Lowassa anasafishwa!

Lowassa anasafishwa!

Sweet dreams.I was very disappointed with the interruption of his TVT interview. It looks like EL hasn't got good advisors now and before. His interview gives more questions than answers. If he really did not know who or what is RDC why form the GNT. Yes he was involved in termination of City water contract, surely he would have then made sure that such provisions were included in the contract. Advisors only advice you decide to agree or not.
 
Nahisi kucheka, Maaana hata kama ni ndumba basi jamaa ni mwisho, Asijilinganishe na Mwinyi, wakati ule watu hatukuwa na huduma kama JF wengi hawakujua Who is Mwinyi. Sasa huyu jamaa We know him. Na anapata huo ubabe kwa vile anadhania bado ushoga upo kati yake na Muungwana. Bwana wee wacha hadithi mbele ya Mayai ya Ikulu urafiki na ufe!! I mean not easy. Kikwete kosa analofanya ni kuendelea kumuenzi, Hayo mapesa atakayolipwa kama X PM hastahili, mwizi. This time Badala ya kurukia JF wangekuwa wamemrikia Lowasa na kumweka ndani na kundi lake lote. Inabidi jakaya acheze karata vema, akiona aibu maji yatamzoa maana sumaye yuko Havard! na sasa EL na wengine wengi ndani ya THITHEM. Hiyo mianya itawabomoa wote, sasa hapo ndiyo tutapata serious leaders.
 
Huyu mwache athubutu kurudi kwenye siasa.
Hizo data watu wa jamboforum watakazozitoa kuhusu huyu, bora abaki tu ajenge hoteli na hela za wizi hizo, achunge ng'ombe
maana akileta ubabe, embu cheki clip hii ya Jamboforum vs Lowassa PT1 (Richmond report ilivyotoka)...Lowassa is on the right
Tony.gif
 
Huyu mwache athubutu kurudi .... Jamboforum vs Lowassa PT1 (Richmond report ilivyotoka)...Lowassa is on the right
Tony.gif

Ehh!,Mkuu hii ni'Kick-Boxing',au 'Wrestling??'maana naona Rafu zote kama zinaruhusiwa humo!!
Kama sikosei Wana-JF tuna Sheria zetu 11 za kuzingatia ktk mapambano...Teh teh..
 
Mystery surrounds Lowassa interview on State television
By Polycarp Machira
THE CITIZEN

The Tanzania Broadcasting Corporation (TBS) on Saturday night cut short an interview with former Prime Minister that was being aired on TVT.

While inside sources said they believed that the State-owned TV station was ordered to suspend the programme, leaving viewers in a state of confusion, TBC managing director Tido Mhando strongly refuted the claims in a telephone interview with The Citizen yesterday.

He said there was no truth in reports that TBC had implemented �orders from above, but was at pains to explain exactly what caused the programme to be cut short.

Mr Mhando added that the programme aired on Saturday was just a section of TVT�s exclusive interview with Mr Lowassa, adding that nobody ordered that the show be taken off air.

�I called the producer immediately the programme ended, asking why it had not gone to its conclusion it seems that the programme was inadvertently cut short.

The TBC boss dismissed claims that the corporation was grappling with State interference in its duties.

How could people even have such thoughts? We don't experience any interference in our work. No one exerts pressure on us to broadcast or not to air anything, he added.

Mr Mhando said TBC enjoyed cordial relations with government officials, saying no one obstructed them in their work, contrary to the belief that its radio and television programmes were censored.

He added that TVT planned to run a programme on Mr Lowassa�s two-year tenure as Prime Minister. Mr Mhando could not, however, explain why the TV station had decided to air the programme detailing the former prime minister�s successes in the post he held from December 2005.

Mr Lowassa spoke during his interview with TVT about issues that transpired within the ruling party, leading to his resignation.

It was not also clear why Saturday�s interview coincided with Mr Lowassa�s trip to his constituency where he was accorded a hero�s welcome, with his motorcade having dozens of vehicles.

