Mpaka uchaguzi ufike mtahangaika sana!Sisi hatutafuti kiongozi wa dini,hata awe muabudu shetani sawa tu!Ndio maana serikali inasema haina dini,ila waumini wake wana imani tofauti!Hata akija malaika,kama hawezi kuleta maendeleo hatufai!
What is so special about the Freemasons?
ccm wajinga sana...
Hivi unaelewa maana ya freemasonry?
[h=3][/h]Mwaka huu ndio mwaka wa kuona mengi. Sasa Lowassa anavaa Pete ya Freemason kama ishara kuwa yeye ni mmoja wao. Hiki kikundi cha Masonic ni cha waabudu Shetani na wanatumia nguvu za giza kupata uongozi.
Hapa chini tunamwona Sir Chande akiwa na Sumaye ambaye na yeye inasemekana kuwa ni mmoja wao.
Tanzania, kwanini tumchague kiongozi ambaye ni Freemason na aifanye nchi kuwa chini ya imani za Mashetani?
Mchague Mheshimiwa John Magufuli ambaye hana ushirika na hiki kikundi cha kuabudu mashetani "Freemason" na anamtegemea Mungu na ataiweka nchi katika misingi ya isiyo na ushirika na hizi imani za kimashetani.
HUJAKATAZWA KUWA FREEMASON punguza yowe!
Mr Chin
ccmnatumia mwenge hiyo ni ishara ya freemason lazima tuitoe
tubadilike-sasa
Na umuulize kwa nini John Kasuku alikwenda na Mganga Wa kienyeji pale Nzega?Yule mama aliyebeba mausinga na Matunguli huku akisafisha njia kisha John Mataputapu akafata kwa nyuma alikuwa anafanya nini?Ushirikina hadharani kwenye mkutano wa pale PARKING YA MALORI Nzega.
Lowassa hafai kabisa kuwa Rais wa Tanzania.