Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,894
- 52,486
No research no right to speak. Tunaomba ushahidi wako.
Nadhani umekosea kuqoute au ndo umetafsiri ?
No research no right to speak. Tunaomba ushahidi wako.
Lowasa ni jipu, ukitumbua vibaya utachafuka wewe, linahitaji timing sana
Lakini Kama ni watia nia wenyewe ndio wanaogharimia waandishi hapo sina neno kwani jamaa yule mpunga kwake sio tatizo na kila mwandishi angependa kuambatana naye maana wahenga walisema "Fuata asali ule nyuki"
Lowasa sasahivi ni project. Hata hapa JF thread yoyote inayomtaja inajaa faster. Watu wanalipwa kukesha mitandaoni, vyombo vya habari vinaalikwa na bahasha za khaki zilizonona.
Kawaida project inakuwa na mda maalum kwa hiyo acha watu wavune mda huu
Ha ha haaa! Hapo umeua mkuu lakini mfano wa mke ungeulekeza kwako inge-sound vizuri zaidi mkuu.Uko dunia ipi? Hata kama hujui kusoma basi hata picha huoni? Mtu akishakuwa fisadi anaweza KUNUNUA kila kitu hata mkeo. Tafakari utapata jibu sahihi bila kusahau kuwa unapokuwa mchafu sana inakubidi uoge mara nyingi zaidi ili utakate.
Inataka mtu kuwa na moyo kama wa mwendawazimu ili kujibizana na wewe.Wewe ni punguani unawezaje kuona kuna upendeleo wakati hujafanya research ya unachofikiria unataka kuwaaminisha jamii kuwa vyombo vya habari viko biased.wr ni sawa na ukoma jinga kubwa wewe.mwambie mumeo atakuelewa lakini sio humu jf unaleta udaku.udaku peleka uwanja wa fisi manzese
Kama kumchinja kobe !
Lowassa hapendelewi,wala hagawi pesa,acheni kuropoka ovyoo,utagawia watu 11000 pesa,unawapaje tena uwanjani.shit