisi na watanzania tukiamua afanye hivyo tutaamini hato sita kufanya.

3. Mwl. Nyerere hakuwahi kumkataa Lowassa
yapaswa wewe kujua kwani ndani ya chama cha mapinduzi kuna malezi ya viongozi tangu mwaka 1977 mwl. aliwalea Lowassa ,Jakaya na wengine kama kina chiligati na aliwaamini na ndio maana hata jakaya yalimkuta haya haya unayoyazungumza , jua kuwa nyerer katika watu alio wahi kuwaamini kupita maelezo ni jakaya na Lowassa kwani walikua wasikivu hadi kuwatuma katika kumwakilisha yeye mwenyewe katika taswira za kimataifa pitia historia si kuubana ubongo wako kufikiri katika nafasi hasi na chanya.

4. Lowassa si mgonjwa
hakuna ukweli wowote katika hilo labda lowassa ashikwe na malaria asubuhi ya leo maana ndio ugonjwa unaotusumbua sub sahara lakini jua fika huyu kiongozi ana afya njema na ni mzima tayari ameaanza safari ya ukombozi wa maisha ya mtanzania.

naomba waza tena galiya
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, matusi ya nini tena? Kama huna hoja ni bora ukakaa pembeni
Ufisadi na matusi huenda pamoja mkuu haya mafisadi yanamatusi na roho mbaya kweli kwahiyo usishangae kabisa.
 
Semeni yote, ila muda ukifika na kama Mh EL atahitaji Urais hakuna wa kumzuia maana naamini EL ana siri nzito ndani yake. Kama mtakumbuka kwenye kikao kimoja mjini Dodoma alimuuliza mwenyekiti wake JK, "hivi mwenyekiti natukanwa, nasemwa vibaya na wanaCCM/wananchi umekaa kimya!, hivi nikipi nilichokuwa nafanya ulikuwa hukijui?". Tusubiri tuone hatima yake maana 2015 sio mbali.
Mkuu, weka Mbele nafasi ya Mungu. Mtu unaweza kuwa fisadi kwa kiwqngo cha juu lakini huwezi kuzuia maamuzi ya Mwenyezi Mungu. Huku kuandamwa na maradhi mbalimbali kama macho, miguu, mikono nk si hali ya kawaida
 
Awali ya yote napenda kukueleza mambo makuu kadhaa ambayo unashindwa kuyajua na kamwe huto yajua kwa sababu hata utayari wa kuyajua hauna.

1. Safari ya matumaini
maana ya safari ya matumaini hujaielewa kwani Lowassa hajawahi tamka kinyume na safari ya matumaini, safari hii ina elezea kwa kina mahitaji ya watanzania kama upatikanaji wa huduma ya afya bora, elimu kwa watanzania wote , uboreshaji na ujengaji wa miundo mbinu, kilimo chenye tija na mahitaji mengine muhimu kwa watanzania na si kugombea uraisi kwa hiyo jaribu kuwa tayari wa kujifunza na si kubeba yale bosi aliyo kutuma.. kama safari ya matumaini itabidi Lowassa aombe ridhaa kwa watanzania ili aweze kukamilisha basi watanzani hatuto sita kumueleza na kumshawishi afanye hivyo.

2. Hakuna kiginngi cha kamati kuu
Pia unapaswa kufaahamu ccm ni taasisi tena inayoongozwa na demokrasia haupaswi kujipa matumaini sawa na bosi aliokupa uje kuyasema bali fikiri pia katika upande hasi na chanya wa mawazo hayo, hivyo demokrasia ya chama itaamua tuu pale lowassa atakapo amua kugombea ila kwa sasa anapambana na dhiki na matatatizo ya watanzaia kwa ujumla na si mgombea uraisi na watanzania tukiamua afanye hivyo tutaamini hato sita kufanya.

3. Mwl. Nyerere hakuwahi kumkataa Lowassa
yapaswa wewe kujua kwani ndani ya chama cha mapinduzi kuna malezi ya viongozi tangu mwaka 1977 mwl. aliwalea Lowassa ,Jakaya na wengine kama kina chiligati na aliwaamini na ndio maana hata jakaya yalimkuta haya haya unayoyazungumza , jua kuwa nyerer katika watu alio wahi kuwaamini kupita maelezo ni jakaya na Lowassa kwani walikua wasikivu hadi kuwatuma katika kumwakilisha yeye mwenyewe katika taswira za kimataifa pitia historia si kuubana ubongo wako kufikiri katika nafasi hasi na chanya.