Mr Lowassa has been featuring prominently in a section of the local media since he resigned after he was implicated in the irregular awarding of a tender to generate emergency power to Richmond Development Company (RDC) in 2006.

The parliamentary committee that investigated the tender process concluded in its report tabled in Parliament in Dodoma earlier this month that the Prime Minister�s Office influenced the awarding of the tender to RDC, which was neither qualified nor capable of undertaking the task.

On Saturday, Mr Lowassa received a red-carpet reception in his Monduli constituency in Arusha Region before addressing a well-attended public rally during which he denied any wrongdoing in the Richmond controversy.

He insisted that he decided to resign in order to save the ruling CCM and its government from imminent collapse after being rocked by the Richmond report.

Mr Lowassa for the first time revealed that his wife, Regina, was the only person he consulted before tendering his resignation to President Jakaya Kikwete.

I asked my wife whether she was ready for my resignation�she also asked me if I was ready�nobody else knew if I was going to resign, Mr Lowassa said.

His resignation prompted President Kikwete to dissolve the Cabinet and appoint a new line-up in its place. Mr Lowassa was succeeded by Mr Mizengo Pinda, who was Minister of State in the Prime Minister's Office responsible for regional administration and local governments.

We entirelly know that the "system" wants to clean Mr. Lowassa..that's why the program was cut off-air. It seems the following interview did touch some other people who are "there" sitting on the high table, so the trick had to be applied to defend them. Let him be innocent to the people of his constituency. We can't dare to listen to him. We have been listening to him for about a decade now..It's over now..Let him go
 
watu waliofikiria kuwa Lowasa atajiuzulu kisha atakaa kimya were very wrong!!
get ready to watch an overwhelming power fight! kikwete needs to kill or wait to be killed (politically)
 
watu waliofikiria kuwa Lowasa atajiuzulu kisha atakaa kimya were very wrong!!
get ready to watch an overwhelming power fight! kikwete needs to kill or wait to be killed (politically)
I think he's just trying to play smart with Tanzanians.... he has made a wrong move now. He can only be trusted by his Monduli residents who seems to have put much trust in him or have been misinformed and now believe that this man is their HERO!?
With time all his hopes will vanish and he'll soon be a nobody in this country...
 
I think he's just trying to play smart with Tanzanians.... he has made a wrong move now. He can only be trusted by his Monduli residents who seems to have put much trust in him or have been misinformed and now believe that this man is their HERO!?
With time all his hopes will vanish and he'll soon be a nobody in this country...


I am not sure if Monduli's people still believe on him, but they have to give him support assuming that he will bring some leftover to the area...kama ni kuanguka basi amengukia pua mwache atumie pesa zake alizonazo kujinyanyua, coz "mfa maji haishi kutapatapa"
 
Kasi ya kumsafisha Edward Lowassa ni kubwa kwa sasa na kuna mipesa kibao imemwagwa na yeye mwenyewe na wapambe wake kuwa lazima asafishwe ili awe presida baadaye au mpambe wake wa karibu.

Hivi sasa baadhi ya vyombo vya habari na waandishi wa habari tena wengine wakijidai kuwa mahiri kabisa na wakongwe, wameibuka kumtetea Lowassa huku vyombo vyao vya habari vikiimba sifa zake za ujasiri, uchapa kazi na kwamba eti hakuhusika ila "anawajibika tu na atarudi madarakani baadaye."

Idadi kubwa ya watu tunakerwa hasa na namna waandishi mahiri kabisa tena wengine tunaambiwa wana ‘madigrii na mastashahada' ya ng'ambo wanavyotumika kucheza ngoma inayowadhalilisha wao, taaluma ya uandishi, vyombo wanavyoviandikia na hata Lowassa wanayempamba.

