Lowassa could've done better...

Lowassa could've done better...

Dah,sasa kaka,yeye na wenzake hawakupata taarifa sahihi na wakakurupuka nazo nchi nzima wakizihubiri bila kuzi thibitisha.....tena WAKITUHAKIKISHIA KUWA WANA USHAHIDI(kauli za Msigwa,Lissu,Mbowe na Mnyika kumbukumbu zao zipo)....labda taarifa hazikua sahihi....Ushahidi walitoa wapi!?maana wange verify ushahidi wao(mtu makini yoyote hufanya hivi) wangejua taarifa sio sahihi na wasingetudanganya hivi..(hadi mimi walinidanganya hawa mabwana,kudadeki!)
Tatizo lililopo ni kutokuwepo kwa ushirikiano kutoka serikalini ili watuhumiwa waweze kufikishwa mahakamani. Ni wazi ccm haiwezi kukubali hilo litokee, ndo maana wanaopingana nao ni wasaliti wa taifa.

Mafisadi bado wako ccm. Kuna uwezekano mkubwa walifanya waliyofanya (kumchafua EL nk),kwa maslahi binafsi.

Ufisadi ulikuwepo na bado upo. However, ccm walitumia ujanja wa misinformation. Sasa wale tuliodhani ni wasafi kumbe ndo wachafu na mafisadi. Nani angejuwa mtu kama profesa Muhongo ni fisadi? Alivyokuwa akisifiwa humu kwa usomi na uadilifu?

Mkuu, usiconclude kutokana na ninachosema, lakini tambuwa kuwa hizo kashfa zote walizokuwa wakipata chadema zilitoka kwa wana ccm walioko kwenye nafasi nyeti serikalini. Kwamba walikuwa wazalendo au wenye malengo binafsi ndo point ilipo.

Haina maana kuwa ufisadi haukuwepo, bali walichezeana rafu na kuchafuana. Nadhani mafisadi wa ccm ndo walishinda vita ile...
 
Unadhani nick name ya "mtu mwenye maamuzi magumu" ilianzia wapi?

Na uwajibikaji haukuwepo alipojiuzulu?

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
kujiuzulu ni maauzi magumu au ilimbid cus alikua ashazingua??? amelipia makosa yake japo haimsafishi moja kwa moja ata mara moja, still hes fisadi
 
kujiuzulu ni maauzi magumu au ilimbid cus alikua ashazingua??? amelipia makosa yake japo haimsafishi moja kwa moja ata mara moja, still hes fisadi
Asingejiuzulu yeye, ina maana rais angetakiwa ajiuzulu...
 
Asingejiuzulu yeye, ina maana rais angetakiwa ajiuzulu...[kwasababu alijua na yeye ameshiriki, ila kama angekua hausiki apo ndo tungesema ana busara na amechukua maamuzi magumu....ayo mnayosema ni kama kumsafisha mtu alie mchafu, no more
 
Zozote zile.

Kama ya kuangalia principles badala ya watu.
Niliangalia principles nikampigia kura Maghufuli.

Wewe ungeangalia principles badala ya watu ungefanya maamuzi gani ya tofauti?
 
Niliangalia principles nikampigia kura Maghufuli.

Wewe ungeangalia principles badala ya watu ungefanya maamuzi gani ya tofauti?
Nilipiga kura kwa miguu yangu miaka mingi kuondoka Tanzania kwa sababu miaka 20 iliyopita nilishajua kwamba nitapewa uchaguzi wa kumchagua Lowassa au Magufuli.

Uchaguzi wa kuamua uuawe kwa kisu au bunduki kwa mtu ambaye hataki kufa si uchaguzi.
 
Nilipiga kura kwa miguu yangu miaka mingi kuondoka Tanzania kwa sababu miaka 20 iliyopita nilishajua kwamba nitapewa uchaguzi wa kumchagua Lowassa au Magufuli.

Uchaguzi wa kuamua uuawe kwa kisu au bunduki kwa mtu ambaye hataki kufa si uchaguzi.
I did the same, however I just happened to be there during elections. I was motivated by “sera za viwanda”, but then again...
 
I did the same, however I just happened to be there during elections. I was motivated by “sera za viwanda”, but then again...
I could see through all that bs like it was transparent.
 
But personalities and principles BOTH matters!

Personality can tell a lot about how one might behave.

I have almost always prized a good balance as being the crucible of self correcting converging analytics. So, granted that, unless one is open to a ridiculed Wilsonian life of woody ivory tower naive delusion that life revolves around Selassian asymptotic ideals, to be ever pursued,but never attained, and not realpolitik, one would do well to analyze personalities as well as principles in good measure.

That is hardly the issue.

The issue is, we are not reaching any good measure at all. We are hellbent on personalities more than policies, people more than principles.
 
Nilimpigia Magufuli na nitampigia tena na tena, rais aliyekomesha rushwa aina ya richmond na kirudisha heshima mtaani.
Wanabodi tafadhali ambaye anayo nakala ya "cause list" ya mahakama ya mafisadi atusaidie hapa
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambayo kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa na "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza ni wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapinga, wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayoyapitia. Mtu wa namna hiyo hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania.

Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamnyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.

List of shame ya mwemba yanga ndo ilianzisha yote. Sasa swali ni JK ndo aliwatuma akina Mbowe na Lisu pale mwembe yanga na wakazunguka nchi nzima? Ipi ilianza kati ya list of shame na kuvua gamba?
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambayo kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa na "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza ni wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapinga, wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayoyapitia. Mtu wa namna hiyo hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania.

Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamnyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.
waliosema Lowasa ni fisadi siyo JK ni ndugu zako wazungusha mikono walitwambia wanao Ushahidi . walisema azomewe walisema kuwa naye labda umepungukiwa akili wakasema jizi la Richmond sasa ulitaka tufanyeje tupigie kura jizi jambazi ?
Huwezi kulinganisha JPM na jizi la nyu..bu
 
Slaa ndo alikuja na ile listi ya mafisadi Mwembe Yanga. Kama Lowassa alikuwemo humo, muondoe halafu ndo tuanze kujadiliana kuhusu ukweli wa Slaa kuwa Lowassa ni fisadi. Slaa naye anaweza kuwa victim kama mimi tu. Kwasababu nilijiapiza sitoweza kumpigia kura fisadi. Slaa alikuwa na fikra kama hizo. Kwasababu wana Jf asili humu karibia wote tulilishwa sumu kuhusu Lowassa. Slaa tulikuwa naye humu, wote tukiamini kuwa Lowassa ndo fisadi kuu. Kumbe hata wapi bhana.
Kumbe ndio maana walisema mkapimwe akili ww na akili zako bado hujagundua kuwa huyo bwana ni fisadi ?
 
List of shame ya mwemba yanga ndo ilianzisha yote. Sasa swali ni JK ndo aliwatuma akina Mbowe na Lisu pale mwembe yanga na wakazunguka nchi nzima? Ipi ilianza kati ya list of shame na kuvua gamba?
Swali zuri, nadhani list of shame ilianza kabla ya kuvuana gamba. Ile pressure ndo JK akasema “vua gamba”, chadema wakahnganisha “vua gamba, vaa gwanda”
 
Back
Top Bottom