Lowassa could've done better...

Lowassa could've done better...

Baadaye tulikuja kuambiwa list iliandaliwa na Lissu mwenyewe. Tafuta video zake youtube
Slaa ndo alikuja na ile listi ya mafisadi Mwembe Yanga. Kama Lowassa alikuwemo humo, muondoe halafu ndo tuanze kujadiliana kuhusu ukweli wa Slaa kuwa Lowassa ni fisadi. Slaa naye anaweza kuwa victim kama mimi tu. Kwasababu nilijiapiza sitoweza kumpigia kura fisadi. Slaa alikuwa na fikra kama hizo. Kwasababu wana Jf asili humu karibia wote tulilishwa sumu kuhusu Lowassa. Slaa tulikuwa naye humu, wote tukiamini kuwa Lowassa ndo fisadi kuu. Kumbe hata wapi bhana.
 
Tatizo badala ya kuangalia principles, mnaangalia watu.

Lazima tupigwe sana tu.
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambaye kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapiga wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayopitia. Mtu wa namna hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania. Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.
acha kutudanganya ndugu, ulivoandika apo juu umekosea sana, Lowassa is not good katika maamuzi na uwajibikaji pia, na hana sifa za kua kiongozi bora
 
Magufuli ni rais bora kabisa kuwai kutokea. Acheni akili fupi za kiafrika, huyo lowassa kwa mfano angefanya nini ambacho magu hafanyi zaidi ya wizi yeye na genge lake la kina rostam karamagi
Nakuunga mkono ndugu yangu asilimia 100 hao wanaoongea kuhusu JK na EL ni vibaraka wa mahaba JPM anakubalika kimataifa ndio maana balozi wa China aliyeondoka alisema sasa Tanzania itafuatiliwa na jumuiya za kimataifa kwa sababu ya utendaji kazi wa JPM
 
Mpinzani aliyekuwa serious ni Slaa pekee, ndio mtu aliyekuwa na uwezo wa kusafisha nchi kwa 100% awa kina Lowassa ni bora ata Hashm rungwe.. Magu anafanya kile mlichokililia miaka yote lazima mkubali gharama ya kila mnachoitaji. Mnataka nchi ikae sawa uku mnachekelea tu bila kuwajibika sheinz kabisa.
Dr Slaa ambaye ameshindwa hata kuendeleza ndoa yake? Aliye liendea kinyume kanisa? Aliyeitekeleza familia yake kwa mchapuko? You can not be serious! Ukitaka kujuwa kiongozi kama mzuri au laa, tizama mahusiano yake na familia, period!
 
Uchambuzi mzuri. Ila kumbuka Lowassa hana maono kabisa ya uongozi. Rejea vision yake wakati wa uchaguzi: "education, education, education". Aliiga kwa Tony Blair (Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza) hii vision; na pia hakuwa na record nzuri ya kuendeleza elimu nchini. Legacy yake ilikuwa ni shule za kata. Ambazo karibu zote ni majanga. Kimaamuzi pia Lowassa ni bomu. Rejea memo alizokuwa akiandika kuharakisha suala la Richmond wakati wa uongozi wake ambazo zilikuja kuibuliwa na kamati ya Mwakyembe.

Sema yote lakini usiniambie Lowassa ni Kiongozi mzuri aisee. In fact, ukilinganisha na Magufuli, Magufuli is better, japokuwa mimi mwenyewe simkubali Magufuli sana.
A day dream!!!
 
Wengi hamjui kilichomponza Lowasa kwa JK.
Tatizo lilikuwa Lowasa kumdharau JK akiwa waziri mkuu kiasi cha kuwa akisafiri nje ya nchi bila kumjulisha JK wakati huo naye akiwa nje. Sasa jamaa alitaka kumuonyesha tu kuwa yeye yupo juu hata kama wao (Lowasa na marafiki zake) ndiyo waliomfikisha hapo juu.

Hongera kwa kutengeneza story, ingawa sikubaliani na hili
 
Mkuu hata mimi nilikuwa ukurasa mmoja na wewe. Kwani Lowassa ndo Richmond? Usidanganyike mkuu. Issue ya Richmond ilianzia humu JF, lakini ingekuwa amehusika lazima angeshitakiwa, ama hata ushahidi kuwekwa wazi. Hadi usawa huu, kashfa ya Magu kuuza nyumba za serikali ni kubwa kuliko hizo tetesi kuwa EL ni fisadi.

