Lowassa apanda chati kuelekea uchaguzi mkuu 2015

Lowassa apanda chati kuelekea uchaguzi mkuu 2015

Huyu ndio atakuwa Rais wako, upende usipende. Akishapitishwa na CCM basi anzeni kumwita muheshimiwa Rais, msisubiri uchaguzi.

Nitapiga campaign nyumba kwa nyumba hadi kieleweke.
 
Kama Lowassa akichaguliwa kugombea urais kupitia tiketi ya CCM tunatakiwa kumshukuru Mungu kwani that will be the beginning of the end....if not the end of the beginning. I will, without any hesitation, start to actively take part in street to street politics to campaign against him. I just hope upinzani wataweka candidate mzuri.
 
Mkuu hivi una viwanda vingapi vya uongo!
Misemo ya JK inakusuuza hasa Ritz! bado hujaanza kukoti ule wa "Ukitaka kula shurti uliwe" watu wa vijiweni utawajua tuu. Hata hivyo Lowasa kusimamishwa na CCM kugombea hilo halina shida kwa CCM ila shida iko kwa Watanzania wazalendo wanaoipenda nchi yao. Mkuu sasa hivi uelewa umepanda sana na hii yote imeletwa na M4C

 
hayo ya kusaidia jamii kwa pesa aliyoiba kwa kutumia madaraka yake au kukwepa kodi ni sawa ila kwa urais hatufai, tutafutieni mtu mwingine! ikulu kuna nn? mbona ana uchu na ikulu kiasi hicho??ile tu kutajwa kwenye kashafa kama richmond inatosha kumdisqualify!!

Usipende kuokota maneno mtaani na kuyaleta JF weka ushahidi wa hizo pesa unazosema Lowassa kaiba kupitia madaraka yake, kama ukiamua kutumia uzushi wa mitaani itabidi ukubali kuwa Dr Slaa, alitafuna pesa za ziara ya Papa.
 
Hivi, what is the problem ya Lowassa..? Kwani akigombea urais kuna tatizo gani..?? why most get fever wakisikoa EL anagombea Urais..?? I wish awe Rais, i wish.... CCM sioni mwingine zaidi yake, u all know this, period....!!!!
 
Usipende kuokota maneno mtaani na kuyaleta JF weka ushahidi wa hizo pesa unazosema Lowassa kaiba kupitia madaraka yake, kama ukiamua kutumia uzushi wa mitaani itabidi ukubali kuwa Dr Slaa, alitafuna pesa za ziara ya Papa.

Aliingiza serikali kwenye mkataba feki wa Richmond ndio maana alilazimishwa kujiuzulu na akajiuzulu kweli unataka ushahidi gani tena Ritz??kamati ya ubunge iliyoongozwa na Mwakyembe ilionyesha hadi vimemo alivoandika kwa mkono kushinikiza mkataba usainiwe!! nina doccument za wizi alipokuwa AICC ila kwa maadili ya kazi siwezi kuzitoa kwa sasa ila akiteuliwa mgombea wa Magamba nitalazimika kuzianika!!
 
Usipende kuokota maneno mtaani na kuyaleta JF weka ushahidi wa hizo pesa unazosema Lowassa kaiba kupitia madaraka yake, kama ukiamua kutumia uzushi wa mitaani itabidi ukubali kuwa Dr Slaa, alitafuna pesa za ziara ya Papa.
Ritz upeo wako ndio umekomea hapo?? umeleta thread ya Lowassa na mbio za urais tumeanza kuichambua na facts wewe unakimbilia kwa Dr. Slaa! where is the connection?Anzisha thread nyingine kuwa Slaa alikula pesa za ukaribisho wa papa mwenye heri John Paul 11 tukushushie data kuhusu ukaribisho wa papa ulivokuwa na uhusika wa Slaa usiongee tu kama mlevi be consistent na mada yako!
 
Misemo ya JK inakusuuza hasa Ritz! bado hujaanza kukoti ule wa "Ukitaka kula shurti uliwe" watu wa vijiweni utawajua tuu. Hata hivyo Lowasa kusimamishwa na CCM kugombea hilo halina shida kwa CCM ila shida iko kwa Watanzania wazalendo wanaoipenda nchi yao. Mkuu sasa hivi uelewa umepanda sana na hii yote imeletwa na M4C


Mkuu sie watu wa vijiweni ndio wapiga kura...wewe endelea kutudharau tutakutana kwenye sanduku la kura mwaka 2015.
 