Mtu ‘graduate' anapoandika habari ndefu ya aya zaidi ya 20 akitumia maneno ya kusifia tu, lazima tutilie shaka habari yenyewe, mwandishi aliyeiandika na chombo anachokiandikia. Msomi anapoandika habari ya ukurasa mmoja akielezea kiatu cha mtuhumiwa na gauni la mkewe, lipustiki na wanja, tunapata shaka kubwa ya lengo hasa la habari yenyewe. Tena habari lidistori- kwamba iko ukurasa wa mbele ikiongoza habari zingine.

Maneno ya kusifia tu kama vile: bashasha ya hali ya juu, furaha ya dhati, mabango yenye ujumbe mzito kwa serikali, kama muujiza vile, kwa mshangao wa wengi na kadhalika na kadhalika, sio maneno ya kiuandishi.

Tunadhani mwandishi huyo kahongwa au kanunuliwa aandike hivyo alivyoandika, anatumiwa na mtu au kundi la watu wenye malengo fulani – angalia kauli kama "amewajibika kama Rais Mstaafu Mwinyi na baadaye atarejea! swali ni je, atarejea lini? Atarejea kuwa nani? Rais wa Jamhuri?

Sisi tulitarajia waandishi hao waliokwenda Arusha ama kwa kujigharimia wenyewe, kwa kugharimiwa na vyombo wanavyoviandikia ama kwa kugharimiwa na wapenzi wa Lowassa, watueleze hao watu 10,000 waliompokea Lowassa na magari 400 waliyokuwa nayo waliandaliwa na nani na lini?

Elfu kumi hao, na wenye magari hao, ni akina nani? Je ni wafanyabiashara ya ng'ombe? Ni wanunuzi wa mawe (madini) au ni wachimbaji wadogo wadogo wa Mirerani? Je, ni wauzaji na wakulima wa maua au ni wamiliki wa magari na kampuni za utalii?

Tungefurahi sana kama wangetuambia kama wapokeaji hao na waandamanaji miongoni mwao ni wahalifu na kama ni wahalifu wametoka jela lini? Au je, ni wana-CCM wenye vyeo fulani. Bila kutufahamisha vyeo, kazi na fani za wapokeaji wa Arusha tunapata kigugumizi cha kuikubali habari hii. Tunaona sio bure, ipo namna. Watu hawamshangilii hivi hivi tu mtuhumiwa!

Swali ambalo tunajiuliza sana ni kwamba ni kwa nini kumekuwa na kampeni kubwa sana ya kumwandika vizuri Lowassa peke yake wakati waliojiuzulu au kupendekezwa wawajibishwe ni wengi. Au wengine kama Karamagi na Msabaha hawahitaji kusafishwa?
 
Ukweli ni kwamba watanzania tumewekwa kama hadhira mfu kwenye mchezo wa kuigiza. Kwa hatua ambayo imefikia kila mtu analake la kuongea bila ya kujihoji mwenyewe kwanza anaongea nini na kwa kwa nini anaongea yale anayoyaongea . Sasa ili tuonekane kwamba tumedhamilia kuwaadibisha tuwapeleke mahakamani ambapo wataongea yote na kukithibitishia chombo hiki cha haki kuwa wao sio wahusika na uma wa watanzania utaelewa. Tuwapelekeni mahakamani wathibitishe wanayopwayuka kila kukicha.
 
subirini siku ya j'tano, kwenye Raia Mwema Bw. mdogo ana ujumbe mzito kuhusu hili...
 
Hili linaweza kuwa jambo la maana, watu wajitokeze kufile kesi. Mtikila yuko wapi, mbona kapotea sana huyu mtaalamu wa kesi za kudandia. Maana hapa ndo palikuwa mahala pake kama kweli anajali maslahi ya nchi na walala hoi dhidi ya walalahai
 
Hili linaweza kuwa jambo la maana, watu wajitokeze kufile kesi. Mtikila yuko wapi, mbona kapotea sana huyu mtaalamu wa kesi za kudandia. Maana hapa ndo palikuwa mahala pake kama kweli anajali maslahi ya nchi na walala hoi dhidi ya walalahai

HahaaHaaa, Mtikila mnamkatisha tamaa waTZ. Akienda mahakamani akishinda mnamsifu akiitisha mkutano wa kampeni kwa ajili ya chama chake hamhudhurii. Akisema saa ya Ukombozi ni sasa hamuitikii.

