Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

Lowassa anapendelewa na Vyombo vya Habari?

kweli kabisa mkuu.Mengi anapenda mno hela huyu mzee ni nyoka mbele ya pesa.Tanzania inakatisha tamaa kila kitu ni pesa.

Kwani mkuu wewe hupendi hela?? Mengi ni mfanyabiashara mi nina uhakika hata kama bwana edo angekata mkwanja wa kuonyeshwa yeye taarifa ya habari yote, angeonyeshwa. Kwa mfanyabiashara kinachoangaliwa ni faida..
 
kweli kabisa mkuu.Mengi anapenda mno hela huyu mzee ni nyoka mbele ya pesa.Tanzania inakatisha tamaa kila kitu ni pesa.

Hizo ni akili za kijinga nawe kaanzishe tv station yako umuonyeshe wasira
 
we mgombea wako ni wa kanda gani ? Lowassa kila kona ya nchi acha kujishusha kwa kisingizio cha ukabila ITV imewapa airtime wote walioomba na kulipia matangazo hata yule wa std seven . ITV itamuonesha Lipumba na DR sLAA watakavotangaza nia kiukweli iko fair au unataka iwe kama TBC? HICHO NI CHOMBO HURU

Shukrani mkuu afadhali labda atakuelewa huyu
 
fisadi lowasa ananunua kila mtu.Huyu ni shetani kupambana nae inabidi tujipange kweli kweli Nape na mangula inabidi wakaze.Takukuru Hosea chali

Ccm wote hawatofautiani
 
Halafu wanamwita eti "Waziri mkuu mstaafu" sijui alistaafu nchi gani?
Waandishi Watanzania sijui wana madudu gani vichwani mwao.
 
tukiwaambia hivi vyombo vya habari vinatumika vibaya mnakataa....tukisema saa mbili vijiunge tbc inakuwa maneno.
 
Tulimumu

Uko dunia ipi? Hata kama hujui kusoma basi hata picha huoni? Mtu akishakuwa fisadi anaweza KUNUNUA kila kitu hata mkeo. Tafakari utapata jibu sahihi bila kusahau kuwa unapokuwa mchafu sana inakubidi uoge mara nyingi zaidi ili utakate.
 
Last edited by a moderator:
Tulimumu

You people you don't know the power of Freemason. In fact Freemasons have greater control over medias. Many people who own medias are Freemason members. Freemasons influence everything they want through medias.

They are always making influence on politics through media. They also have influence in law through lawyers. Most of lawyers are members of this secret society. These are people who control this World.

From here you can connect dots and get clear understanding of this society know ans Freemasonry.
 
Last edited by a moderator:
Tulimumu

Sio waandishi wa habari tu pamoja na wananchi wote kwa ujumla wao.....
 
Last edited by a moderator:
Uko dunia ipi? Hata kama hujui kusoma basi hata picha huoni? Mtu akishakuwa fisadi anaweza KUNUNUA kila kitu hata mkeo. Tafakari utapata jibu sahihi bila kusahau kuwa unapokuwa mchafu sana inakubidi uoge mara nyingi zaidi ili utakate.

fisadi, FISadi ETI FIsAD tumieni akili sio kwamba vyombo vya habar hawana akili kuna kitu kinakuja tz mafisadi halisi mtawafahamu ivi karibun, dawa ya moto ni moto. kiongoz fisad ndiye atakayekomesha mafisad nguri...!!
 
Wewe ni punguani unawezaje kuona kuna upendeleo wakati hujafanya research ya unachofikiria unataka kuwaaminisha jamii kuwa vyombo vya habari viko biased.wr ni sawa na ukoma jinga kubwa wewe.mwambie mumeo atakuelewa lakini sio humu jf unaleta udaku.udaku peleka uwanja wa fisi manzese

kila mtu anaona fisadi lowasa na chenge wananunua kila kitu.Itv nayo imenunuliwa?
 
Mbona wagombea wote wanaonyeshwa tu.
 
Back
Top Bottom