mzee wa kismati
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 2,291
- 799
jipe moyoKwa ujumla watu wanamfanya Lowasa kama video ya kuangalia kila mtu anataka kuona fisadi huo anaonekanaje.
jipe moyoKwa ujumla watu wanamfanya Lowasa kama video ya kuangalia kila mtu anataka kuona fisadi huo anaonekanaje.
ana ndoto na lazima kukikucha itatimiaHuyu jamaa ana uchu
Wanalala kwa dada yako
mamluki ww huna jipyagaweni mapesa hapo mwanza watu wafanye biashara ya samaki.
kelele za chura hizoLeo nimeamini Lowasa anaumwa sana.Nilikuwepo Ghandi Hall Mwanza lowasa anaembea anayumbayumba,jicho moja limefumba kabisa na mdomo hawezi kuufumbua hata kutabasamu hawezi.Ccm tusifanye kosa huyu mtu hawezi kufanya kampeni anaumwa sana.
hivi hii mijitu ya kanda ya ziwa haina kazi? kila mikutano ya maana na isiyoyamaana yamejaa tu. yakitoka hapo yanaenda kutafuta viungo vya albino. haya majamaa ya ajabu kweli. ndo maana wanasiasa yameyafanya kama matabara ya kudekia.
wadanganye watoto wenzakonilikuwa maeneo ya france corner bar mitaa ya uhuru watu wanagawana hela kwenda mkumpokea wakiongozwa na m/kiti wa mtaa huo
Lowasa ni mpango wa Mungu,Mungu alimuumba lowasa kutokomboa watanzania
Huyu jamaa ana uchu
duh, mbona wote hawa wapigaji, wezi na mafisadi hii nchi itakuwa salama kweli.