Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

Lowassa atua Mwanza kusaka wadhamini, umati wampokea

Kuwa mstaarabu nani asiyekuwa na hicho unachokisema? Kama huna hoja uchune . Huu ni uwanja wa watu wanaomwagikwa na akili.
 
Nataka wasimpitishe nione chama kinavyo meguka na ukawa wachukue dora bila jasho.
 
Team zile dhaifu kila walipo ni bwi, bwi,bwi,bwi:sly::sly::sly::sly:
 
kama aliwatishia wanaccm kuwa wasiomtaka waondoke akijua kuwa ccm sio yeye pekeyake, je akiwa rais wasiomtaka na ambao hawatampigia kura wajiandae kuwa wakimbizi wa nchi yao, anakurupuka sn,
 
Lowassa anamaanisha wahisani! Nadhani amesahau sera ya chama chake!
 
Kama ni kweli sisi ma-Tanzania haki ya nani ku'nina zetu kabisa, yaani tunataka kuuza nchi mchana kweupe? Nayashangaa hata yanayompigia debe huyu mpuuzi!! Hawa mtawazuiaje kwenda kujichotea mabilioni? CCM liokoeni Taifa, huyu jina lake lisirudi haki ya nani!!
 
"lowasa anaweza kuongoza ng'ombe lkn sio kuongoza watu" TAKE MY WORDS AND WAIT FOR A WHILE!!!
 
huyo membe ndo nn mambo yote lowasa

bora kura yangu nimpe alikiba kuliko membe,hana mvuto,yuko sawa na aliyepo,hana chochote alicholifanyia taifa,tumekua maadui na nchi majirani sababu yake.
 
Rais wa 2015-2020 ni JP Magufuli. Huyu ni mtu pekee anayekubalika CCM pamoja na kwenye majimbo ya upinzani...Nje ya hapo rais atatoka UKAWA...
Lowassa jaribu tena 2020
ripoti ya CAG bilioni 262 kwenye wizara ya ujenzi hazijukani zimeenda wapi ?Magufuli atuambie kwanza hizo pesa ziko wapi?
 
Rais wa 2015-2020 ni JP Magufuli. Huyu ni mtu pekee anayekubalika CCM pamoja na kwenye majimbo ya upinzani...Nje ya hapo rais atatoka UKAWA...
Lowassa jaribu tena 2020

Magufuli anakubalika CCM ipi? Huyo kilaza huyo ndio apewe nchi!?! Na safari hii hata unaibu waziri hapati maana amekichafua sana chama chetu kwa ufisadi wa Bilioni 252.
 
Lowasa ameshaanza kuwa na hofu anajua NEC hawawezi kumptisha kuwa mgombea uraisi kupitia ccm ndo maana ameanza kupaniki..
Kutafuta mgombea msafi ndani ya ccm ni sawa kutafuta mwanamke bikra kwenye wodi ya wazazi.
 
lowasa ni gamba ilikuwa avuliwe na kina nape akatumia pesa yake kuhonga..............hapo juzi tu kaambiwa na makongoro kuwa yeye ni kibaka ndani ya ccm bado naona HAJIELEWIELEWI HUYU JAMAA
 
Magufuli anakubalika CCM ipi? Huyo kilaza huyo ndio apewe nchi!?! Na safari hii hata unaibu waziri hapati maana amekichafua sana chama chetu kwa ufisadi wa Bilioni 252.
Mkuu ni bilioni 262
 
Umasikini wa watanzania hauwezi kuondolewa na malofa, ili uondoke lazima watu wawekeze kuuondoa nao ni lowasa pekee ndo mwenye huo uwezo.
 
Back
Top Bottom