Lowassa could've done better...

Lowassa could've done better...



kuhusu nyumba za serikali msikilize mwenyekiti wa chadema kanda ya pwani Mr Sumaye hapo juu anatoa ufafanuzi mzuri tu.

Richmond ni ya Lowassa ilo awezi chomoka, ukitaka ushaidi waulize lissu, mnyika na lema walishasema.ushahidi wanao.

Yani huyo Lowassa ni afadhari mtafute mwingine huyo ni mwizi ata nafsi yako inajua kutopandishwa kizimbani hakumfanyi kutokuwa mwizi wapo wezi wengi tu wa nchi hii awajafikishwa kortini sababu walituibia kwa akili nyingi lakini haiwafanyi kutokuwa wezi.

Magufuli ni kiongozi ni jasiri atatufikisha sehemu nzuri, amethubutu mpaka kugusa eneo la madini pamoja na kumbeza wengi tunaamini kuna matunda tutayaona huko.

Pengine sio mzuri kwenye siasa ndio maana vilio vyenu wengi haswa ni kwenye demokrasia.

Kwenye hivyo video kuna nembo ya chama gani?
Ukipata jibu utatambua FS alikuwa anatakeleza maagizo toka juu si utashi wake
 
Naona mnazunguka hawa jamaa wameturahisishia kwani wanatumia mitambo toka Australia na Uingereza kurekodi ushahidi
13233029_1590768097881921_7440964151336377693_n.jpg
 
hivi wakati unaandika hii post ulikuwa ns akili timamu kweli? kwani mtu kuwa raisi lazima apitie ccm. lowasa si amegombea urais kupitia ukawa. wakulaumu ni wananchi kwanini wamempa jpm na si EL.
Kwani wewe unaona nimemlaumu nani?
 
Kwenye hivyo video kuna nembo ya chama gani?
Ukipata jibu utatambua FS alikuwa anatakeleza maagizo toka juu si utashi wake

Sumaye anatekeleza maagizo au anajibu swali la kamanda Kubenea! Huyu Sumaye leo kawa lulu kwa kuwa tuu anavaa magwanda.
 
Jibu swali, Lowassa Rostam Karamagi Chenge sio mafisadi sababu hawajashtakiwa?
Ukipata jawabu la maswali yangu ya awali utakuwa umeshajijibu kwakuwa hukuyajibu natambua kwamba unalo jibu zaidi ya ambalo ningelikujibu. Vipi bomberdier nasikia inakuja je ile iliyo ground (check c) nayo imeshaanza kazi?

picha%20uk%2016%2C%20okt%203.JPG

Ofisi ya walimu hiyo; tunakumbuka ahadi za laptop na 50m au nazo zishaliwa na mafisi
 
Mwanamageuko ktk maisha yako muogope na usimwamini, mtu asiye na kauli thabiti, ni hatari sana ,huwezi jua kesho atasema nn
 
Kwa maoni yangu chadema ilipoteza imani kwa wananchi baada ya kulamba matapishi yake. Pale walipoamua kumpokea Lowassa ambaye wamemhubiri kwa miaka 20 kuwa ni fisadi.

EL siyo fisadi lkn kwann walimhubiri kuwa fisadi kwa miaka 20?

Je, ilikuwa siasa? Siasa gani hii ya kuchafuana?

Je, walikurupuka kutangaza kuwa EL ni fisadi? Kama ndiyo. Basi chadema hawaaminiki, no wakurupukaji.
 
Bavicha wengine wanamsifia Kikwete, wengine wanampondea eti kwa sababu ametupa incompetent leader.
 
Wewe unao ushahidi katoa nyumba kwa kimada na ndugu?
Mkuu mbona yako wazi hayo? Hata ndugu yake aliyepewa kazi fasta fasta ili aweze kuqualify kama mfanyakaz wa serikali na kuuziwa hiyo nyumba anafahamika?

Mimi binafsi nililifumbia macho hilo kwasababu nilidhani Lowassa ni fisadi kuu lilouza nchi yetu na rasilimali zetu. Kumbe wapi bhana.
 
Mpinzani aliyekuwa serious ni Slaa pekee, ndio mtu aliyekuwa na uwezo wa kusafisha nchi kwa 100% awa kina Lowassa ni bora ata Hashm rungwe.. Magu anafanya kile mlichokililia miaka yote lazima mkubali gharama ya kila mnachoitaji. Mnataka nchi ikae sawa uku mnachekelea tu bila kuwajibika sheinz kabisa.
Hawa jamaa ni manunda wa kupindukia, wao ndio waliomtaja el ktk list of shame'mafisadi papa' Wakapublicise kuwa jamaa ni mpigaji. Ikabidi kamati ya bunge iundwe chini ya mwakyembe.

Hiyo ndio ikamuondoa Waziri Mkuu El madarakani, sasaivi wanabadili mada hawa wapuuuzi, tunazo video walizunguka nchi nzima hawa, na mwandishi wa mafisadi papa akiwa Tlizu, waaache kukengeuka
 
Kwa maoni yangu chadema ilipoteza imani kwa wananchi baada ya kulamba matapishi yake. Pale walipoamua kumpokea Lowassa ambaye wamemhubiri kwa miaka 20 kuwa ni fisadi.

EL siyo fisadi lkn kwann walimhubiri kuwa fisadi kwa miaka 20?

Je, ilikuwa siasa? Siasa gani hii ya kuchafuana?

Je, walikurupuka kutangaza kuwa EL ni fisadi? Kama ndiyo. Basi chadema hawaaminiki, no wakurupukaji.
Huu ni ukweli mchungu. CHADEMA wana makosa yao pia. Inawezekana waligunduwa wameingizwa chaka, lakini shida iko upande wa wananchi. Tulichanganywa siyo siri.
 
Wengi hamjui kilichomponza Lowasa kwa JK.
Tatizo lilikuwa Lowasa kumdharau JK akiwa waziri mkuu kiasi cha kuwa akisafiri nje ya nchi bila kumjulisha JK wakati huo naye akiwa nje. Sasa jamaa alitaka kumuonyesha tu kuwa yeye yupo juu hata kama wao (Lowasa na marafiki zake) ndiyo waliomfikisha hapo juu.

Kilichomfanya JK amgeuke Lowassa ni kimoja tu. Kura za 2010 baada ya CHADEMA kuimba ufisadi ndani ya serikali na CCM kwa ujumla na matokeo yake JK akashinda kiduchu tena matokeo kucheleweshwa mno kiasi cha kufikiria uchakachuaji. Hapo ndipo JK akaona kuendelea mtuhumiwa namba moja wa ufisadi ni kuiangamiza CCM. Hoja ya kujivua gamba ikaanzishwa na ndio mwisho wa urafiki wa karibu kati ya Lowassa na JK. Lengo la kumtema Lowassa lilikuwa kuiokoa CCM.
 
Mimi ni muhanga wa ajira lakini bado nampenda
Me ni muhanga wa bomoa bomoa lakn bado nampenda. Najua anafanya haya kwa manufaa ya wengi
 
Back
Top Bottom