Nafikiri yuko busy kuangalia vifungu vya sheria na soon ataipeleka kesi hiyo mahakamani. So far anakesi zisizopungua 3 mahakama kuu mapaka sasa hivi

Mahakama ya kadhi,
Kumkashifu Rais Mkapa
Kesi ya uchochezi
n.k
 
Maneno haya ni mazito nami yameniingia .Wakati wewe unangoja kuweka jina mimi naweka kabisa kwamba mwanasheria akianza basi ani andike niwe wa kwanza wewe uwe wa pili kwa kuwa majina yako hayako tayari bado .Mimi ni Joseph Lunyungu Matandula wa Mademla .Niko Mtoni Kijichi na namba zangu za simu ukizitaka sema tafadhali .
 
Maneno haya ni mazito nami yameniingia .Wakati wewe unangoja kuweka jina mimi naweka kabisa kwamba mwanasheria akianza basi ani andike niwe wa kwanza wewe uwe wa pili kwa kuwa majina yako hayako tayari bado .Mimi ni Joseph Lunyungu Matandula wa Mademla .Niko Mtoni Kijichi na namba zangu za simu ukizitaka sema tafadhali .

Lunyungu umenifurahisha, haya huo ndiyo ujasiri wenyewe. hili jambo la kufaili kesi ni jambo la maana sana. lakini tunahitaji wajuvi wa sheria watueleze iwapo inawezekana and me too am ready for that.
 
Maneno haya ni mazito nami yameniingia .Wakati wewe unangoja kuweka jina mimi naweka kabisa kwamba mwanasheria akianza basi ani andike niwe wa kwanza wewe uwe wa pili kwa kuwa majina yako hayako tayari bado .Mimi ni Joseph Lunyungu Matandula wa Mademla .Niko Mtoni Kijichi na namba zangu za simu ukizitaka sema tafadhali .

Mtalaam Lunyungu, naona uzalendo umekukaa sana!! Hongera sana.

Naungana na Advisor na wewe katika hili, nacho omba tulijadili suala hili kisheria, wanasheria wetu watusadie tafadhari ili tupate a good Plan of action!
 
Wazo nzuri,tunalihafiki. Ni kweli kwamba tukitumia muda mwingi kuongelea haya ya kambi ya Lowassa tutapunguza nguvu za kukemea ufisadi na hili sakata litatoweka masikioni mwetu na ndiyo jamaa atarudi tena kwa nguvu za pesa zetu zilezile za richmond na falsafa mpya. Huko mahakamani tutakuwa na kesi gani na vielelezo vipi? maana tutadaiwa ushahidi hatuna,au tumuombe mwakyembe atupe lile file lake ndiyo liwe ushahidi. Vijana wa mwakyembe aka wanasheria tupeni mawazo. Niko tayari kuchangia malipo ya wakili
 
Maneno haya ni mazito nami yameniingia .Wakati wewe unangoja kuweka jina mimi naweka kabisa kwamba mwanasheria akianza basi ani andike niwe wa kwanza wewe uwe wa pili kwa kuwa majina yako hayako tayari bado .Mimi ni Joseph Lunyungu Matandula wa Mademla .Niko Mtoni Kijichi na namba zangu za simu ukizitaka sema tafadhali .

Naunga mkono jina langu ni Neema Solomoni nakaa chang'ombe
 
Mie nikitaja jina langu mioyo ya watu itapasuka!nitaendelea kuwa invisible mpaka pale Mwanakijiji atakapojitokeza mbel;e ya watanzania,nitaendele akumpelekea taarifa Mkuuwa kaya kuhusu yasemwayo hapa,na nitaendelea kumponda kama atafanya yasiyofaa hapa hapa!
 
Back
Top Bottom