Lowassa avunja record tena, elfu 58 wamdhamini Iringa..

Lowassa avunja record tena, elfu 58 wamdhamini Iringa..

kwa mtu anayejua hesabu kanielewa



What maths do u know...!!? Joking...!!

Intergrate this Σ( yˋω| 3 |) from 0 to 1... just tht simple...!!! nipe jibu ASAP to the nearest decimals...!!!
 
Mgombea wa ccm atakayeleta upinzani kwa ukawa ni lowassa tu wengine wote Kama kumsukuma mlevi.
 
1: Mwizi..!? leta exhibit, evidences...be straight, kama huna ni vioja tu hivyo, tuna deal na hoja

2: Huna TV kwenu hadi leo, it seems unakataa hata unachokiona, ww sasa almost ur dead...!!!

Kama sio mwizi mbona alijizulu pia na hata Makongoro anamtaja waziwazi kuwa ni mwizi.

Au kamuulize mwakyembe report yake ya bungeni.

Vipi utakuwa umenunuliwa mana unamtetea sana hata ukiabiwa uozo wake haukubali kabisa ujue.

Atakuwa mmasai mwenzako ingawa ni mmeru aliyekataa koo yake.
Pia una maslahi binafsi naye k.v akina karamagi rosta. Na tibaijuka .ndo marfiki zake na wote hao unawajua kuwa wana kashfa
 
Kama sio mwizi mbona alijizulu pia na hata Makongoro anamtaja waziwazi kuwa ni mwizi.

Au kamuulize mwakyembe report yake ya bungeni.

Vipi utakuwa umenunuliwa mana unamtetea sana hata ukiabiwa uozo wake haukubali kabisa ujue.

Atakuwa mmasai mwenzako ingawa ni mmeru aliyekataa koo yake.
Pia una maslahi binafsi naye k.v akina karamagi rosta. Na tibaijuka .ndo marfiki zake na wote hao unawajua kuwa wana kashfa

Hahaaa.... hujui maana ya LEADERSHIP ACCOUNTABILITY WW...!!! It seems sio mfanyakazi wa serikali au huna experience na leadership...!!! Sorry for you...!!! In short, alijiuzulu sbb ya serikali na chama chake cha CCM, alibeba msalaba, kama Yesu wa Nazareth ili atuokoe, so huyo ndio KIONGOZI SHUPAVU...!!!
 
Jibu ni 0



Hahaaaa....u make me laugh...u remind me...!!!

In maths, utakuta swali refuuu, esp. in Adv. Maths/Pure Maths, the answer unakuta ni 0 or 1....!!!! But wanasahihisha solutions uliyofikia jibu, ndio tatizo, unakuta jibu lina carry only robo ya marks ya swali zima...!!

I appreciated ur approach...!!!❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❗❗❗❗🐭% 🐭% 🐭% 🐭%
 
Hahaaaa....u make me laugh...u remind me...!!!In maths, utakuta swali refuuu, esp. in Adv. Maths/Pure Maths, the answer unakuta ni 0 or 1....!!!! But wanasahihisha solutions uliyofikia jibu, ndio tatizo, unakuta jibu lina carry only robo ya marks ya swali zima...!!I appreciated ur approach...!!!❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❗❗❗❗


Foolish question deserves foolish answer
 
Hivi kupitishwa kwategemea umepata idadi gani? Maana kwanza siamini kama hao wana CCM walikuwa ni wanachama hai, unless anatumia trick ya kuwalipia fee wanachama wafu. Team Lowassa hawana watu wenye vichwa.
 
Hahaaaa....u make me laugh...u remind me...!!!In maths, utakuta swali refuuu, esp. in Adv. Maths/Pure Maths, the answer unakuta ni 0 or 1....!!!! But wanasahihisha solutions uliyofikia jibu, ndio tatizo, unakuta jibu lina carry only robo ya marks ya swali zima...!!I appreciated ur approach...!!!❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❌❗❗❗❗Foolish question deserves foolish answer


U failed imagine, even to the easiest qn...!!! 🐔🐔 head
 
Hahaaa.... hujui maana ya LEADERSHIP ACCOUNTABILITY WW...!!! It seems sio mfanyakazi wa serikali au huna experience na leadership...!!! Sorry for you...!!! In short, alijiuzulu sbb ya serikali na chama chake cha CCM, alibeba msalaba, kama Yesu wa Nazareth ili atuokoe, so huyo ndio KIONGOZI SHUPAVU...!!!