Pia unaposema amekomesha kashfa aina ya Richmond unakosea. Nadhani kipindi hiki kuna nidhamu ya woga tu. Tena unaweza kuta kuna kashfa mbaya kuliko zote zilizopita.

Hata escrow chini ya utawala huu ingefunikwa tu kama kina Lugumi nk. Na wala isingejulikana.

Serikali ya awamu hii huwa ukitoa kashfa hata kama ni kweli inakula kwako, ndo maana whistle blowers kama Tundu Lissu wanaonekana ni maadui wa Taifa. Sasa unategemea nini hapo?

Serikali hii, cha muhimu ni rais akupende tu basi. It's not about the nation, it's about the president and his cronies.

Huenda awamu ya 5 ikawa na kashfa kuliko awamu zilizopita, awamu itakayokuja itapitia pia haya ya awamu ya tano mfano mikataba ya bombadier, ununuzi wa meli, mikataba ya reli ya kati etc
 
JK inawezekana alikuwa ana wivu kuona besti yake naye akiingia kwenye listi ya mapresdaa. Ili kwenye group lao EL asimfunike. Maana kiukweli walikuwa marafiki. Lakini urafiki wa JK ulikuwa wa kinafiki zaidi.

JK akaleta siasa za "kuvua gamba", akiwa target walio kuwa wakipigiwa kelele za ufisadi. JK alijuwa EL si fisadi lakini alinyamaza na kuendeleza politics za kiswalihina. Ufisadi wote wa kuuza nchi EL hajatokea.

JK yuko responsible kwasababu hata mimi nilimpigia kura Maghufuli badala ya Lowassa kwa kuamini ni fisadi ambaye JK anaogopa kumtimua waziwazi ili chama kisimegeke. But I was wrong.

JK pia alitaka wananchi wamkumbuke uongozi wake ndo maana akaona JPM anafaa zaidi kwasababu anamfahamu vyema(alishawahi kupindua maamuzi yake mengi tu JPM alipokuwa waziri na JK rais), JK alijuwa kuna namna mambo yatakuwa ndivyo sivyo na wananchi kulalamika zaidi, hence kumkumbuka.

However nimekaa nikafikiria, sababu kubwa ya kumpigia kura JPM badala ya Lowassa ni ufisadi. Nikasubiri ccm wamshitaki EL, wapi. Subiri wataje kashfa ambaye kiukweli amehusika yeye, hakuna.

Yani ina maana kashfa ya kuuza nyumba za serikali kwa ndugu zake, inaonyesha wazi uncle Magu ni fisadi na wala siyo EL.

Kwahiyo hapa kusema JPM ni msafi kuliko EL ni upotoshaji mkubwa kabisa.

Hivyo basi hapo ndo tofauti kubwa ya kwanza kabisa kati ya hao viongozi wawili. Pia kingine ni busara. Mzee EL ana busara sana, na pia huchaguwa maneno ya kuzungumza nk.

Watu hao lakini pia wana similarities. Yani kuna mambo wanafanana. Na hilo ni ufuatiliaji, utekelezaji na uwajibikaji.

Hizo ndo nguzo kuu za sifa za Lowassa. Sasa wale ambao hatukuwa na uhakika kuhusu EL, tukaona kuwa Maghufuli pia anaweza kufanya tu kama yeye.

Lakini tofauti ni ukosefu wa busara kwenye maamuzi hayo. Busara ikikosekana kwenye jambo lolote la msingi, basi matokeo yake ni sawa "kujipiga risasi ya mguuni" ukiwa kwenye safari inayoitegemea miguu hiyo.

EL pia ni msikilizaji. Hiyo sifa rais wetu wa sasa hana. Nina imani kuna anaowasikiliza wachache, ambao hao kwake hawana makosa.

Pamoja na sifa ya ujasiri na uchukuaji wa maamuzi magumu alizonazo EL, bado ni mtu mwenye UPENDO na HURUMA.

Rais anaonekana ana ujasiri. Wengi wanapiga wanasema ni uoga. Mimi ninaamini ana ujasiri, lakini hana upendo wala huruma hata chembe.

