Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

Lowassa hatimaye kujitoa kinyang'anyiro cha urais 2015

TOE
NI HOJA ACHENI kutoa MAPOVU KAMA MMEKUNYWA OMO
Watu wa Lowasa siyo watu wa hoja ila ni watu wa kutoa pesa siyo kutoa hoja hilo liko wazi,ukitaka uwakele waambie wasitoe pesa watoe hoja wote wanakimbia.
 
Kweli kabisa Lowasa ni mzalendo na anaijua vizuri Tanzania.. Lowasa ndio kiongoz pekee atakaetupeleka kwenye nchi ya asali.na maziwa

nikuulize.. hivi EL asipogombea hicho kigoda ndio itakuwa basiii? huna mwingine wa kumchagua?
 
Watu wa Lowasa siyo watu wa hoja ila ni watu wa kutoa pesa siyo kutoa hoja hilo liko wazi,ukitaka uwakele waambie wasitoe pesa watoe hoja wote wanakimbia.

We jamaa ni muongo mpaka unaboa
 
kama maneno ya baba. wa. taifa ni rejea basically hata jk hatukufaa kumpitisha kuwa rais maana nyerere alimkataa akampendekeza mkapa. nyerere hakuwa malaika kwamba kila alichokisema kilikuwa sahihi, kumpendekeza mkapa ambae aliuza nchi ni ushahidi wa kuwa hakuwa nabii, pia mfumo wa sera wa enzi hizo ulikuwa wa ujamaa hata mtu ukijenga nyumba tano za bati unahojiwa pesa umetoa wapi? hivyo lowassa hakuwa sahihi kimfumo hata kama pesa na mali alikuwa anamilki kihalali
 
LOWASA amesema anaenda kwanza kumuuliza mkewe hivyo bado hajaamua kujitoa sasa nyie MASHABIKI WA WAGOMBEA MAFISADI TULIZENI BOLI

Utapata tabu sna kila siku ukiandika uwongo na fitina kea lowassa.ila sasa ukiwa kama mtoto wa kiume embu acha kumuiga mama yako kwa kile kijitabia chake
 
nikuulize.. hivi EL asipogombea hicho kigoda ndio itakuwa basiii? huna mwingine wa kumchagua?

Hakuna mwingine zaidi ya lowasa mkuu...Lowasa asipogombea bora tusiwe na rais kabisa
 
Hii habari haina ukweli wowote. Lowassa will vie for presidency come 2015. Alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani.
 
Kama mama salma ndiye anachaguwa mgombea wa urais ni kweli Lowassa awezi penya
 
Hii habari haina ukweli wowote. Lowassa will vie for presidency come 2015. Alichokibariki Mungu mwanadamu hawezi kukilaani.
Sasa kwa akili yako mungu gani anabariki mafisadi na wezi we vipi.
 
msemji wa LOWASA etieee. unamjua vizuuuri etieee? mara ya mwisho umeonana nae lini ili tuamini hayaunayosema. mana unaonekana kamandie unaemwamsha asubuhi kila siku.
 
Hakuna mwingine zaidi ya lowasa mkuu...Lowasa asipogombea bora tusiwe na rais kabisa
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha! Jiandae kufa kwa presha sasa anakuja mtu ambaye hukuwahi kumdhani wala siyo membe kama wewe unavyodhani siku zote atakuja mtu mwingine kabisa,kikubwa usibadili aid zako uwe nazo zilezile mnili funza na laki si pesa ili baada ya matokeo tukukumbushe.
 
Nilishasema humu ndani,kwanini watu wa kambi ya membe wanapata tabu sna wanaposikia jina la lowassa
Kwanini wasiwashambulie kina pinda ambao wameshatamka kuwa wanagombea?na lowassa hajawahi sema popote atagombea,niwashauri tu kwa kumuandkka lowasa humu ndani kila siku watanzania watajiuliz kwann mnamuandka tu mmoja,kwann msiandike wengine?hapo sasa mtakuwa mnamjenga lowassa.na hili team membe subirin mtakuja kuniambia.Lowassa haepukiki hilo tambuweni tafuteni njia nyingine
 
Sasa kwa akili yako mungu gani anabariki mafisadi na wezi we vipi.
Nipe certificate of evidence kuthibitisha kuwa Lowassa ni fisadi. Don't work on rumours and speculation.
 
Kaka NJIA KUU

Mbona IPENZI CHENU LO-RUSHWA akipewa za uoso mnakimbilia KUMLAUMU MEMBE?? Kweye hiyo habari hapo juu kuajina la MEMBE? WHY ALWAYS HIM?
 
Back
Top Bottom