Kama akiwa Waziri mkuu watu waliiba na akashindwa kuwajua the same applie akiwa Rais wataiba na atashindwa kuwajua.Hatutaki mtu wa kulinda chama tunataka mtu wa kuilinda nchi na wananchi
 
Kama akiwa Waziri mkuu watu waliiba na akashindwa kuwajua the same applie akiwa Rais wataiba na atashindwa kuwajua.Hatutaki mtu wa kulinda chama tunataka mtu wa kuilinda nchi na wananchi


Anamjua sana..alikuwa juu yake...hakuweza kumwajibisha...ndio maana wanaogopa akishika dola moto utawaka..!!!
 
Anamjua sana..alikuwa juu yake...hakuweza kumwajibisha...ndio maana wanaogopa akishika dola moto utawaka..!!!

Alikuwa juu yake kivipi? Una ushahidi pasipo shaka kuwa mwizi alikuwa juu yake? Maana hakuwahi sema wala dokeza kuwa mwizi yupo juu yake
 
Alikuwa juu yake kivipi? Una ushahidi pasipo shaka kuwa mwizi alikuwa juu yake? Maana hakuwahi sema wala dokeza kuwa mwizi yupo juu yake


Nothing u know, puppet of papparazzi...!!!

Go back to ETHICS OF GOOD LEADERSHIP...!!! haturopoki hovyo...!!! hujaelewa nn..!?
 
... Atuambie Hawa Wa Iringa Wenyewe Kawasafirisha Kutoka Wapi Safari Hii.

Binafsi wakati Lowassa alizunguka mikoa mingine na watu kujazana niliamini kuwa ni propaganda na kweli watu wananunuliwa, lakini jana nilienda mwenyewe uwanja wa samora na nilichojionea nilibigwa na butwaa.

Jamaa anakubalika kiukweli tuacha masikhara, timu yake ilikuwa inapita mitaani na kuzunguka pale uwanjani kuomba watu wamdhamini,unaambiwa watu walikuwa wanagombea kumdhamini na mimi nikapata fursa ya kumdhamini.nimepiga picha za kutosha ningeziweka humu tatizo how to upload ni tatizo kwango..help is allowed.

Hakutoa hotuba yoyote zaidi ya kupokea form za udhamini na kuwashukuru watu kwa kumdhamini basi,aliongea kwa takribani sekunde 47 hivi yaani chini ya dk 1.

PM Pinda nae alikuwepo hapa mjini lakini hakuna hata aliejua kwamba yupo, yeyey alichofanya ni kugawa kadi maalum ili watu wahudhurie hafla fupi aliyoiandaa pale ukumbi wa "siasa ni kilimo" kilichojiri huko sijui maana sikuhudhuria.

Hitimisho:kuna mjumbe mmoja wa nec alikuwepo pale uwanjani,alinukuliwa akisema hivi "wana iringa na watanzania kwa ujumla msibabaishwe na maneno ya magazeti na mitandaoni,sisi kama nec tunajua nani anauzika na hatuwezi kufanya kosa la kipumbavu kama tulilofanya hapa iringa mwaka 2010 kwa kukata jina la anayekubalika na kuweka lingine,matokeo yake ilitugharimu"

Ngoja nijaribu kuweka baadhi ya picha
 
Endeleeni kuponda tu ila Anko Edu ndo anachanja mbuga. Nashangaa wanaume wazima na mapumbu yenu mmekalia majungu na fitina
 
Jipe moyo, unacheka kwa woga, tht is coward laugh..!!! eti kuigiza, ww ndio una igiza wenzako wanapiga kazi... nenda ww, ukipata mtu 1 akikudhamini apart from ur vote, nakupa 1 Milion.. kachukue fomu leo..!! I swear ww hata kupata mdhamini mmoja hupati...jaribu ww sasa...!! Ur a joker..!!

Dont put all the eggs in one basket ni vizuri uwe na option B other wise tutawazika wengi kwa Pressure, BP na stroke mwezi ujao..
 
Nothing u know, puppet of papparazzi...!!!Go back to ETHICS OF GOOD LEADERSHIP...!!! haturopoki hovyo...!!! hujaelewa nn..!?
Acha kutuhadaaa,umesema mwenye ushahidi usio na mashaka kuwa Lowasa auweke,sasa nawe inakuaje unakuja bila ushahidi unasema aliyeiba alikuwa juu yake au sijui walikuwa wengine.Ni akina nani hao kwa ushahidi upi?
 
Endeleeni kuponda tu ila Anko Edu ndo anachanja mbuga. Nashangaa wanaume wazima na mapumbu yenu mmekalia majungu na fitina
Wanaoponda ndo wapiga kura mkuu ndo utambue hilo wana kichinjio mkononi
 
Back
Top Bottom