Binafsi ninaamini rais lazima awe na empathy, yani uwezo wa kujiweka kwenye nafasi ya mtu mwingine na kuona anayopitia. Mtu wa namna hawezi kukosa huruma na upendo, ingredients ambazo ni muhimu sana kwenye jamii ya kitanzania. Aliposhindwa kujiweka kwenye nafasi ya wafiwa, aliamuru rambi rambi zisikabidhiwe kwa wafiwa/waathirika. Hapo ndipo utaona umuhimu wa empathy kwa kiongozi mkuu wa nchi.

Pia EL siyo mtu wa visasi wala vinyongo. Kwa kuwa nilikuwa nimeshamchukia sana kwasababu za uongo kuwa ni fisadi namba moja nchini, nilishindwa kuamini kama hana hizo characteristics.

Nikawa nadhani anajifanyisha tu pale ambapo akitukanwa wala hajibu. Na wanaomuita fisadi hawamyimi usingizi. Yani wala hakutumia nguvu kubwa kupingana na hao wanaomuita fisadi na matusi mengine.

Binafsi ninaamini kuwa JPM amepiga marufuku siasa kwasababu ya Lowassa. Kiukweli, wengi wangeona makosa makubwa tuliyofanya.

Hapo mwanzoni nilikubaliana na JPM kuwa serikali inatakiwa ipewe muda wa kufanya kazi na kutekeleza ahadi zake badala ya kuendeleza siasa. However sasa nimegunduwa kuwa sababu kubwa ni yeye binafsi. Wasiwasi kuwa wananchi watagunduwa mapema makosa waliyoyafanya.

Kama Mungu akimpa uzima, na afya ikawa inaruhusu, nina imani kuwa Lowassa bado ana nafasi ya kuongoza Taifa letu. Pengine akayafanya yale mazuri yaliyoko kwenye uongozi huu wa sasa, na kuachana na negativity zote za utawala huu.

La mwisho kabisa, ni uzalendo wa kweli.
Lowassa zilipendwa hana nafasi tena katika siasa za bongo, atulie kama wenzake akina, Malecela , Dr. Salim, Msuya na wenginevo vinginevyo atakuja pata aibu tu
 
Mushi huyo lowassa kama ccm wengine wote ni fisadi

this nullifies your long article
 
The Characteristic of Leadership - 7 Important Traits
xPhrenologyHeadSM.jpg.pagespeed.ic.OHs3sW5K5Z.jpg


Studying the characteristic of leadership is useful because we tend break things into characteristics to make big concepts easier to handle. There are common traits that define leadership, and finding them only takes some study of those who have been successful. By actively building on these traits you can develop into a stronger leader. Here are some of the most common traits in the characteristic of leadership:

  • Empathy: Creating a legitimate rapport with your staff makes it less likely that personal issues and resentment can creep in and derail the group. When your team knows that you are empathetic to their concerns, they will be more likely to work with you and share in your vision, rather than foster negative feelings.
  • Consistency: Being a consistent leader will gain you respect and credibility, which is essential to getting buy-in from the group. By setting an example of fairness and credibility, the team will want to act the same way.
  • Honesty: Another characteristic of leadership that lends itself to credibility. Those who are honest, especially about concerns, make it far more likely that obstacles will be addressed rather than avoided. Honesty also allows for better assessment and growth.
  • Direction: Having the vision to break out of the norm and aim for great things --then the wherewithal to set the steps necessary to get there-- is an essential characteristic of good leadership. By seeing what can be and managing the goals on how to get there, a good leader can create impressive change.
  • Communication: Effective communication helps keep he team working on the right projects with the right attitude. If you communicate effectively about expectations, issues and advice, your staff will be more likely to react and meet your goals.
  • Flexibility: Not every problem demands the same solution. By being flexible to new ideas and open-minded enough to consider them, you increase the likelihood that you will find the best possible answer. You will set a good example for your team and reward good ideas.
  • Conviction: A strong vision and the willingness to see it through is one of the most important characterizes of leadership. The leader who believes in the mission and works toward it will be an inspiration and a resource to their followers.