Hahaha..Heshima mkuu Ritz,

Huo ni uchambuzi wa lini? Mtu huona anachotaka kuona!!
Nadhani kuna tofauti kati ya UCHAMBUZI WA KISIASA na MTAZAMO..hasa katika aya ya 2, kama ulivyosema.
Swali ni je, Amefanya kubwa lipi?

Katika sehemu ya pili UMETUELEZA kuwa ndani ya Chama cha Mapinduzi, CCM kuna makundi ya waheshimiwa uliowataja..sasa hebu tuelezane Ritz kama ni chama chenye "kuhitaji" kumkomboa mtanzania kwa nini kue na makundi makundi? Ina maana hamuelewani/hawaelewani? KAMA HAWAELEWANI NDANI YA CHAMA, Nchi hii wataiweza?

Katika Aya ya tatu unasema kusimama kwa Mh. EL ni "PIGO" kwa vyama vya CHADEMA, CUF, NCCR!..Sidhani kama ni "pigo" kwa sababu tu mkuu Ritz umesema, ungetuelewesha ni "pigo" kwa namna gani?
Lakibi kutovihusisha vyama vingine vya kisiasa mf. TLP, ADC n.k ni KUKUBALI ule uvumi kuwa vyama hivi vinatumiwa na CCM kama vivuli?

Mwisho unasema tukatembelee Monduli kuona "ujembe" wa Mh. ENL, lakini kwa nini twende kule wakati tunatamvua yaliyofanyika wakati wa uongozi kama waziri mkuu?
-Kama tukiamua kusema tukatembelee majimbo ya wabunge kuona wanachokifanya, unadhani kwa kigezo(criteria) hicho hatuna viongozi bora zaidi yake?

Mkuu Ritz, nilifundishwa katika methali kuwa kizuri cha jiuza na kibaya.....!
 
Usipende kuokota maneno mtaani na kuyaleta JF weka ushahidi wa hizo pesa unazosema Lowassa kaiba kupitia madaraka yake, kama ukiamua kutumia uzushi wa mitaani itabidi ukubali kuwa Dr Slaa, alitafuna pesa za ziara ya Papa.
Shida ya ccm mpinga rushwa na ufisadi alikuwa mwalimu Nyerere peke yake!Hilo siyo siri!Alikuwa amezungukwa na wanafiki tu na mafisi.Ona alipofariki,ikawa kama fungulia mbwa!Nchi ikauzwa left right!Mkapa akajimilikisha hadi mgodi,kumbuka Mwinyi alipokuwa akiwaalika mafisadi na wafanyabiashara ikulu?Nani mwingine aliyesema zaidi ya mwalimu?Akisema ikulu imegeuka kuwa "pango la wanyang'anyi?Nani mwingine angesema kama asingekuwepo?

Mulimwuliza mwalimu Nyerere ushaidi wa kuhusu mali alizojilimbikizia Lowassa pale alipomkataa kuwa mgombea urais?

Kama ni mkenge mwalimu alioingia,basi ni kudhani wale wanafiki na mafisi waliomzunguka ni legitimate patriots,alikosea kubwa!

Na sasa hivi mafisadi wamesha multiply na kuufanya wazi wazi,hadi vyombo vya usalama vinasema wana nguvu kubwa na hawagusiki, ndo maana hata EL haoni shida na yeye kutembea kifua mbele kwasababu anajuwa siri zenu pia.So ngoma droo,hata kama si mwislam mtamfumbia macho tu.Kama kuna kitu kinawaunganisha nyie magamba,basi ni ufisadi.Period!
 
Mkuu sie watu wa vijiweni ndio wapiga kura...wewe endelea kutudharau tutakutana kwenye sanduku la kura mwaka 2015.

Na wewe ni mtu wa kijiweni? Kijiwe gani nije kusikiliza hadithi nikipata gahawa....au ndio ule msululu nilibahatika kukuona siku ile pale mahala bia inapouzwa sh 5000 wakati uswazi kwetu book mbili? Ashuakumu si matusi lakini!
 
Aliingiza serikali kwenye mkataba feki wa Richmond ndio maana alilazimishwa kujiuzulu na akajiuzulu kweli unataka ushahidi gani tena Ritz??kamati ya ubunge iliyoongozwa na Mwakyembe ilionyesha hadi vimemo alivoandika kwa mkono kushinikiza mkataba usainiwe!! nina doccument za wizi alipokuwa AICC ila kwa maadili ya kazi siwezi kuzitoa kwa sasa ila akiteuliwa mgombea wa Magamba nitalazimika kuzianika!!

Unaleta stori za Dr Slaa kuwa una nyaraka za siri za AICC, mkuu ndio maana nakuambia usipende kuokota maneno mitaani nani aliyemlazimisha Lowassa kujiuzulu?