4. Lowassa si mgonjwa
hakuna ukweli wowote katika hilo labda lowassa ashikwe na malaria asubuhi ya leo maana ndio ugonjwa unaotusumbua sub sahara lakini jua fika huyu kiongozi ana afya njema na ni mzima tayari ameaanza safari ya ukombozi wa maisha ya mtanzania.

naomba waza tena galiya
Mimi nilipokuona kuwa hunaakili ni hoja yako namba tatu na nne sihitaji niseme zaidi ila soma tena hoja yako namba nne na tatu utaona kweli unamapungufu makubwa sana kichwani mwako.
 
Semeni yote, ila muda ukifika na kama Mh EL atahitaji Urais hakuna wa kumzuia maana naamini EL ana siri nzito ndani yake. Kama mtakumbuka kwenye kikao kimoja mjini Dodoma alimuuliza mwenyekiti wake JK, "hivi mwenyekiti natukanwa, nasemwa vibaya na wanaCCM/wananchi umekaa kimya!, hivi nikipi nilichokuwa nafanya ulikuwa hukijui?". Tusubiri tuone hatima yake maana 2015 sio mbali.
Acha kuongea maneno mepesi huwezi kusema kirahisi kuwa hakuna wa kumzui Lowasa kuwa Rais wakati yupo mungu nafsasi yake haina mshirika hata mmoja isitoshe dhmbi zote za hapa duniani Lowasa kazimaliza kwa kuzishiriki kwa kiasi kikubwa sana kwahiyo mnaposema maneno haya muwe na akiba ya maneno pia.
 
Mimi nilipokuona kuwa hunaakili ni hoja yako namba tatu na nne sihitaji niseme zaidi ila soma tena hoja yako namba nne na tatu utaona kweli unamapungufu makubwa sana kichwani mwako.


tafakari si tusi jaribu kuwaza huru zaidi usiishie kwa maagizo ya bosi
 
Ccm haiwezi kuwa kikwazo. Wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho. Nathani sasa kuna sheria ya mgombea binafsi kwahiyo wakibana wataachiq jamaa anahela za kufanya yote.
Na hao wanaosema hawampendi ni kina nani? Jerry silaa? Huyu ni nani? Meya wa ilala so what? Bi kjitu kidogo sana.
 
Hivi HILI si GAMBA ?
Sasa waliofanikiwa si MACCM wenzio na yalikuwa maazimio ya Chama?
au mimi sielewi?
by the way unategemea nini pale mwenyekiti w auandishi w akatiba anapokuwa FISADI CHENGE ?
kweli kabisa kutoka moyoni ulitegeema mapya?

Hivi Hushangai Bunge kinauwezo wa kumuwajibisha Spika, Waziri mkuu na Raisi pia, ila wananchi hawana uwezo huo wa kuwawajibisha Wabunge?

Hata mimi hili jambo lilinishangaza sana, na nikaona IT IS AN OWN GOAL to CCM v UKAWA

Chenge kulingana na tuhama za ufisadi zinazomzunguka, indeed kama isingekuwa ni sera za KULINDANA za CCCM, Chenge was supposed to be behind bars.

Chenge alikuwa hana MORAL AUTHORITY ya kuwa Mwenyekiti wa uandishi wa rasimu ya katiba.

Kuwepo kwa Chenge was like CCM shooting themslves on their own feet!

Sijui kwanini CCM hawakuliona jambo hili, Wakati Nyerere alishawahi kuwaasa kwamba MKE WA KAISSARI HAPASWI KUTUHUMIWA KWA UZINZI
 
TOE
NI HOJA ACHENI kutoa MAPOVU KAMA MMEKUNYWA OMO
 
LOWASA amesema anaenda kwanza kumuuliza mkewe hivyo bado hajaamua kujitoa sasa nyie MASHABIKI WA WAGOMBEA MAFISADI TULIZENI BOLI
 
Mbona hilo lilijulikana mapema kwamba KIZINGITI cha Lowassa kufikia safari ya ndoto yake ni CC ya CCM?! FYI hata MUKULU mwenyewe alishamuita personally Lowassa na kumueleza achane ni suala la u_rais. Lakini Lowassa akamukatalia na kumueleza kwamba aache demokrasia ichukue mkondo wake.

