Mtu anae mtetea lowasa ni mrundi aende kwa Nkurunzinza hana uzalendo.
Lowasa ameshaanza kuwa na hofu anajua NEC hawawezi kumptisha kuwa mgombea uraisi kupitia ccm ndo maana ameanza kupaniki..
Kutafuta mgombea msafi ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi.
Nillikuwa naamini hivyo lakini kabadilika sana ...kiasi kuwa siamini..imani yangu ilikuwa kubwa sana kwa mzee huyu toka enzi ya kesi ya na Mzee Masilingi najisikia vibaya nikikumbuka nilivyomuona Mzee Masilingi kama ni Mkosaji kwa Mzee Huyu.Kweli hata kama ulikuwa Blackmail unapaswa kusimama na kusema hapana hili hstoria iandikwee.Kweli Dunia hii ya ajabu...na kisa changu cha mwisho ni Muhongo...japo nilisimama upande ule ule kwa kumuona mzawa lakni kwa hili na hawa jamaa nimefunga break...Its too much to swallow.Huu uwongo kabisa .Dr.Mengi hawawezi kusapoti mchafu.
Umasikini wa watanzania hauwezi kuondolewa na malofa, ili uondoke lazima watu wawekeze kuuondoa nao ni lowasa pekee ndo mwenye huo uwezo.
Sasa ulitaka awasahau?
Ulipomweka mengi umeudhoofisha zaidi uongo wa Uzi wako!
duh, mbona wote hawa wapigaji, wezi na mafisadi hii nchi itakuwa salama kweli.
Huu uwongo kabisa .Dr.Mengi hawawezi kusapoti mchafu.
ripoti ya CAG bilioni 262 kwenye wizara ya ujenzi hazijukani zimeenda wapi ?Magufuli atuambie kwanza hizo pesa ziko wapi?