MWAKATA KWETU
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 560
- 320
Wezi wanafata wezi wenzao
Dogo achana na mambo ya kurahisisha mambo kwa kujidai unajua kingereza, waingereza wenyewe wanamaindi nchi yao na utaifa wao! Ungekijua si ungemuandikia speech ya kizungu basi kama hata kusoma angeweza zaidi ya "safari ya matumaini"! Tumesikia " kuishi kwa matumaini" , na inapotokea mtu anaishi kwa matumaini huwa mwisho ni kifo, sasa hii safari ya matumaini............?!?!?!?!! ??!?!?!So what? na wewe na timu yako tangulizeni watu kama mnaweza. Stupid argument.
Dogo achana na mambo ya kurahisisha mambo kwa kujidai unajua kingereza, waingereza wenyewe wanamaindi nchi yao na utaifa wao! Ungekijua si ungemuandikia speech ya kizungu basi kama hata kusoma angeweza zaidi ya "safari ya matumaini"! Tumesikia " kuishi kwa matumaini" , na inapotokea mtu anaishi kwa matumaini huwa mwisho ni kifo, sasa hii safari ya matumaini............?!?!?!?!! ??!?!?!
Wadau kwanini Lowasa hakwenda Mwanza kuomba watu wa kumdhamini lakini kazunguka mikoa karibu yote ya kanda ya ziwa?
Wadau kwanini Lowasa hakwenda Mwanza kuomba watu wa kumdhamini lakini kazunguka mikoa karibu yote ya kanda ya ziwa?
Wadau kwanini Lowasa hakwenda Mwanza kuomba watu wa kumdhamini lakini kazunguka mikoa karibu yote ya kanda ya ziwa?