Nan asiye mwizi ndan ya ccm?
Kwani hao wadhamini ndiyo tiketi ya kugombea urais akili ya Lowasa pamoja na washauri wake zero halafu hizo fomu za Lowasa zipo iringa tangu wiki liyopita zinatembezwa kwa kugawa pesa.
rafiki wa rostam,chenge,kapuya,karamagi na tibaijuka,fanyeni usanii wenu na hiyo sauti ya mungu wenu inayopenda majizi lakini mungu wetu anachukia mafisadi.
Serikali iliyochoka kwa wizi,dhulma ambavyo vyombo vyake vya sola vinafanya kazi ya kuilinda ccm,leo utuambie havijamshitaki jizi zoefu,wezi wa epa walibembelezwa warudishe hela walizoiba hiyo ni serikali makini?
Endeleeni na usanii wenu ila mwizi hana nafasi ikulu
Katiba ya CCM haisemi hivyo...isome vema..!!
sawa ila ni zamu ya zanzibar
Subiri sasa, ndipo utajua nani kifaranga na yupi yupi ni kuku. Ingawa najua haingii, 100% sure. Tunataka punguza mafisadi hadi kuwamaliza sio kuwaongeza.Kifaranga cha kuku na mwewe wapi na wapi...!?
Propaganda...be reasonable...!!! u don't hv REASONS...be intelligent...!!!
Subiri sasa, ndipo utajua nani kifaranga na yupi yupi ni kuku. Ingawa najua haingii, 100% sure. Tunataka punguza mafisadi hadi kuwamaliza sio kuwaongeza.
Whatsoever, Lowassa is next the President...!!
Ni katika Safari ya matumaini...!!!
Tulidhania Singida record yake ya wadhamini elfu 22, isingevunjwa, ila Moshi wakavunja kwa wadhamini 33 elfu, siku moja baadae, rekodi ya Moshi ikavunjwa na Mbeya kwa kupata wadhamini 53 elfu...!!!
Jana Iringa, wameweka rekodi mpya ya kutisha, wadhamini 58 elfu...!!!!
Kama hujui kusoma, picha huoni...!? Kama kipofu, huwezi kusoma pia, SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU, si unasikia CCM ikichanja mbuga na Lowassa...!!! Chagua Lowassa 2015...!!!
Tuhuma zote dhidi yake zimegonga mwamba kwani ni propaganda na uzushi, kwani Vyombo vyote halali vya Dola....👇👇👇👇👇👇
PCCB, COURTS, DPP, POLICE, TUME YA MAADILI YA VIONGOZI YA UMMA na KAMATI YA MAADILI YA CCM.... hajawahi kutuhumiwa achia mbali kushtakiwa ktk maisha yake ya utumishi...!!!
Pia anapendwa na makundi yoooooote....Waalimu na wafanyakazi, wafugaji, wakulima, wavuvi, masheikh, maaskofu, wakristo, waislam, bodaboda, machinga, UVCCM, BAVICHA, UWT, Umoja wa Wanawake CCM, CCM NEC, Wafanyabiashara wakubwa, wasio na dini, Albinos etc etc...!!
So we made our hearts and minds, we go with Lowassa 2015...!!!
Walioiba mali ya umma jiandaeni...!! Mnajua shughuli ya Lowassa...!!!
CCM thru LOWASSA 2015 ndio chaguo sahihi...!!!
Mmeshaambiwa wanatakiwa wadhaminj 450 tu hao wengine karatasi kafungie vitumbua.
Hamuoni aibu kutetea Mwizi au nyie ndo wezi zaidi maana mnamuibia.
Propaganda mpaka kajizulu kaka.
Vipi si wanahitajika 30 kila mkoa hao waliozidi ni wa nnn au anataka kuaminisha jamii kuwa kawanunua wachungaji wamemsafisha.
Mbona hakuna kiongozi anayetoa idadi kuwa wamejitokeza wengi kumdhamini yani hajiamini ujue ndo mana anajihami ili aonekane msafi na anapendwa kumbe anawakodi bodaboda.
Na mabasi yamekodiwa mbeya kusomba raia wajae kwa mkutano wake.
Ww umekula pilau mpaka unatetea fisadi aliyejizulu kwa kashfa au alisingiziwa.
Kawaida ukiwa haujiamini lazima utaongea ili uonekane kama unaaminika kama unapendwa una hela au una akili ni kawaida ila kama unapendwa au una akili hakuna haja ya kujitangaza raia wenyewe watakutangaza bana
Mmeshaambiwa wanatakiwa wadhaminj 450 tu hao wengine karatasi kafungie vitumbua.
Hamuoni aibu kutetea Mwizi au nyie ndo wezi zaidi maana mnamuibia.
Ni katika Safari ya matumaini...!!!
Tulidhania Singida record yake ya wadhamini elfu 22, isingevunjwa, ila Moshi wakavunja kwa wadhamini 33 elfu, siku moja baadae, rekodi ya Moshi ikavunjwa na Mbeya kwa kupata wadhamini 53 elfu...!!!
Jana Iringa, wameweka rekodi mpya ya kutisha, wadhamini 58 elfu...!!!!
Kama hujui kusoma, picha huoni...!? Kama kipofu, huwezi kusoma pia, SAUTI YA WATU NI SAUTI YA MUNGU, si unasikia CCM ikichanja mbuga na Lowassa...!!! Chagua Lowassa 2015...!!!
Tuhuma zote dhidi yake zimegonga mwamba kwani ni propaganda na uzushi, kwani Vyombo vyote halali vya Dola....������������
PCCB, COURTS, DPP, POLICE, TUME YA MAADILI YA VIONGOZI YA UMMA na KAMATI YA MAADILI YA CCM.... hajawahi kutuhumiwa achia mbali kushtakiwa ktk maisha yake ya utumishi...!!!
Pia anapendwa na makundi yoooooote....Waalimu na wafanyakazi, wafugaji, wakulima, wavuvi, masheikh, maaskofu, wakristo, waislam, bodaboda, machinga, UVCCM, BAVICHA, UWT, Umoja wa Wanawake CCM, CCM NEC, Wafanyabiashara wakubwa, wasio na dini, Albinos etc etc...!!
So we made our hearts and minds, we go with Lowassa 2015...!!!
Walioiba mali ya umma jiandaeni...!! Mnajua shughuli ya Lowassa...!!!
CCM thru LOWASSA 2015 ndio chaguo sahihi...!!!