PhD hana hata kimoja hapo mkuu. tukubali tuliingia choo cha kike kwa huyu jamaa

uko sahihi sana

nani ambaye unafikiri angekuwa rais ana hizo sifa?? ukitaja itakuw bora

Pia nafasi ya wananchi katika kuelewa haya kukoje? maana unaweza ukamlaumu kiongozi kumbe katokana na jamii hiyo hiyo ambayo ndio hao hao wanampigia kura!!

Tutasema kiingereza chote mpaka sayari ya mars, huyu kabana kula...na ndio tatizo la msingi linazua theory zote hizi

muweke JK pia katika hiyo mizani, tupe mrejesho!

hamna atakeykuwa na zote, kama yuko unayemfahamu...nakupa Tanzanite kilo 5
 
Muanzisha hii thread leo kaja na maada eti 'Lowassa angekuwa rais bora kabisa kuliko Magufuli'

muwe mnasimamia maamuzi na mitazamo yenu, mnakuwa na thamani zaidi--ulikuwa mpingaji sana wa ufisadi nchi hii

Fisadi anabaki kuwa fisadi haijalishi kaenda chama gani, yuko nje au jela, kama kaokoka na kujifanya malaika au la!!!

Fisadi ni identity hatakasikiki, wala kuosheka...wakiishafanya ufisadi kuna watu wanakufa kwa namna mbalimbali directly au indirectly! you can not reverse the damage done

Hata fisadi akaongea maneno matamu namna gani, au akaenda kukaa na watakatifu wa chadema! hata hawa watakatifu waliomuita kuja kunajisi ukuu wao bado haitamfanya fisadi kutakata!!

Vyama au mahali anapoenda na anapohamia havina mechanism ya kubadilisha moyo, damu na akili yake asiwe fisadi!

Lowassa ni fisadi sawa na walioko ccm, ambao for years wamejiwekea misingi ya unyonyaji, kuwa na biashara nzito na hawakutumika

Infact kisiasa Lowasa ni chadema, mirija, moyo na base zake zote za kupata hela ziko CCM inajulikana,

Lowasa na hao akina kikwete, mkapa, mwinyi , karamagi n.k wana biashara mbalimbali ambazo wako share

Leo anapokuja mwanachadema anatoa povu kana kwamba Lowasa alikufa akafufuka na akasahau na kuacha mambo yake ya kale unamwonea huruma!!

anapokuja ny.umb.u mmoja na kusema mbona hauyuko gerezani unacheka, kwani nani aliyesema ccm wasafi? hawa wote lao moja!!!!

endeleeni kusaga lami na ndala zenu zilizoisha

Lowasa kuwa Fisadi ni SI Unit, ni kama kuku KFC, au football barcelona, ni sawa na dhahabu barrick au ubongo wa lissu na sheria, Lowasa na ufisadi ni inseparable!!

Mengine yote semeni ila mtu huyu anapendeza sana kwa ID yake ya fisadi, imemvaa
 
Dogo mradi wa maji ziwa Victoria Lowasa kaukuta uko mezani kwa utekelezaji.

City water Lowasa alikuwa akivuta 200m kwa mwezi kama commission alipoingia mwandozya wizarani akmjulisha mkapa akampiga marufuku Lowasa kupokea commission ndo chuki yake Lowasa ikaanza kwa city water alipoupata Waziri mkuu ikaanza nao.akawatimua.

forget about this highly corrupt man Lowasa.
Acha uwongo alikua anavuta 200m wakina wapi? Kama Lowassa angewaonea city water bac wangeshinda kesi yao lkn kwakua Lowassa ni genius anaejua uongozi ndio maana akashinda.
Lkn huyu wetu asiyejua lolote alichofanya ni nn?
_ kauza nyumba hadi kwa washikaji wake
_ kanunua kivuko kibovu
_ kajenga barabara Nyingi zilizochini ya viwango
_ kavunja mikataba kibao bila kufwata sheria na kututia hasara juu
Sasa mtu kama huyu unamtetea kwa lipi?
 
Madhari ulimpigia kura huyo, wewe ndio walewale. Huna hoja bora ukae kimya! Ulicho paswa kujua mapema ni kuwa CCM ni walewale hakuna mwenye nafuu hata mmoja. Nchi ina angalia kwasababu yenu.
Mkuu si bora nimetambuwa mapema? Kuna binadamu asiyefanya kosa?
 
Back
Top Bottom