Ili Lowasa asimamishwe na CCM basi chama cha kijani kitabomoka, maana mwenye nguvu ya kumuweka hapo, ameshaapa kuhakikisha hakai!! Kisa...!!! naogopa kisasi. Na najua moto wa masai utakuwa mkali hatokubali kamwe!!! Kwa mafahari hawa kutunisha misuli, chama kinagawanyika mara mbili, kura zake na mbinu za ushindi zinagawanyika, mtashangaa!!!
Viongozi wa dunia wako New York!!! Nimeshangaa kutokumuona Jk huku!!! ameacha safari I think this is the first or second time, you know why!! To serve his a**!!!