Kwa mukhutada huo, sidhani kama Lowassa anaweza kuwakubaliwa TEAM LOWOSSA kuhusu wazo la kuachana na hiyo ndoto yake.

But all in all, wether anakubali au kukataa mwisho wa ndoto za Lowassa ni CC ya CCM. Kamwe CC ya CCM chini ya JK haiwezi kabisa kupeleka jina la Lowassa kwenye NEC ili kupigiwa kura, jina lake litachinjiwa baharini.

Mpaka sasa hivi ni jina moja tu ambalo halijajulikana litakalopelekwa NEC ya CCM ili kupigiwa kura. Mengine 4 tayari yameshajulikana, ni kama ifuatavyo IN PRIORITY ORDER

  1. Mizengo Kayanza Pinda
  2. Jina moja la Mzanzibari (bado halijakubaliwa ni yupi)
  3. Prof Mark Mwandosya
  4. Asha-Rose Migiro au Prof Anna Tibaijuka (gender balance)
  5. ......................... (???) Litategemea na upepo wa kisiasa, lakini Lowassa si miongoni mwao

Lakini hao wote ni katika kutimiza demokrasia MLENGWA NI No. 1
John pombe magufuli baada ya miezi mitano utakumbuka maneno yangu na ndiye Rais ajaye kubali kataa.
 
Mbona hilo lilijulikana mapema kwamba KIZINGITI cha Lowassa kufikia safari ya ndoto yake ni CC ya CCM?! FYI hata MUKULU mwenyewe alishamuita personally Lowassa na kumueleza achane ni suala la u_rais. Lakini Lowassa akamukatalia na kumueleza kwamba aache demokrasia ichukue mkondo wake.

Kwa mukhutada huo, sidhani kama Lowassa anaweza kuwakubaliwa TEAM LOWOSSA kuhusu wazo la kuachana na hiyo ndoto yake.

But all in all, wether anakubali au kukataa mwisho wa ndoto za Lowassa ni CC ya CCM. Kamwe CC ya CCM chini ya JK haiwezi kabisa kupeleka jina la Lowassa kwenye NEC ili kupigiwa kura, jina lake litachinjiwa baharini.

Mpaka sasa hivi ni jina moja tu ambalo halijajulikana litakalopelekwa NEC ya CCM ili kupigiwa kura. Mengine 4 tayari yameshajulikana, ni kama ifuatavyo IN PRIORITY ORDER

  1. Mizengo Kayanza Pinda
  2. Jina moja la Mzanzibari (bado halijakubaliwa ni yupi)
  3. Prof Mark Mwandosya
  4. Asha-Rose Migiro au Prof Anna Tibaijuka (gender balance)
  5. ......................... (???) Litategemea na upepo wa kisiasa, lakini Lowassa si miongoni mwao

Lakini hao wote ni katika kutimiza demokrasia MLENGWA NI No. 1

Kaka pinda akiwa raisi nitaukana uraia wangu. Uwaziri mkuu umemshinda sembuse uraisi?
Hana ubunifu mambo ua kizee na zamani ndio muendelezo katika serikali yetu.
 
Kuna watu humu WANATAKA LOWASA ASIJITOE MAANA WANAJUA FAMILIA ZAO ZITAKUFA NJAA KWA KUKOSA MIKWANJA YA MZEE LOWASA MAANA DILI NDO ITAKUWA IMEKUFA
 
Lowassa ajitoe
kugombea uraisi kwa kumuogopa JERRY SILAA,,, WTF THREAD...

Lowassa ameanza uanachama toka TANU Leo hii ajiangushe mapema kwa
kuogopa chui wa kuchora. Ama kweli Joka la Mdimu anajitekenya na kucheka
mwenyewe. Alhaji Abdulben Membe kamwe hatakuwa raisi wa Tz

kwani urais ni lazima ccm tu? labda kama kweli kuna tatizo la kiafya.
 
Katika Team Lowasa siamini kama kuna mtu ambaye alikuwa na uthuubutu wa kutamka kwamba Lowasa aongee na waandishi wa habari kutangaza kwamba hatagombea.

Pia mimi naamini kwamba katika team yoyote lazima kuwe na reserve, mbona hiyo team Lowasa haijasema ni nani atachukua nafasi ya Lowasa? Au ndio team inasambaratika moja kwa moja?
Hakuna uwezekano kwamba wanahadaa watu kwamba kajitoa ili aepuke mashambulizi?
 
Back
Top Bottom