Natiogeo
Senior Member
- Apr 17, 2015
- 187
- 116
hujasoma ktk maandiko...kwamba MUNGU aliwahi kumtumia punda kusema na mwanadamu??
so anything can hapen!! he can use anything to deliver the nation, he can use Freemason worshiper as well to be part of deliverence plan!!.
so anything can hapen!! he can use anything to deliver the nation, he can use Freemason worshiper as well to be part of deliverence plan!!.
IJUE SIRI YA PETE ALIYOVAA MGOMBEA HUYU:
Mgombea wa Ukawa amevaa pete ya Freemason lengo la Pete hyo ni ili kuwapumbaza wananchi wampende bila kutaka bali wanajikuta wanampenda tu.
Pete hyo niya nguvu za giza na masharti aliyopewa nikutoa kafara ya damu za watu.
Pete hyo humfanya mtu kuwa maarufu sana hata kama hafai ila mwisho wa siku nguvu ya Pete hyo inapokuja kupungua watu humchukia sana na kutotaka hata kumuona.
Style anayoitumia Lowasa ya kuzunguusha mikono kwenda mbele na nyuma ndio maagizo aliyopewa alikoipewa pete hyo. Ishara hyo yakuzunguusha mikono ndivyo nguvu hzo zinavyowavuruga watu akili na fahamu zao na kujikuta wanampenda tu.
Jambo la kufurahisha Nikwamba wataalamu wa mambo hayo wanasema mtu anaweza kumpenda ila kumpenda huko hakumfanyi mtu ampigie kura yeye. .
CHUKUA HATUA OGOPA KUTOLEWA KAFARA