Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Kuunganisha thread Hii ndio sehem moja nyingine ya kubana Habari ...Habari hapa ni Makongoro na wagombea wengine wa Aina yake Kama Augustin Ramadhani..MAHIGA ..etc kubanwa....hili la anayependelewa ni tofauti

Mie mwenyewe nashangaa habari ya huyu iweje iungwe na nyingine ...Jf tendeni haki
 
Makongoro yuko vizuri....wezi na matapeli wa nchi hii hawampendi makongoro maana wezi hao na washirika wao wanaomoliki vyombo vya habari(...
..)hawataki aje mtu kama makongoro maana atawanyima adhima yao.....wengine walifilisi NBC
...usizani hatuwajui.

Halafu huyu mfilisi wa NBC siku hizi naye yuko bega kwa bega na fisadi
 
Kweli kabisa mkuu, hatuba zake zikishawekwa hapa tunadownload tunasabambaza kwenye magroup yetu mbalimbali ya wasap, facebook, insta, tweeter n.k ujumbe utafika tu. Tena kwa taarifa yako ujumbe wa audio unawafikia wananchi wengi zaidi, maana kuna wale wasio na smartphone so hawana hizi jamii za kina wasap. Halafu ujue kuna kundi kubwa sana la watu hasa kinamama na wadada wengi wao hawaangaliagi taarifa ya habari, ila kwa njia hizi nilizozitaja ujumbe utawafikia tu.

Tweeter ndio kitu gani??
 
Philemoni Mikael na Baro, nsugu zangu nilihisi kuumwa hata kulala sikupata usingizi vizuri. Hawa mafisadi wameamua kununua vyombo vyote ila kama mlivyosema, nahisi tunaweza kuwaambia CCM ni nini tunataka na tukafanya kweli, sijuhi tufanyaje lakini sisi wazalendo tuna haja ya kuanzisha kitu cha kupambana na hawa mafisadi kwa ajiri ya kumpigania mwenzetu Mako. Inasikitisha na inauma mno, tuwaambie tu CCM kama wanaamua vinginevyo basi sisi wazalendo wa Taifa hili tutakula na tutakufa pamoja tukiwa na Makongoro. Tupinge waziwazi kwa sauti kuu ili wajue huko waliko nchi hii, nchi yetu haiuzwi ..it is not sale, full stop!

Umenena maneno mazito na ya maana kwa mustakabali wa taifa letu mkuu. Huu ndo ukweli wenyewe, tunakufa na Makongoro, lazima tupaze sauti zetu zisikike hakuna kulala!!
 
  • Thanks
Reactions: DSN
Mkuu ingekuwa vizuri kama angeshauriwa awe anarekodi tu mazungumzo yake kwa audio au video kwa camera ya kawaida tu na kuturushia humu. Akifanya hivyo sisi wenyewe tutasambaziana kwa wasap. Media za bongo zinamilikiwa na mafisadi, no way wakampa promo, hata mzee machache naye si unaona yuko kwa fisadi

cc DSN
Pokee hii Mkuu taratibuu ...sometimes kutoa mwiba kwenye mguu kwahitaji uthubutu...hizo nyingine ni mbwembwe...tu wanafanya manake kila jambo lina mwisho na miwsho huo ni sasa....TAIFA linahitaji KIONGOZI yani KIUHALISIA haiitaji WAPIGA DEAL any more so kwa wenye UFAHAMU ilila vyombo si tatizo kwa kuwa vyombo hivi vinamilkiwa na binadamu ambao ni human being with fresh...na wana mioyo yenye UTASHI...sasa UTASHI wao ukimezwa na KUKWEPA UKWELI na kuegemea MASLAHI zaidi hakika TAIFA linapoteza NJIA ndio maana pia kwa uhuru pia bado kuna kazi kubwa sana ya MFUMO kuja kujenga vyombo vya HABARI kutambua ROLE yao katika KUSIMAMIA DHAMIRA YOYOTE INAYOHUSU MASLAHI YA TAIFA.LINAPOZUNGUMZWA SWALA LA RUSHWA AU UFISADI hilo ni jambo la Muhimu sana kwenye Taifa.

Kuna tetesi ya baadhi ya vyombo vya habari kujihusisha dhahiri na kuwabeba baadhi ya wagombea wenye ukwasi na kuwatoa nje wasio na pesa za kulipia muda wa kwenda hewani kwa habari na jumbe zao.Kwa wafuasi wa vitabu vya BIBLIA wanajua kabisa machaguo ya MUNGU ya mungu kama Kina DAUDI, ISACK na wengineo ujio wao kama machaguo ya Mungu ulikuwa na mikwaruzo mingi ambayo ukiitizama kwa haraka wake unaiona kwa mtu kama Makongoro...Kwa watu wenye imani ilo si tatizo..ni sehemu ya kumfanya muhusika kushuhudia ukuu wa MUNGU katika kuthibisha makusudio yake.Wateule wa Mungu kitabia wanakuwa MALOFA hawana ukwasi wa kushindana na wakubwa...uja kwa kujikongoja mapka pale MUNGU anapowainua yeye...Sasa ujio wa Makongoro ni LAZIMA uje na mambo kama hayo ya vyombo vya habari mnavyolalamikia.

Kama tumesikia kauli za viongozi baadhi kuwa RAIS wa TANZANIA anateuliwa na MUNGU,,kwa walio wengi hawajui ni kwanini baadhi ya Wazee hao kusema HAYO...Ukiwa na umri wa utu uzima...baaadhi ya watu wa umri huo umsogelea MUNGU na uchaji wa MUNGU ukishika nafasi yake basi watu hao upata nafasi ya kuwa na maono ya nini kinatakiwa.Sasa umri ule huwa AUONGEKI hasa wale wenye UCHAJI wa kweli kumtafuta MUNGU.Ni kwa umri huo tunasema UTU UZIMA DAWA...na ni kwa umri ule PESA na MALI za DUNIANI huwa HAVINA tena nafasi bali UPENDO na kuthamini watu tena hasa wenye UHITAJI..na shida za kidunia.

Sasa hawa waongaji bado hawajafika umri wa kumjua Mungu na pia kwa bahati mbaya kwa umri wao wako katika fungu la DESTROYERS ...sasa kumtoa huko kunaitajika AKILI ndefu ukizingatia wana resource nyingi walizo kusanya..Amini nawaambia wanaonekana ni tishio sasa kwa kuhonga...wakisikia SAUTI ya MUNGU wengine watajitoa kwenye RACE bila kubisha na watakao ngangania kwa JEURI YA PESA watakutana na SAUTI MUNGU NA YA MAMA TANZANIA [Wazee watu wazima wanajua] na wakiisikia na kukaa pembeni miaka kumi ijayo watakuwa ndio watu wenye kuongoza kwa kutafuta HAKI za wanyonge..yani watakuwa ni wakina SIMEON WA KIRENE...walio amua kucha tunguli na kumfuata YESU kutangaza injiri.

Ningependa tujikumbushe na misemo hii ya wahenga
1: You can fool all the people some of the time, and some of the people all the time, but you cannot fool all the people all the time.

2: “You can fool some of the people all of the time, and all of the people some of the time, but you can not fool all of the people all of the time.”Ablaham Lincoln

3: “You can fool some people some times but you cant fool all the people all the time” -Bob Marley.

Pia kuna wahenga hawa chini wanasema:
[h=2]Bob Marley – Who The Cap Fit Lyrics[/h] Man to man is so unjust, children:
Ya don't know who to trust.
Your worst enemy could be your best friend,
And your best friend your worse enemy.

Some will eat and drink with you,
Then behind them su-su 'pon you.
Only your friend know your secrets,
So only he could reveal it.
And who the cap fit, let them wear it!
Who the cap fit, let them wear it!
Said I throw me corn, me no call no fowl;
I saying, "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk."

Some will hate you, pretend they love you now,
Then behind they try to eliminate you.
But who Jah bless, no one curse;
Thank God, we're past the worse.
Hypocrites and parasites
Will come up and take a bite.
And if your night should turn to day,
A lot of people would run away.
And who the stock fit let them wear it!
Who the (cap fit) let them (wear it)!

And then a-gonna throw me corn,
And then a-gonna call no fowl,
And then a-gonna "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk."
---
/Instrumental break/
---
Some will eat and drink with you,
Then behind them su-su 'pon you, yeah!
And if night should turn to day, now,
A lot of people would run away, yeah!
And who the cap fit, let them wear it!
Who the cap fit, let them wear it!
Throw me corn, me no call no fowl;
A-saying: "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk."
... : "Cook-cook-cook, cluk-cluk-cluk."
Throw me corn (cook-cook-cook);
Me call no fowl (cluk-cluk-cluk)
 
Asante sana kwa ujumbe mzuri mkuu DSN, umejaa maneno mazuri ya busara, hakika Mungu wetu atabariki maombi yetu
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: DSN
Mungu wa Yakobo na Yusuf atamwinua Mako na ataliongoza Taifa la Tz kwa maana Mungu ni mkuu na hajawahi kushindwa
 
Nimeshuhudia taarifa ya habari saa 2 kupitia kituo cha ITV ikisema kuwa Lowasa amepata wadhamini zaidi ya laki mbili (200,000) jijini Dar es salaam, lakini hapa chini kuna taarifa zinazosema wadhamini aliopata hawajafikia laki moja je kituo hiki kimejiweka mahususi kumpigia debe Lowasa na hata kudiliki kuudanganya umma ili tu lengo lao lifanikiwe.

Lowassa akiendelea kuzungumza katika mkutano huo.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Ngoyai Lowassa amepata udhamini wake kwa kishindo katika mkutano uliofanyika katika ofisi kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kinondoni leo.

Lowassa amepata udhamini huo baada ya wanachama kujitokeza katika ofisi za Makao Makuu ya CCM ya Wilaya ya Kinondoni, Mkwajuni, Dar, ambapo amepata zaidi ya wadhamini 95,251 huku akisema ni zaidi ya mikoa yote ya Tanzania.
Akizungumza na maelfu ya wananchi waliofika katika mkutano huo Lowassa amesema kuwa amefurahishwa na watu waliojitokeza kumdhamini kwa kishindo kikubwa na hivyo hatavunjwa na maneno ya watu yanayovumishwa ya kuwa anawapatia fedha ili wafike mkutano wake na makundi ya watu kuwa wanaosema kuwa hafai kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, hivyo wapuuzwe.

Aliongeza kuwa anawaomba Watanzania wampe ridhaa ya kuwa rais wao kwani atahakikisha mianya yote ya rushwa na utendaji mbovu wa kusuasua anausimamia kwa haki na weredi ndani zaidi ya miezi sita tayari matokeo yatakuwa yameonekana.

"Nawaombeni wananchi mnipeni ridhaa ya kuingia ikulu yaani nitahakikisha mianya yote ya rushwa na ufisadi nautokomeza, muyapuuze maneno na minong'ono ya watu kutaka kunichafua epukane nayo," alisema.

Edward Lowasa akizungumza jambo katika mkutano wa leo Mkwajuni, Kinondoni, Dar.

Mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi, Kingunge Ngombale Mwiru akizungumza jambo katika mkutano huo.



Wananchi waliohudhuria mkutano huo.

Mke wa Lowassa, Regina akisalimia wananchi waliohudhuria(hawapo pichani).
 
Channel Ten pia je ni waongo?
Wao wamesema kapata zaidi ya 212,000
 
tulikuepo mwanzo mwisho,tulianzia lumumba tukafata temeke na kumaliza na kinondoni.jumla yake ni takriban wadhamin 217000,huku kinondon pekee wakitia fora kwa wadhamin takriban laki na kitu
 
tulikuepo mwanzo mwisho,tulianzia lumumba tukafata temeke na kumaliza na kinondoni.jumla yake ni takriban wadhamin 217000,huku kinondon pekee wakitia fora kwa wadhamin takriban laki na kitu
Hahahahahaaaaaaa! Mtawaambia nini hao watu siku jina la Lowasa litakapokatwa?
 
Huyu mwandishi wa hii thread hajui hata anachoandika..sijui ndo wale division 5? hajui dar imegawanywa mikoa ya kikanda na hiyo 90+ ni mkoa kanda mmoja katika iliyopo ya ilala,kinondoni,temeke n.k hoja ya LOWASSA NA ITV sasa imeshachuja . na ndo maana wengi hoja yako wameipuuzia tu hawaoni jipya. @moderatos, @mods huu uzi unabore umejirudia rudia sana hauna jipya na mwanishi hajui alisemalo.
 
Channel Ten pia je ni waongo?
Wao wamesema kapata zaidi ya 212,000

Niliangalia chanel 10, walisema nao laki 2 ila nina mashaka nao pia kama itv, habari zingine za kitaifa ilikuwa ni kama dk 1 na nusu hivi, ya lwasa ilichukua ka dk tano na ushee hivi tena wakati wa habari!
 
Back
Top Bottom