Ocampo four
JF Senior Expert Member
- Feb 28, 2014
- 5,789
- 2,159
Magufuli hauziki kabisa na ukiweka story yake kwenye gazeti return ya siku hiyo ni almost 90 pct
jana nilipita kariakoo, kulikua kuna team inabandika mabango ya lowassa, cha kushangaza watu wote waliacha shughuli zao wakaanza kushangilia mabango yenye picha za lowass na wengine kuorodhesha matatizo yao kana kwamba wanaongea na lowassa kumbe ni picha tu
Mkuu ni kweli kabisa! Mimi huwa nawashangaa hawa waandishi wetu. Yaani mtu yeyote hata akiwa mwizi akiwa na bahasha anaweza kuitisha press conference nao wakaja na kuandika habari zake!Lowassa kazitia mfuko media zote isipokuwa RAIA mwema tu ..kwani unawaza Tz ina magazeti ama makaratasi? unawezaje ukasoma magazeti yaliyoandikwa na vihiyo alafu ukasema umesoma magazeti? wanaandika habari za Rose kamili badala ya kuandika hoja