Mmeshaambiwa wanatakiwa wadhaminj 450 tu hao wengine karatasi kafungie vitumbua.
Hamuoni aibu kutetea Mwizi au nyie ndo wezi zaidi maana mnamuibia.
Dont put all the eggs in one basket ni vizuri uwe na option B other wis
e tutawazika wengi kwa Pressure, BP na stroke mwezi ujao..
Mmeshaambiwa wanatakiwa wadhaminj 450 tu hao wengine karatasi kafungie vitumbua.
Hamuoni aibu kutetea Mwizi au nyie ndo wezi zaidi maana mnamuibia.
Ni katika Safari ya matumaini...!!!
Tulidhania Singida record yake ya wadhamini elfu 22, isingevunjwa, ila Moshi wakavunja kwa wadhamini 33 elfu, siku moja baadae, rekodi ya Moshi ikavunjwa na Mbeya kwa kupata wadhamini 53 elfu...!!!
Jana Iringa, wameweka rekodi mpya ya kutisha, wadhamini 58 elfu...!!!!
Kama hujui kusoma, picha huoni...!? Kama kipofu, huwezi kusoma pia, SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU, si unasikia CCM ikichanja mbuga na Lowassa...!!! Chagua Lowassa 2015...!!!
Tuhuma zote dhidi yake zimegonga mwamba kwani ni propaganda na uzushi, kwani Vyombo vyote halali vya Dola....👇👇👇👇👇👇
PCCB, COURTS, DPP, POLICE, TUME YA MAADILI YA VIONGOZI YA UMMA na KAMATI YA MAADILI YA CCM.... hajawahi kutuhumiwa achia mbali kushtakiwa ktk maisha yake ya utumishi...!!!
Pia anapendwa na makundi yoooooote....Waalimu na wafanyakazi, wafugaji, wakulima, wavuvi, masheikh, maaskofu, wakristo, waislam, bodaboda, machinga, UVCCM, BAVICHA, UWT, Umoja wa Wanawake CCM, CCM NEC, Wafanyabiashara wakubwa, wasio na dini, Albinos etc etc...!!
So we made our hearts and minds, we go with Lowassa 2015...!!!
Walioiba mali ya umma jiandaeni...!! Mnajua shughuli ya Lowassa...!!!
CCM thru LOWASSA 2015 ndio chaguo sahihi...!!!
Mzee Lowasa elewa kuwa M.Mungu kakuteua uwe mkombozu wa watanzania wenzako, ndio maana wanamatumaini makubwa juuu yako poa wanaimani kubwa juu yako. Endelea kumuomba Na kumtegemea Mungu akisaodie
Mzee Lowasa elewa kuwa M.Mungu kakuteua uwe mkombozu wa watanzania wenzako, ndio maana wanamatumaini makubwa juuu yako poa wanaimani kubwa juu yako. Endelea kumuomba Na kumtegemea Mungu akisaodie
Kuna sehemu watafika hata laki moja maana wanjua kuna nauli au posho. Lakini awe na uhakika kuwa kwenye mchujo haimsaidii hata kidogo.
Kwenye mtihani wenye maswali kumi ukiambiwa jibu matatu nawe ukajibu yote ujue umefeli mtihani wenyewe.
UKAWA is UKIWA...loneliness...!!! upo hapo...!! join Safari ya matumaini ASAP...!!! Mafuriko yakukute ktk safina...sbb Mlango ukifungwa hautafunguliwa tena, be on board...!!!
Yaani saa hizi Songeaaaaaaa kimenukaaaaaaaa......ni Lowasaaaaa tuuuu...watu waimba Yesuuuu....mkomboziiiii...mara Rais...Rais...Rais...Rais....CCM...CCM....
CCM....oyeeeeeee....Lowasaaa lowasaaa Mpangooo wa Munguu....ccm. ccm... yaani barabara imejaa kutokea Airport kwenda mjini...uwanja wa Majimaji...ni shidaaaaaaaa.... kimenukaaa huku ni CCM... CCM... CCM... aiseeeeeeee haki ya nani...!!! kumekuwa kijaniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii mamaeeeeeee...!!!""