Alichofanya Lowassa kulazimika kujiuzulu kutokana na kile ambacho yeye mwenyewe alikiita ni kwa manufaa ya chama chake na serikali yake, baada ya Kamati Teule ya Bunge kumhusisha katika sakata la kutoa zabuni kwa kampuni ya Richmond.

Hata hivyo baadhi ya waheshimiwa wabunge waliwahi kukaririwa wakisema kuwa Lowossa hakuwa ametendewa haki katika sakata la Richmond.
 
Unaleta stori za Dr Slaa kuwa una nyaraka za siri za AICC, mkuu ndio maana nakuambia usipende kuokota maneno mitaani nani aliyemlazimisha Lowassa kujiuzulu?

Alichofanya Lowassa kulazimika kujiuzulu kutokana na kile ambacho yeye mwenyewe alikiita ni kwa manufaa ya chama chake na serikali yake, baada ya Kamati Teule ya Bunge kumhusisha katika sakata la kutoa zabuni kwa kampuni ya Richmond.

Hata hivyo baadhi ya waheshimiwa wabunge waliwahi kukaririwa wakisema kuwa Lowossa hakuwa ametendewa haki katika sakata la Richmond.
Zamani nilidhani una mapenzi ya dhati kwa nchi yako na wananchi wake, na hivyo hoja zako nyingi nilizichukulia kama mtihani kwetu, lakini sasa naanza kukusoma vizuri na kukuelewa..
 
jmushi1,
Unaweza kutukumbusha ni lini na wapi au hotuba gani au unaweza kutuwekea clip ya Mwalimu Nyerere, akisema Lowassa hafai kuwa rais wa Tanzania sababu amejilimbikizia mali.
 
Last edited by a moderator:
Unaleta stori za Dr Slaa kuwa una nyaraka za siri za AICC, mkuu ndio maana nakuambia usipende kuokota maneno mitaani nani aliyemlazimisha Lowassa kujiuzulu?

Alichofanya Lowassa kulazimika kujiuzulu kutokana na kile ambacho yeye mwenyewe alikiita ni kwa manufaa ya chama chake na serikali yake, baada ya Kamati Teule ya Bunge kumhusisha katika sakata la kutoa zabuni kwa kampuni ya Richmond.

Hata hivyo baadhi ya waheshimiwa wabunge waliwahi kukaririwa wakisema kuwa Lowossa hakuwa ametendewa haki katika sakata la Richmond.

Angekuwa sio mwizi au hana kosa alipaswa asimame bungeni na kutoa utetezi wake kuwa hana kosa! kwanza mwakyembe alisema kuna mengine hakusema kwa heshima ya serikali kujiuzulu ni kukubali kosa!Asingejiuzulu bunge lingemlamisha kujiuuzulu ila wewe endelea kupokea per DM zako msifie siku ziende ila urais hapana!
 
Zamani nilidhani una mapenzi ya dhati kwa nchi yako na wananchi wake, na hivyo hoja zako nyingi nilizichukulia kama mtihani kwetu, lakini sasa naanza kukusoma vizuri na kukuelewa..

Mkuu Mkandara,
Endelea kunisoma mwisho wa siku utamuelewa Ritz, hii thread yangu ni mtihani kwenu hasa kwa wale watu makini.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mkandara,
Endelea kunisoma mwisho wa siku utamuelewa Ritz, hii thread yangu ni mtihani kwenu hasa kwa wale watu makini.
Hawawezi kuwa watu makini maana watu makini wana msimamo na hutazama maslahi ya Taifa kwanza. Wewe na wenzako woote mnaosimamia maslahi yenu na ya chama chenu ndio mnajipa mhitani wenyewe. I know where I stand na sintobadilishwa na mtu wala chama isipokuwa wao watatufuata wananchi kutuelewa..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na wewe ni mtu wa kijiweni? Kijiwe gani nije kusikiliza hadithi nikipata gahawa....au ndio ule msululu nilibahatika kukuona siku ile pale mahala bia inapouzwa sh 5000 wakati uswazi kwetu book mbili? Ashuakumu si matusi lakini!

Mkuu njoo Kimara Bonyokwa ndio kuna kijiwe chetu cha kahawa karibu sana.
 
Ritz,
wewe kama alivyo Pasco, anavyomkubali Edo iweje JK na NyinyiEM mlimuona hafai 2006 na sasa anafaa2015? tena kwa record zake zilezile? well, kwangu mie Edo anafa kuwa kiongozi wa upinzani kuanzia 2015, ili Chadema tupate changamoto.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom