Lowassa could've done better...

Lowassa could've done better...

Wewe ndiyo mwenye akili fupi labda.
Wachaga hamtoacha kelele mpaka dhamira yenu ya rais kutoka kaskazini itimie. Huwezi kuwa na akili halafu ukamfananisha Magu na lowasa kiutendaji na kimaadili otherwise uwe kichwa maji kama wewe.
 
Mkuu shukuru Mungu huyo jamaa hakuwa Rais tungekuwa pabaya sana ; ilihitajika busara sana kutuepusha na Hilo Janga; Trust me Rais tuliyenaye sasa ni mpango wa wenye busara na hao wanaopinga juhudi zake ni wahanga wa safisha safisha yake.

Hii nchi ilikua inaliwa na wachache; wenye busara wakaona imetosha sasa tusafishe uoza.

Usipomsupport Rais wa sasa unakaribisha waovu warudi.

Na wakirudi watatumaliza.
 
Wachaga hamtoacha kelele mpaka dhamira yenu ya rais kutoka kaskazini itimie. Huwezi kuwa na akili halafu ukamfananisha Magu na lowasa kiutendaji na kimaadili otherwise uwe kichwa maji kama wewe.
We ni kichwa tope kama si makamasi!

Unaweza mke kumpenda mtu kuliko nchi yako! Swain!
 
Back
Top Bottom