Mkuu, mimi kwa upande wa CCM namuunga mkono Hon. Lowassa For presidency 2015. He is a hardworking man.Wala siwezi muunga mkono fisadi. dr Slaa kwangu ndio chaguo LANGU la kweli.
Mkuu, naunga mkono hoja yako kwa 100%.Ni kweli lowassa ni jembe! "zimwi likujualo halikuli likakwisha" ikifika mahali tukafika njia panda ni heri kufanya maamuzi magumu! Kumteua lowassa kukimbiza urais ni kufanya maamuzi magumu. Nchi hii ilipofika inahitaji kiongozi dikteta!
Mkuu Ritz, salaam sana. Binafsi namkubali sana Captain Lowassa kwa sababu ni mchapa kazi na pia ni mtu mwenye uwezo wa kufanya maamuzi magumu [ tough decisions ] bila kuogopa chochote. Lowassa ana uwezo wa kui-transform Tanzania into a "paradise" !Kinacho mbeba Lowassa ni mtu mwenye hulka ya kusaidia na kuchangia shughuli za kijamii bila kujali itikadi za kisiasa wala dini amekuwa mtu tegemeo katika shughuli za kijamii iwe Msikitini au Kanisani hata hawa makamanda nadhani wanamjua vizuri "jembe" Lowass, Mkandara, hippocratessocrates, Remmy, POMPO, MNYISANZU, Ndallo, Preta, Chasha, Mzito Kabwela, Mungi, Molemo, OSOKONI, Crashwise.
Hofu na huzuni kwa wafuasi wa Chadema inazidi kuwa kubwa, Lowassa mwenyewe atagombea urais mwaka 2015, hapo ndio utakuwa msiba mkubwa kwa Dr Slaa pamoja na Mbowe.
kwa hiyo wewe ndo ushaanza kujipendekeza ili angalau upewe udc wanging'ombeNi mtanzani ni mwana ccm ni mzalendo mchapa kazi kuna ubaya gani kuingia ikulu? Eddo kaza buti tupo nyuma yako.
Zomba kantuma niulize je, wewe ndo Masihi au tumtegemee Mwingine?
Ritz,
Ukitaka kumjua Lowasa nenda Richmond