Sio waandishi wa habari tu pamoja na wananchi wote kwa ujumla wao.....
labda lowasa amenunua watu wote tz ispowa ukawa tu
Sio waandishi wa habari tu pamoja na wananchi wote kwa ujumla wao.....
kila mtu anaona fisadi lowasa na chenge wananunua kila kitu.Itv nayo imenunuliwa?
You people you don't know the power of secret society known as Freemason.
I used to watch it through their films showing how massively they get above on every tip they desire but they were always defeated when their magics were subjected to the Holy Bible by the arch priests
Out of God control there is Freemason control. They are always prepare people they want to be leaders in community to exercise their power and control.I used to watch it through their films showing how massively they get above on every tip they desire but they were always defeated when their magics were subjected to the Holy Bible by the arch priests
Robo tatu ya wajumbe wa kamati kuu wamenunuliwa na LowassaApendelewe ama asipendelewa na vyombo vya habari, kamati kuu (CC) itatumia vigezo 13 vya chama kumpata mgombea wa kupeperusha bendera yake. Hayo mengine yote ni mbwembwe za kusherehesha zoezi la uchukuaji na urejeshaji fomu
Habari ya mujini ni Lowassa. Kigoma kapata wadhamini zaidi ya 11000.Jaribu kuzuia mafuriko na vidole. Utabebwa na maji bure.Kubalini yaishe.